-->

Monthly Archives: May 2016

AT Awapa ‘Makavu Live’ Mapromot...

Post Image

Game ya Bongo imekuwa ikishikiliwa na wasanii wa kutoka Tanzania bara na kwa sasa wasanii wengi wa kutoka Zanzibar wamekuwa wakifeli. Akizungumzia sababu kubwa ya kufeli kwa wasanii hao Star wa mduara AT alisema kuwa mapromota ndo wanaoua vipaji vya wasanii hao. “Wao wanapromote sana wahuni kuliko wastaarabu wanaojua kufanya kazi na ndomana muda mwingine […]

Read More..

WCB Wadaiwa Kupora Wimbo wa ‘Bado’

Post Image

Producer Frag kutoka Uptown Music ametumbua jipu baada ya kuibuka na kusema kuwa yeye ndiye aliyetengeneza wimbo wa Bado wa Harmonize na Diamond. Frag aliiambia Enewz kuwa pamoja na kazi kubwa aliyoifanya kuhakikisha ngoma hiyo inakuwa poa lakini bado WCB wakamzima na hawakumlipa hata senti tano na kuambulia elfu thelathini pekee ya nauli. “Kawaida nikifanya […]

Read More..

Nape Kutumbua Majibu 4 Ambayo Yataibadili B...

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ametaja mambo manne ambayo ni vikwazo ndani ya sekta ya sanaa ya filamu nchini na kuyaita kwamba ni majipu huku akisisitiza kwamba Serikali itatunga sera ya sekta hiyo katika mwaka wa fedha 2016/17. Nape aliyataja mambo hayo na kuyafananisha na majipu kuwa ni uporaji wa kazi […]

Read More..

Maneno Haya ya Christian Bella Yawashangaza...

Post Image

Kama wewe ulikuwa ukiamini msanii Christian Bella kwenye ‘playlist’ zake lazima awasikilize wasanii wa Kongo inabidi uifute,’isue’ ni kwamba Bella sio mpenzi kabisa wa ngoma za dansi. Christian Bella amefunguka haya kupitia choudsfm. ‘’Kwasababu mimi napenda sana kusikiliza za wazungu ningependa kurudia wimbo wa ‘With U’ wa Chriss Brown mimi nina ngoma zangu kama hizo, […]

Read More..

Tamthilia ya’ The Favoured one’ Kuoneka...

Post Image

Ni tamthiliya inayohusu simulizi na visa vya kweli katika maisha ya watu. Itaonekana katika chaneli ya StarTimes Swahili, mahususi kwa vipindi vinavyotumia lugha ya Kiswahili inayoonekana pia nchini Kenya. StarTimes yahamasisha watanzania kuchangamkia fursa kwa kutengeneza filamu na tamthiliya ili ziweze kuonekana kupitia chaneli hiyo ili kupanua wigo wa mashabiki wao. Katika kuboresha maudhui yanayotumia […]

Read More..

Shaa Aeleza Anavyomchukulia Master J

Post Image

Master J na Shaa wamekuwa kwenye uhusiano kwa miaka mingi sasa na wameendelea kuwa imara. akini pamoja na kuwa hivyo, bado uhusiano wao wa kikazi una nafasi kubwa zaidi. Hali hiyo ndiyo imemfanya Shaa kujitahidi kutofautisha uhusiano wao na kazi kwakuwa kwake Master J ni bosi wake. “Bosi wangu meaning ni CEO wa MJ Records, […]

Read More..

Dayna Atoboa Sababu za Kukataa Kuolewa Mara...

Post Image

Msanii Dayna Nyange mwezi uliopita alihudhuria ndoa ya mshakaji wake Roma ilifanyika mjini Tanga, lakini pia mwezi uliopita kuna picha yake ilisambaa anaonekana ametupia shela la harusi yupo na mwanaume flani, akiizungumzia picha hiyo alisema kuwa picha ile ilipigwa kwenye maonyesho ya mavazi, je ana mtazamo gani kuhusu ishu za kufunga pingu za maisha. ‘’Kiukweli […]

Read More..

Pichaz: Mabusu ya Gigy Money kwa Idris Yazu...

Post Image

Picha zinazomuonesha Gigy Money wakati akimpiga mabusu Idris Sultan wakiwa katika show ya Pool Party iliyofanyika Ijumaa iliyopita katika hotel ya Regency Park jijini Dar es salaam, zinawatoa povu mashabiki wa Wema Sepetu. Video queen huyo alipost picha hizo katika mtandao wake wa instagram na kuandika: Bwanaaa bwanaaa nisipige picha na watu. Pia katika picha […]

Read More..

Bora Ukimwi Kuliko Kutumia Dawa za Kulevya-...

Post Image

Msanii wa kizazi kipya Ferooz amefunguka na kusema ni bora mtu apate virus vya Ukimwi kuliko kutumia madawa ya kulevya kwani anadai mtu akitumia dawa za kulevya mwisho wake ni kuaibika na kushindwa kufanya mambo ya msingi katika jamii. Akizungumza kwenye kipindi cha eNewz Ferooz alidai kuwa yeye anaona ni bora mtu apate Ukimwi kwani […]

Read More..

Diamond Awajibu Wanaojaribu Kumuachanisha n...

Post Image

Kumekuwa na taarifa zilizosambaa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram kuhusiana na ‘video Queen’ wa ngoma mpya ya Raymond Tip Top iitwayo ‘Kwetu’ aitwaye Lyyn kuwa anatoka na msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz. Kwa muda wa wiki kadhaa Diamond alikuwa kimya kuhusiana na taarifa hizo lakini siku ya jana kupitia akaunti ya Instagram aliwajibu […]

Read More..

Mzee Majuto Afungukia Kuacha Kuigiza, Amrud...

Post Image

Mzee majuto ambaye amejipatia umaarufu sana kwa uigizaji hususani katika Comedy ametoa kauli rasmi kuwa kwa sasa ameamua kuachana na kazi hiyo ya uigizaji na sasa kumtumikia Mungu na kuomba asamehewe makosa kwa yale aliyotenda nyuma. Mzee Majuto amesema kuwa kwa sasa anaamini anaweza kuishi bila kutumia kipaji chake hicho cha ugizaji na muda huu […]

Read More..

Nay Ampiga Changa Director Wake

Post Image

Muongozaji wa video kutoka Bongo, Nicklass, ambaye amefanya video ya ‘Shika adabu yako’ ya Nay wa Mitego alipigwa changa la macho na Nay juu ya video hiyo. Akizungumza na Enewz Nicklass alisema kuwa Nay alimdanganya kuwa afanye video na wote aliowadis amekwisha ongea nao na haitakuwa na shida lakini kumbe haikuwa hivyo. “Nay alivyokuja kunitaka […]

Read More..

Uwoya Hapendi Kutaja Gharama ya Vitu Vyake

Post Image

MSANII wa filamu za nchini, Irene Uwoya, amefunguka na kusema hapendi kuweka wazi mambo yake binafsi kama ilivyo wasanii wengine. Msanii huyo alisema kuwa kuna baadhi ya wasanii ambao wanapenda kuweka kila kitu chake ambapo haina maana yoyote kwa jamii. Akizungumza na MTANZANIA, msanii huyo alisema anapendelea kufanya mambo yake kwa siri na sio kuweka wazi kwenye […]

Read More..

Lulu: Mastaa Mtaishia Kuchambana Insta

Post Image

ZA uso laivu! Staa mwenye mvuto Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa mastaa wengi Bongo wataishia kuchambana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram badala ya kutafuta elimu ili siku moja wapate nyadhifa serikalini. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Lulu alisema kwamba, amegundua kuwa elimu ndiyo kila kitu hivyo amewasihi mastaa wenzake waache kuchambana na […]

Read More..

Lamata Ataka Waongozaji wa Filamu Wapewe Um...

Post Image

LEAH Mwendamseke ‘Lamata’ anasema kuwa tasnia ya filamu ina changamoto kubwa sana hasa pale ambapo unakuta watayarishaji wanawatambua na kuwapa nafasi wasanii kuliko hata waongozaji, waandishi wa muswada au watendaji wengine katika tasnia ya filamu. Inashangaza sana sisi ambao ndio watendaji wakuu hatuthaminiwi kama wasanii wanaonekana katika kamera lakini hakuna msanii mnzuri bila Director au […]

Read More..

Riyama Ally Amefungukia Maumivu Aliyoyapata...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally aelezea maumivu aliyoyapata kipindi alichopoteza mtoto. Akizungumza na gazeti la mwanaspoti, Riyama anafichua kuwa mwaka 2000 aliwahi kupata mtoto akafariki, baada ya hapo alikuwa anatamani kubakia mpweke siku zote kwa sababu ya simanzi aliyopata. “Maumivu niliyosikia kwa kumpoteza mtoto wangu yule, ilinifanya nitamani kuwa mpweke tu, lakini kwa vile […]

Read More..

Watayarishaji wa Muziki Bongo Wana Hali Mba...

Post Image

Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini Tanzania, Master J amesema watayarishaji wa muziki wa Bongo wana hali mbaya sana kwa sasa. Master J amejiwekea heshima kubwa kwenye;muziki wa Bongo Fleva, pia amefanikiwa kuwatambulisha wakongwe kibao wa muziki wa Bongo Fleva na Hip Hop ambao wamejiwekea heshima kubwa kwa sasa nchini. Akiongea kwenye kipindi cha FNL, kinachoruka […]

Read More..