-->

Monthly Archives: September 2016

Harmonize Afunguka Kutomuogopa Raymond

Post Image

Msanii wa kundi la WCB Harmonize amesema kwa sasa hayuko tayari kufanya colabo na kuwapa watu muda wa kuwatengenezea ushindani kati yao.   Akipiga story ndani ya eNews amesema “Colabo ni kubadilishana mashabiki kwa wakati nafanya colabo na Diamond nilikuwa nikilenga kuwa kuna mahali muziki wa Diamond umefika wa kwangu haujafika na pia Diamond ana’hit’ […]

Read More..

Nitafunga Ndoa Januari-Steve Nyerere

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere aliwasurprise baadhi ya wasanii wenzake wa filamu katika harusi ya Shamsa Ford baada ya kutangaza anaoa mwezi januari mwakani. Akitoa neno kwa niaba ya wasanii wenzake katika harusi ya Shamsa Ford iliyofanyika Sinza Afrikasana Ijumaa iliyopita, Steve Nyerere aliwaabarisha wasanii wenzake kuwa ataoa Januari 2017. “Mimi sina maneno mengi […]

Read More..

Shamsa Ford Afunguka Siri ya Kupata ‘Mume’

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye amefunga ndoa na mfanyabishara Chidi Mapenzi wiki iliyopita amefunguka na kutoa chanzo cha yeye kukutana na mpenzi wake huyo ambaye amefunga naye ndoa na kusema chanzo kilikuwa ni chakula. Shamsa ford anasema kuwa siri ya mahusiano aijuae ni Mungu kwani yeye alikuwa anapita karibu kila siku kwenye duka […]

Read More..

Papa Amtangaza Mama Theresa Kuwa Mtakatifu

Post Image

VATICAN: Maelfu ya watu wameshuhudia ibada ya kutawazwa kuwa mtakatifu, Mama Teresa ambaye ametangazwa na Papa Francis leo.   Raia huyo wa Albania ambaye alifariki mwaka wa 1997 alianzisha shirika la hisani la kimishenari ili kuwasaidia walala hoi katika mtaa wa mabanda wa Calcutta nchini India. Atajulikana kama mtakatifu Teresa wa Calcutta. Waandishi wanasema kuwa […]

Read More..

Wahu Ndiye Mke Sahihi Kwangu – Nameless

Post Image

Msanii kutoka nchini Kenya, ‘Nameless’ amemmwagia sifa mke wake ambaye pia ni msanii mwenzake ‘Wahu’ kuwa ni mke sahihi katika maisha yake. “Nina miaka 11 sasa tangu nifunge ndoa na Wahu, naweza kusema kuwa huyu ni mwanamke sahihi kwangu kwa kuwa kila mmoja hakuna ambaye amemtuhumu mwenzake kutoka nje ya ndoa. “Kupendana kunatufanya kila mmoja […]

Read More..

Muonekano ni Dili – Dogo Janja

Post Image

Msanii Dogo Janja amesema saa hivi ana mpango wa kuweka muonekano wake vizuri kibiashara zaidi, ili aweze kuingiza mkwanja mrefu zaidi ya muziki anaofanya. Akizungumza kwenye Planet Bogno ya East Africa Radio, Dogo Janja amesema sasa hivi muonekano wake umebadilika kutokana na kukua, na pia kutokana na jinsi anavyojiweka safi, ili aweze kuvutia makampuni kumpa […]

Read More..

Mwasiti: Nimepania Kuwafunda Mabinti

Post Image

UNAPOWATAJA wasanii wa kike waliowahi kupata majina makubwa katika muziki wa Bongo Fleva, huwezi kukosa jina la Mwasiti Almasi. Mpaka sasa Mwasiti bado anatesa kwenye muziki huo. Mwasiti amewahi kutamba na wimbo wa ‘Nalivua Pendo’ ambao mwaka 2009 ulipata tuzo ya Wimbo Bora wa Zuku Rumba katika Tuzo za Kili. Swaggaz imepata wasaa wa kupiga […]

Read More..

Matatu Kutoka kwa Mwana FA Baada ya Kuoa

Post Image

Miezi kadhaa baada ya kuuaga ukapera, Hamisi Mwinjuma ‘Mwana FA’ amefunguka mambo matatu ambayo hayafanyi tangu ameoa. KUPIGA MISELE “Kwa kweli tangu nioe, imenibidi kupunguza baadhi ya ratiba ambazo zilikuwa zinanichukulia ‘time’ huko nyuma na kunifanya wakati mwingine kuwa nje ya nyumbani. Kwa kuwa mimi siyo mtu wa kujirusha kiivo, suala hili limekuwa rahisi na […]

Read More..

Fella Kumuachia Mikoba Temba

Post Image

Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanae Foundation pamoja na Yamoto Band, Mkubwa Fella amesema tayari ameshampata mtu sahihi ambaye atamwachia mikoba yake ya kusimamia wasanii pale atakapostaafu. Akiongea na Bongo5 Ijumaa hii, Fella amesema amemuandaa msanii wa Kundi la TMK Family, Temba kuwa mrithi wake. “Kusema kweli mtu ambaye nitamwachia kijiti ni Temba, tayari imeshamuandaa vya […]

Read More..

Nani wa Kuiokoa Bongo Muvi?

Post Image

HALI ya soko la filamu nchini ni tete. Hakuna mwenye uthubutu wa kutamba tena hadharani kuwa eti sinema za Kibongo zinalipa (ingawa awali zilikuwa hazilipi sana). Zinatolewa sababu nyingi; eti mastaa ni walewale, wachanga hawapati nafasi ya kutoka ndiyo maana soko limeshuka. Sababu dhaifu kabisa. Nani alikuwa anamjua Rose Ndauka kabla ya filamu ya Swahiba? […]

Read More..

Mr. Blue Kuwachukulia Hatua Hii Wanaoharibu...

Post Image

Msanii wa bongo flava Mr. Blue ambaye hivi karibuni alipatwa na msuko suko wa kuyumba kwa ndoa yake, kutokana na kusambaa kwa tetesi za kuwasiliana na ex wake Najma Dartan, amesema yuko tayari kumchukulia hatua za kisheria aliyesababisha ugomvi huo. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mr. Blue amesema yeye binafsi hakuwasiliana na […]

Read More..

Ujumbe wa Nay Wa Mitego Kuhusu Ndoa ya Sham...

Post Image

Nay Wa Mitego ameonekana kumchimba mkwara mwanaume aliyemuowa aliyekuwa mpenzi wake, Shamsa Ford. Nay na Shamsa walikuwa na mahusiano mwaka 2015 japo mahusiano yao hayakufanikiwa kudumu kwa muda mrefu na kila mtu kufuata njia yake huku wakidai bado ni marafiki wa kawaida. Kitendo cha kuolewa kwa Shamsa kinaweza kikawa kimemtoa povu rapper huyo kutokana na […]

Read More..

Christian Bella Afungukia Changamoto Aliyoi...

Post Image

Msanii nguli wa kuimba mwenye asili ya Kongo na makazi yake hapa Bongo,Christian Bella , amesema amepata shida sana kwenye kurekodi wimbo wa msanii wa Hip Hop Fid Q, kutokana na ugumu wa mashairi yake. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Christian Bella amesema ilimbidi aombe atafsiriwe maana ya maneno ya kwenye mashairi […]

Read More..

Video: Diamond Akutana na mchekeshaji Maaru...

Post Image

Akiwa jijini Los Angeles, Marekani ambako tayari ameshoot video ya wimbo Marry You aliomshirikisha Ne-Yo, Dimaond Platnumz amekutana na mmoja wa mastaa maarufu sana Marekani. Amekutana na mchekeshaji na muigizaji wa filamu, Kevin Hart.   Diamond ameweka video akiwa na mchekeshaji huyo kwenye ukurasa wake wa Instagram.Icheki hapa.

Read More..

Muziki Wangu ni Zaidi ya ‘Kiki’ – Belle 9

Post Image

Nyota wa Bongo fleva nchini, Belle 9, ambaye kwa sasa katia kambi Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuusimamisha vyema muziki wake, amesema kuwa anaamini kazi yake ni kubwa zaidi ya kiki zilizozoeleka kutafutwa na wasanii. Belle 9 amezungumza hayo na eNewz ambapo amesema muziki wake una nguvu tofauti na kiki ambazo zimezoeleka hapa […]

Read More..

Picha: Shamsa Ford Afunga Ndoa na Chidi Map...

Post Image

Leo staa wa Bongo Movie,  Shamsa Ford  filamu anafunga ndoa na mfanyabiashara wa nguo, Chidi Mapenzi.nyumbani kwao Sinza Afrikasana jijini Dar es salaam. Tunawatakia kheri na baraka katika ndoa yao.

Read More..

Dj Fetty Afunguka Kuhusu Kurudi Clouds FM

Post Image

Dj Fetty ni mmoja kati ya watangazaji waliyoifanya mioyo ya wapenzi wa radio iwe na huzuni wakati wote tangu alipotangaza kuacha kazi hiyo mwezi Septemba mwaka jana kutokana na swagga zake anapokuwa kwenye kipaza. Hakika mashabiki wa kipindi cha XXL cha Clouds FM ndio waliumizwa sana kwa wakati huo na mpaka sasa kutokana na kipindi […]

Read More..

Baada ya Kuacha Muziki, Mzee Yusufu Kuanza ...

Post Image

Mfalme wa muziki wa taarabu nchini, Mzee Yusufu, ameondoka nchini leo Agosti 31, 2016 kwenda kuhij Makkah ili kutimiza moja kati ya nguzo kuu za dini yake ya Kiislam. Mzee kabla hajakwea pipa, eNewz ilifanikiwa kufanya mahojiano naye ambapo amesema hatua ya kwenda kuhiji aliipanga iwe mwaka 2018 lakini kwa vile ana nguvu na uwezo […]

Read More..