-->

Monthly Archives: June 2017

Niombeeni Dua-Mzee Yusuph

Post Image

Alhaji Mzee Yusuph, amefunguka kwamba wananchi wamuombee dua ili aweze kupata moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki alichofiwa  mke wake  Chiku Khamisi pamoja na mtoto wake mchanga  badala ya kuanza kuongea maneno ya unafiki yasiyokuwa na faida. Alhaji amefunguka hayo mara baada ya kuwapumzisha vipenzi vyake hivyo makaburini na kusema kwamba badala ya watu kuanza […]

Read More..

Kigogo IPTL, Rugemalira Wafikishwa Mahakama...

Post Image

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewafikisha mahakamani, mmiliki kampuni ya PAP, Habirnder Seth Singh na mfanyabiashara James Rugemalira kwa makosa ya uhujumu uchumi. Akizungumza na waandishi wa habari, leo Jumatatu, Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Kamishna Valentino Mlowola amesema, “Leo nawapa taarifa kuwa tunawafikisha mahakamani watuhumiwa wawili, kwa makosa ya kuhujumu uchumi na […]

Read More..

Ebitoke: Ben Pol Akinikataa, Usichana Wangu...

Post Image

TASNIA ya ucheshi nchini imekuwa na idadi ndogo ya wachekeshaji wa kike, hali kadharika wa kiume wamekuwa wakikumbana na changamoto kadhaa zinazopeleka sanaa yao kutotiliwa uzito mkubwa licha ya umuhimu wake, angalau kwa sasa tunaweza kuona wachekeshaji wa kisasa wakiingiza fedha ndefu. Wiki za hivi karibuni mchekeshaji wa kike, Ebitoke amekuwa kwenye vinywa vya wapenda […]

Read More..

Kinachomsumbua Roma Mkatoliki

Post Image

Rapa Roma Mkatoliki aliyejizolea umaarufu mkubwa kutokana na tungo zake zenye kugusa jamii na maisha ya kila siku ya watu, amefunguka na kusema toka ametekwa na kuachiwa afya yake kiujumla imeimarika ila bado anatatizo katika kidole chake cha mwisho. Roma Mkatoliki anadai kuwa kidole hicho kilivunjika lakini hata baada ya kufanyiwa matibabu bado kidole hakijaweza […]

Read More..

Gig Money Afungukia Kupungua Kwake

Post Image

BAADA ya kuonekana amepungua katika picha mbalimbali za mitandaoni na kuzua minong’ono kwa baadhi ya mashabiki wake, Gift Stanford (Gig Money) amefunguka na kusema kuwa mpenzi wake, Mo J, ndiye anayetaka apungue. Gigy ameongeza kwamba, mwonekano huo ndio unaoendana na umri wake, kwa kuwa bado msichana mdogo kiumri, hivyo mwili mkubwa kwake haumuonyeshi uhalisia wake. […]

Read More..

Rose Muhando, Hii Ni Fedheha Kubwa Kwako!

Post Image

NI jambo lisilohitaji mjadala, kukubaliana kwamba Rose Muhando, ni mmoja wa watu ambao Muziki wa Injili Tanzania, una damu yake, hasa unapozungumzia kile kitendo cha kuutoa ndani ya nyumba za ibada na kuuleta nje, tena kwenye majukwaa. Ndiyo, Gospo ni muziki wa ndani ya nyumba za ibada, ukipigwa na wanakwaya kwa miaka mingi hapa kwetu […]

Read More..

Nyie Acheni Kumpakazia Diamond

Post Image

KAMA kuna habari inayobamba kwa sasa katika mitaa ya Jiji la Dar es Salaam basi ni ishu nzima ya Diamond Platinumz. Jamaa amekuwa gumzo kutokana na kuwepo kwa taarifa kwamba kidume kimefanya yake kwa kuwajaza mimba warembo Hamisa Mobetto na Peneal Mwingilwa aliowahi kutoka nao kimapenzi kabla ya kujituliza kwa Zari the Boss. Warembo hao […]

Read More..

Muongozaji wa filamu ya The Karate Kid na R...

Post Image

Mtayarishaji na Muongozaji wa filamu za Rocky na The Karate Kid na mshindi wa tuzo za Oscar, John G. Avildsen amefariki dunia. Mtoto wa John Avildsen aitwaye Avildsen Anthony ameviambia vyombo vya habari leo nchini Marekani kwamba baba yake amefariki kwa ugonjwa wa saratani katika hospitali ya Sinai Medical Senter mjini Los Angeles. Filamu ya […]

Read More..

Namiliki Fremu Zaidi ya 70 – Z Anto

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi ambaye aliwahi kutamba na ngoma kama Binti kiziwi, Mpenzi jini na Kisiwa cha Malavidavi Z Anto amefunguka na kusema kuwa hapa mjini anamiliki fremu za biashara zaidi ya 70. Z Anto anasema kuwa yeye ni kama baadhi ya wasanii ambao wamekuwa na maneno mengi kuliko utekelezaji ndiyo maana amekuwa akizidi […]

Read More..

Afande Sele Atoa Ujumbe Huu kwa Kina Baba W...

Post Image

Ikiwa leo ni siku ya akina Baba Duniani Mfalme wa Rhymes nchini Tanzania, Afande Sele amewaasa akina Baba wote ulimwenguni kukumbuka majukumu yao kwa watoto na sio kuishia kuwapa mimba tuu akina mama bila kutunza watoto. Afande Sele ambae ni mtoto Baba wa watoto wawili amesema jukumu la Baba lisiishie kutia mimba tuu bali lije […]

Read More..

Sitegemei Kugombana na Alikiba – Bara...

Post Image

Msanii Baraka The Prince amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye hana tofauti yoyote na Alikiba na kudai kuwa watu wa mitandaoni ndiyo wamekuwa chanzo cha kusambaza maneno hayo kuonyesha yeye ana tofauti na Alikiba. Baraka The Prince amedai kuwa yeye hawezi kugombana na Alikiba na wala hategemei kuja kumkosea kwa kuwa ni moja kati ya […]

Read More..

Gabo: Najengea Daraja la Kuelekea Mafanikio...

Post Image

Dar es Salaam. “Aliyeanzisha virusi kwenye simu, kompyuta, bila shaka alitafuta suluhisho la virusi hivyo akapata tiba yake (anti virus). “Kwa sababu waigizaji ndiyo chanzo cha kufika hapa filamu zilipo, hatuna budi pia kutafuta suluhisho la tatizo, ” Hivyo ndivyo anavyoanza kueleza mwigizaji Gabo Zigamba. Gabo anasema mashabiki wa filamu licha ya kupenda burudani wamechoshwa […]

Read More..

Snura na Ben Pol Eti Wanazingua!

Post Image

WANAZINGUA. Hayo ni maneno ya mashabiki wakiwatupia wasanii Snura Mushi ‘Chura’ na Ben Pol baada ya wasanii hao kujibizana wenyewe kwa wenyewe kwenye vyombo vya habari na kugeukana. Snura na Ben Pol, katika Usiku wa Fiesta Dodoma mwishoni mwa mwaka jana, wakati wanatoa burudani walionekana wakikumbatiana kimahaba huku wakipeana mabusu moto moto jukwaani na kusababisha […]

Read More..

Hivi Punde: Mke Mdogo wa Mzee Yusuf Amefari...

Post Image

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi Modern, Mzee Yusuf amefiwa na mkewe usiku huu. Mmoja wa Wakurugenzi wa Jahaz Modern Taarab, Mzee Juma Mbizo ameiambia Global Publishers kuwa bi Chiku, ambae alikua mke mdogo wa Mzee Yusuf amefariki dunia katika Hospitali ya Amana wakati akijifingua. Mtoto nae pia amefariki. Pumzika kwa amani Chiku. Pole kwa […]

Read More..

Dokii Afungukia Kurudi Kuigiza Vichekesho (...

Post Image

Mwimbaji na msanii mkongwe wa maigizo Tanzania Dokii ameamua kurudi kwenye uigizaji kwa namna ya pekee baada ya kugeukia vichekesho ambapo mara hii ameungana na Timamu na mchekeshaji Mpoki. Kwenye EXCLUSIVE Interview na Ayo TV Dokii amekiri kuwa kimya kwa muda mrefu akifanya biashara tofauti ya muziki na uigizaji lakini sasa ameamua kurejea akigeukia vichekesho. […]

Read More..

Asilimia 61 Tanzania Kuwa Jangwa-Makamba

Post Image

Takwimu zinaonyesha kwamba nchi ya Tanzania ipo hatarini kugeuka jangwa ambapo asilimia 61 ya maeneo ya nchi tayari yapo katika hatari zaidi ya ukame kutokana na ukataji miti hovyo. Akizungumza ofisini kwake mjini Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba amesema kwamba mikoa mbalimbali nchini imekwishaanza kuathirika na hali […]

Read More..

Mtanzania Ahukumiwa Jela Miezi 3 Uingereza,...

Post Image

Mwanaume mmoja mwenye asili ya kitanzania, Omega Mwaikambo (43) amekamatwa nchini Uingereza kwa kosa la kuweka picha za mwili wa mtu aliyefariki katika ajali ya moto kwenye mtandao wa Facebook. Mwaikambo ameukumiwa kifungo cha miezi miatatu jela pamoja na kulipa faini ya kwenda jela miezi 3 kwa kosa hilo huku akitakiwa pia kulipa faini ya […]

Read More..

Gabo Amkana Wema Sepetu

Post Image

Muigizaji anayesadikika kuwa ni pendwa wa kiume hapa nchini Tanzania, Gabo Zigamba amekanusha tetesi zinazoendelea kuhusu kuwa na uhusiano wa kimapenzi baina yake yeye na Muigizaji Wema Sepetu walipokuwa wakitengeneza filamu mpya ya Kisogo. Akiwa jana kwenye kipindi cha FNL cha EATV, Gabo aliweka wazi kuwa maneno ya kuzushiwa kati yake na malkia huyo wa […]

Read More..