-->

Monthly Archives: October 2016

Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy Washinda Tu...

Post Image

Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii. Diamond ameibuka mshindi wa tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika. “Team Tanzania Mungu ni mwema siku zote,” ameandika Harmonize baada ya ushindi huo. […]

Read More..

Nikki wa Pili Atofautiana na Baghdad kwenye...

Post Image

Msanii Nikki wa Pili amepingana na kauli ya msanii mwenzake wa hip hop rapa Baghdad aliposema kutopendana kwa wasanii hao kutasababisha muziki wa hip hop bongo kufa. Akizungumza na EATV Nikki wa Pili amesema ingawa kutopendana kwa wasanii kupo kutokana na kazi wanayofanya kuwa ya ushindani, muziki wa hip hop hauwezi kufa kwani hiyo siyo […]

Read More..

Picha:Tunda Man Afunga Ndoa Rasmi

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva kutoka  Tip Top Connection, Tunda Man amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu aitwae Sabrah. Ndoa imefungwa Ijumaa ya jana mkoani Morogoro nyumbani kwa Bi Sabrah, ilihudhuriwa na mastaa wa muziki kutoka Tip Top Connection. Hizi ni baadhi ya picha.

Read More..

Amini: Linah Amepoteza Uhalisia Wake wa Mwa...

Post Image

Amini aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Linah uliodumu kwa miaka mingi kabla ya kuachana na kila mmoja akawa na maisha yake. Pia Amini aliwahi kumwandikia msanii huyo nyimbo kadhaa zilizofanya vizuri. Lakini sasa hitmaker huyo wa ‘Bado Robo Saa’ amesema kuwa Linah wa sasa si yule wa zamani katika uimbaji. “Linah wa sasa […]

Read More..

Mkono Awaponda Watayarishaji wa Filamu Nchi...

Post Image

Mchekeshaji na muigizaji maarufu nchini Mkono Mkonole amefunguka na kusema kuwa tasnia ya filamu nchini inashuka sana kwa sababu watayarishaji wengi wa filamu nchini kwa sasa hawatumii ubunifu mkubwa katika kutayarisha kazi hizo. eNewz ilipiga story na mchekeshaji huyo na alisema kuwa tasnia ya filamu nchini inazidi kudidimia kwa sababu watayarishaji wenyewe hawatumii ubunifu na […]

Read More..

Ali Chocky na Madai ya Kuihama Twanga

Post Image

Msanii wa Muziki wa Dansi Bongo ambaye kwa sasa anapiga mzigo na Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’,  Ali Chocky amezima madai yaliyokuwa yakienea chini kwa chini kuwa, ana mpango wa kuihama bendi hiyo. Akizungumza na safu hii hivi karibuni, Chocky alisema kuwa, wanaoeneza madai hayo wana sababu zao ila mashabiki wake wajue tu […]

Read More..

Abdu Kiba: Sioni Sababu ya Kiba Square Kuja...

Post Image

Msanii Abdukiba mdogo wa Alikiba amefunguka na kusema kuwa kwa sasa haoni sababu ya kazi zao kama kundi na kaka yake kuanza kutoka kutokana na Alikiba kuwa na kazi nyingi za kushirikiana hivyo atasikika kwa muda mrefu katika kazi mbalimbali. Abdu Kiba alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz ya EATV na kusema kutokana na Alikiba […]

Read More..

Gigy, Amber Lulu Waingia Kwenye Vita Baridi

Post Image

Ma-video queen wasumbufu Bongo, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ na Gift Stanford ‘Gigy Money’ wapo kwenye vita baridi (vita ya maneno) kufuatia Gigy kumchamba mwenzake kutokana na yale madai ya kukamatwa na ‘unga’ jijini Arusha. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa baada ya habari kuzagaa kuwa Amber Lulu amekamatwa na polisi Arusha akiwa na unga, Gigy […]

Read More..

Picha: Barakah The Prince Aonyesha Mjengo W...

Post Image

Msanii wa bongo fleva nchini Tanzania ambaye aliwahi kupata tuzo ya msanii bora anayechipukia mwaka 2014 /2015 kupitia wimbo wake ya ‘Jichunge’ Barakah The Prince ameonesha matunda aliyoyapata kutokana na muziki tangu aanze kuimba mwaka 2014. Miongoni mwa mafanikio aliyopata ni pamoja na kujenga nyumba kubwa yenye vyumba 5 huku nje akiwa ameweka sehemu ya […]

Read More..

Ochu Shegy ni Bora Kuliko Chris Brown ̵...

Post Image

Rapa wa kike nchini, Witness a.k.a kibonge mwepesi amefunguka na kusema kuwa msanii Ochu Shegy ambaye kwa sasa ni mume wake kuwa yeye ni bora kuliko hata Chris Brown. Witness alisema hayo kupitia kipindi cha 5Selekt kinachorushwa na Ting’a namba moja kwa vijana na kudai kuwa kwa sasa Ochu Shegy ni kama ‘Role Model’ wake […]

Read More..

Nyerere Day: Mastaa wa muziki na filamu wam...

Post Image

Leo watanzania wanaadhimisha miaka 17 toka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere amefariki dunia. Alifariki tarehe 14 Oktoba, 1999 huko Uingereza alipokuwa kwenye matibabu. Kitaifa maadhimisho haya yanaenda sambamba na uzimwaji wa Mwenge wa uhuru Mkoani Simiyu, ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein Mkoani Simiyu. Kwa upande wa staa wa […]

Read More..

Belle 9: Siwezi Kufanya Singeli, Atoa Sabab...

Post Image

Belle 9 amesema hafikirii kabisa kufanya muziki wa Singeli. Muimbaji huyo wa R&B amesema huo ni muziki wa kupita na katu hauwezi kudumu. Alitoa kauli hiyo baada ya kuulizwa swali na mtangazaji wa kipindi cha Supa Mega cha Kings FM, Prince Ramalove iwapo atafanya muziki huo mashabiki wakimtaka. “Sitegemei,” alisema Belle. “Hata kama nitafanya, sitofanya […]

Read More..

Diamond:Zamani Nilikuwa Namuiga Barnaba

Post Image

Diamond amesema wakati anaanza muziki, alikuwa anamuigiza Barnaba lakini baadaye akaja kupata njia yake mwenyewe. Alisema hivyo kujibu swali la anaonaje pale anapomsikia Harmonize akiimba kama yeye. Akiongea kwenye kipindi cha The Base cha ITV, Diamond alisema, “Unajua katika muziki kila mtu ana role model wake. Mimi wakati naanza nilikuwa nawaangalia sana Ne-Yo na Usher […]

Read More..

Dokii Afunguka Kukosa Madili, Atoa Wito Huu

Post Image

Muigizaji wa filamu na mwanamuziki nchini maarufu kwa jina la Dokii, amefunguka na kusema kuwa tangu alipo tangaza kuokoka amekuwa akikosa madili mengi sana kwenye tasnia ya filamu nchini. eNewz ilipiga story na Dokii na alisema amekuwa akikosa kazi za u ‘MC’ na sanaa aliyokuwa akiifanya kutokana na watu wengi waliokuwa wakivutiwa na ukataji wake […]

Read More..

Malaika Afungukia Yale Yanayomuumiza

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Malaika ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Rarua’ amefunguka na kusema kuwa watu wanapokuwa wakitumia picha zake au wakiandika mambo yanayohusu maisha yake binafsi ni kitu ambacho kinamuumiza sana.   Malaika alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz Kwa Ngaz’ kinachorushwa na EATV na kudai kuwa muda mwingine […]

Read More..

Meneja wa Diamond Aeleza Ukweli Kuhusu Mada...

Post Image

Baada ya Alikiba kudai alifanyiwa ‘figisu’ kwenye tamasha la Mombasa Rocks Music [Festival] lililofanyika weekend iliyopita huku akimtuhumu meneja wa Diamond, Sallam kuhusika, Sallam amefunguka na kuzungumzia tuhuma hizo pamoja na kilichompeleka katika tamasha hilo. Kiba alitumbuiza nyimbo mbili tu kabla ya mic aliyokuwa anaitumia kuonekana kupata mushkeli/kuzimwa na kumlazimu kuondoka jukwaani na muda mchache […]

Read More..

Baraka The Prince Hakuniangusha – Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema kuwa msanii Baraka The Prince hakumuangusha kabisa kwenye wimbo wao wa pamoja ‘Nisamehe’ Alikiba amesema kuwa kwake yeye ilikuwa rahisi sana kukubaliana na wazo la Baraka kwa kuwa msanii huyo kwanza anakipaji kikubwa lakini pia ni watu ambao wanaendana katika kazi. Alikiba alisema haya kupitia kipindi cha Planet Bongo ya […]

Read More..

Wema Awavaa Wanaomsema Vibaya Aunt Ezekiel

Post Image

SUPA-STAA Wema Isaac Sepetu ‘Madam’, amefunguka kuwa anachukizwa na watu wanaomtolea matusi muigizaji mwenzake, Aunt Ezekiel, baada ya kuhudhuria sherehe ya kuzaliwa ya mzazi mwenza wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’. Akizungumza na Za Motomoto News, Wema alisema unatakiwa ufike wakati watu waelewe na waongozwe kwa akili zao za kuzaliwa […]

Read More..