-->

Monthly Archives: September 2017

Polisi wafukua kaburi la dereva wa bodaboda

Post Image

Moshi. Mwili wa dereva wa bodaboda, Juma Hamis (26) umefukuliwa na polisi kwa ajili ya uchunguzi kubaini chanzo cha kifo chake. Hamis aliyekuwa mkazi wa Boma Mbuzi alizikwa katika makaburi ya Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Kufukuliwa kwa mwili huo kunatokana na amri iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi. Hamis alifariki dunia Julai 28 […]

Read More..

Mastaa Tunajimaliza Wenyewe- Johari

Post Image

BLANDINA Chagula ‘Johari’ amefunguka kwa kuwachana waigizaji wezake nyota kuwa wanajisahau na kushindwa kuhamasisha wadau kuipa thamani kazi yao ya filamu na kuwa watu wa kutumika tu katika shughuli ambazo hazielezei fani yao na kuwa gumzo kwa jamii. Akiongea na FC Johari amesema ameshangazwa na wasanii nyota kuwa nyuma katika shunguli ambazo ni kwa ajili […]

Read More..

Wolper Avunja Kiapo Alichokula

Post Image

MKALI kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Jacqueline Wolper amevunja kiapo alichokula kwamba kamwe hatamwanika mpenzi wake kwenye mitandao baada ya kujiachia kimahaba bila kuogopa chochote. Siku kadhaa zilizopita, Wolper alipozungumza na gazeti ndugu na hili, Risasi Jumamosi ambapo alisema kuwa, baada ya kuachana na mpenzi wake wa zamani waliyekuwa wakijiachia mitandaoni alisema endapo atapata mpenzi mwingine kamwe hatamwanika, […]

Read More..

Dogo Janja Aponea Chupuchupu Kupotezwa

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chande ‘Dogo Janja’ amesema moja ya tukio ambalo hawezi kulisahau kwenye maisha yake ni siku ambayo yeye na washkaji zake walipokwenda kuiba kwenye ‘godauni’ kasha mwenzao mmoja akapotea. Staa huyo wa singo ya Kidebe, ameliambia Juma3tata kuwa tukio hilo lilitokea zamani wakati anahangaika kutoka kimuziki nyumbani kwao Ngarenaro mkoani, Arusha […]

Read More..

Kajala: Sina Mpango wa Kuolewa Tena

Post Image

UKITAKA kutaja majina ya mastaa wakali katika kiwanda cha Bongo Muvi, huwezi kuacha jina la muigizaji Kajala Masanja ‘Kay’ ambaye ni mmoja wa wanawake wakali wa tasnia hiyo. Kajala ambaye ni mama wa mtoto mmoja ana historia kubwa mpaka hapo alipo hivi sasa na ukitaka kujua mengi fuatilia katika makala hii kama ifuatavyo. Over Ze Weekend: Kajala mwanao Paula […]

Read More..

Alikiba Awapa Neno Mashabiki

Post Image

Msanii Alikiba ambaye sasa anatamba na ngoma yake mpya ‘Seduce me’ amefunguka na kuwapa neno la pongezi mashabiki zake baada ya kuiwezesha ngoma yake hiyo mpya kufikisha watazamaji zaidi ya milioni nne ndani ya siku 10. Alikiba ametumia ukurasa wake wa Instagram kuwashakuru mashabiki zake na kuendelea kuifanya ngoma hiyo kushika nafasi ya kwanza katika […]

Read More..

Soma Magazeti ya Leo September, 4

Post Image

  Chanzo:millardayo.com

Read More..

Nawaonea Huruma Kizazi cha Sasa – Fid Q

Post Image

Msanii mkubwa wa hip hop bongo Fareed Kubanda maarufu kama Fid Q, amesema anasikitishwa na hatama ya maisha ya kizazi cha sasa, kwani kimeharibiwa kwa kiasi kikubwa na mitandao. Akizungumza kwenye kipindi cha Bongo Fleva Top 20 cha kinachorshwa na East Africa Radio, Fid Q amesema kizazi cha sasa hakina muda kabisa wa kujisomea vitabu […]

Read More..

Lulu: Aliyepewa Kibali na Mungu Huonekana A...

Post Image

MUIGIZAJI nyota wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo  kupitia ukurasa wake wa instagram ametoa somo kwa mashabiki zake. Soma alichokisema hapa chini Umeshawahi kukutana na watu wa aina hii; 1.SHULENI; Mwanafunzi nayependwa sana Na waalimu na staffs wa shule…anaaminiwa zaidi Hata kwenye baadhi ya mambo muhimu ya kishule…Ila kwa wenzake anaonekana kama hastahili na […]

Read More..

Wakunizima Hajazaliwa -Wema Sepetu

Post Image

Malkia wa filamu Bongo , Wema Abraham Sepetu ametupa jiwe gizani ambalo bado halijajulikana ni kwenda kwa mtu gani na kumwambia bado wa kumshusha hajazaliwa kwani yeye alivyo ni majaaliwa kutoka kwa maulana na siyo kujitakia. Wema ametupa jiwe hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram na kusema kuna mtu kamuharibia siku hivyo na kumwambia kwamba […]

Read More..

Kauli ya Idris baada ya Wema Sepetu kuzingu...

Post Image

Katika uzinduzi wa viatu vya ‘SultanXforemen’, mchekeshaji Idris Sultan ametaja sababu ya mrembo Wema Sepetu kutofika katika uzinduzi huo. Akiongea na Bongo5, Idris amesema alimualika mrembo huyo ambaye alikuwa date wake katika uzinduzi wa filamu ya ‘Heaven Sent’ wikiendi iliyopita na ila mrembo huyo hajafika kutokana na  udhuru aliyopata hivyo akampa ridhaa. “Nilimualika Wema sema […]

Read More..

Video: Baada ya Tupac Chid Benz amvuta Jay ...

Post Image

Baada ya sakata la kusema amefanya collabo na Tupac na kuleta mtafaruku mkubwa kwa mashabiki huku wakimtolea maneno makali wakisema amesha athirika kiakili kwa madawa ya kulevya kwa kuwa Tupac ni marehemu, sasa Chid Benz kuja na collabo na Jay Z. Akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na East Africa Television and […]

Read More..

Ujumbe mzito wa Shamsa Ford kwa Chidi Mapen...

Post Image

Mrembo kutoka kiwanda cha filamu Bongo,  Shamsa Ford  ametimiza mwaka mmoja wa ndoa yake na mumewe mfanyabiashara Rashidi Saidi maarufu kama Chidi Mapenzi. Katika kusherekea mwaka  mmoja huo , Shamsa amempa  mzito mumuwe kuhusu  ndoa yao, yenye mwaka mmoja. “Leo tumetimiza mwaka mmoja wa ndoa yetu.Tumepitia changamoto nyingi sana kwa muda mfupi wa ndoa yetu […]

Read More..

Roma Mkatoliki Aibukia Kenya

Post Image

Rapa Roma Mkatoliki ambaye amerudi na ujio wa nguvu na ngoma zake ‘Zimbabwe’ na ‘Hivi ama vile’  baada ya kukaa kimya muda mrefu baada ya kupata matatizo ya kutekwa sasa ameibukia nchini Kenya. Roma Mkatoliki pamoja na Stamina ambao kwa pamoja wanaunda umoja wao unaofahamika kwa jina la ‘Rostam’ wameanza kupiga hatua mbele zaidi ya […]

Read More..

Seduce Me, Zilipendwa ni shida mtaani

Post Image

KWA vijana wa kizazi kipya na mashabiki wa Alikiba na Diamond kuna maneno mawili tu yanayotamba Seduce na Zilipendwa. Seduce ni wimbo mpya wa Kiba unaomaanisha ushawishi na Zilipendwa ni wimbo wa Diamond anaokumbushia mambo ya zamani kwa staili ya kisasa. KAMA ULIKUWA HUJUI FRESHI REMIX NI wimbo wa Fid Q ambao amewashirikisha Diamond na […]

Read More..

Zari Awajibu Wanaodai Hamkumbuki Ivan

Post Image

AMEWAJIBU! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpenzi wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz, Zari kutembelea kaburi la aliyekuwa mumewe marehemu Ivan Semwanga ‘Ivan Don’, Kayunga, jijini Kampala, Uganda. Mrembo huyo ambaye amekuwa akipata wakati mgumu kutoka kwa watu mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ambao wamekuwa wakimtuhumu kutomkumbuka mume wake huyo wa zamani, […]

Read More..

VIDEO: Jux Kurudiania na Vanessa?

Post Image

Msanii Jux amefunguka na kuweka wazi msimamo wake endapo mpenzi wake wa zamani Vanessa Mdee akitaka kurudi na waishi kama zamani na kusema kwa sasa hajui hivyo hawezi kuhukumu wala kusema lolote juu ya hilo. Jux anasema ni bora asubiri wakati uongee kuliko kusema jambo ambalo hata yeye mwenyewe halifahamu na kusema anaweza kusema haiwezekani […]

Read More..

Goodluck Gosbert Anazidi Kupasua Anga

Post Image

Jina la nyota wa muziki wa Injili Nchini Goodluck Gozebert maarufu kama ‘Lollipop’ sio geni masikioni mwa wengi hasa kutokana na aina ya muziki anaoufanya. Kwa namna moja au nyingine, amechangia kwa kiasi kikubwa kubadili mahadhi ya muziki wa Injili nchini toka ule uliokuwa umezoeleka zamani na kuwa wa kizazi kipya yaani ‘Bongo Gospo’. Ukarimu, […]

Read More..