Niombeeni Dua-Mzee Yusuph
Alhaji Mzee Yusuph, amefunguka kwamba wananchi wamuombee dua ili aweze kupata moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki alichofiwa mke wake Chiku Khamisi pamoja na mtoto wake mchanga badala ya kuanza kuongea maneno ya unafiki yasiyokuwa na faida. Alhaji amefunguka hayo mara baada ya kuwapumzisha vipenzi vyake hivyo makaburini na kusema kwamba badala ya watu kuanza […]
Read More..