-->

Monthly Archives: October 2016

Ujumbe wa Francis Cheka Baada ya Taarifa za...

Post Image

Wiki hii imeanza kwa huzuni kwa mashabiki wa mchezo wa ngumi nchini baada ya kifo cha bondia Thomas Mashali hasa baada ya kusikia taarifa za chanzo cha kifo hicho. Mmoja wa watu walioumizwa na taarifa hizo ni Francis Cheka. Kupitia mtandao wa Instagram, Cheka ameandika: Ilikuwa ni heshima kuingia ulingo mmoja na wewe ndugu yangu […]

Read More..

Mastaa Bongo Fleva Wanavyochuana kwa Mikoko...

Post Image

WASANII wa Marekani walitangulia kwa muda mrefu kabla wasanii wetu wa Bongo Fleva hawajaanza kuimba. Pamoja na majumba ya kifahari, kumiliki biashara mbalimbali, miongoni mwa mambo ambayo waliyafanya baada ya kufanikiwa kimuziki ni pamoja na kumiliki magari ya kifahari. Kibongobongo pia, wasanii wetu nao hawapo nyuma. Baada ya kuanza kupata mafanikio, wapo wasanii walioonesha heshima […]

Read More..

Wema Sepetu Amuandikia Ujumbe Miss Tanzania...

Post Image

Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu amedai mshindi wa shindano la Miss Tanzania 2016, Diana Edward alistahili kuchukua taji hilo. Kupitia Instagram, Wema ameandika: When You Nailed that question Properly, I knew that The Crown was Yours…. Congratulations mdogo wangu… You deserve it… And I have a very good feeling about Your performance in the Miss […]

Read More..

Baba Mashali Asimulia Mazito Kifo cha Mwana...

Post Image

BABA mzazi wa aliyekuwa bondia wa ngumi za kulipwa, Thomas Mashali ‘Simba asiyefugika’, Malifedha Christopher Mashali amesimulia namna alivyoguswa na kifo cha mwanaye huyo kilichotokea usiku wa kuamkia leo Kimara jijini Dar. Akizungumza na mtandao huu, nyumbani kwake Tandale kwa Mtogole jijini Dar, mzee Mashali alisema taarifa za kifo cha mwanaye alizipata leo alfajiri kupitia […]

Read More..

Duma wa Siri ya Mtungi Kuachia ‘Chun’ta...

Post Image

Msanii wa filamu Daudi Michael Tairo, anayefahamika zaidi kwa jina la Duma ndani ya tamthilia ya Siri ya Mtungi, amejipanga kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Chun’tama’. Mwigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa filamu hiyo itakuwa inazungumzia maisha halisi wa watanzania pamoja na masuala ya uchawi. “Baada ya kufanya vizuri katika filamu yangu ya ‘Mchongo Sio’ nikaona […]

Read More..

Pichaz: Show ya Diamond Nchini Malawi

Post Image

Licha ya mvua kubwa kunyesha, Diamond amefanikiwa kupiga show iliyofana kwenye Sand Music Festival iliyofanyika kwenye fukwe za Living stone Jumamosi hii. Mpiga picha wake, Kifesi amedai kuwa mvua kubwa ilinyesha na kulazimu show yake kusimama kwa muda. Hata hivyo mashabiki waliokuwa na hamu kumuona akitumbuiza, walisubiri hadi ilipokata. Kwenye picha hii Kifesi ameandika: Picha […]

Read More..

Mtanga Atoa Ombi Hili kwa Serikali

Post Image

Msanii wa vichekesho nchini ambaye kwa sasa anafanya kazi na kundi la Ze Comedy la EATV maarufu kama Mtanga ameiomba serikali isimamie mauzo ya kazi za wasanii kwa kuwa wasambazaji binafsi wanawaonea wasanii jambo ambalo linadidimiza tasnia ya sanaa. Mtanga ameyasema hayo katika kipindi cha  SUPAMIX katika programu maalumu inayokwenda kwa jina la ‘KAMATIA KITAA’ […]

Read More..

Msanii Linah Ajibu Madai ya Amini

Post Image

Baada ya Amini kudai msanii mwenzake Linah Sanga amebadilika na kupoteza ule uimbaji wake wakuvutia, Linah amefunguka na kuizungumzia kauli hiyo. Muimbaji huyo ambaye aliwahi kufanya vizuri na wimbo ‘Ole Themba’ amesema kwa sasa yeye yupo juu zaidi ya Amini. “Unajua soko letu lilivyo linabadilika badilika na hii ni biashara kusema nifuate ‘Ulinah’ sana naweza […]

Read More..

Ray C bado ana ‘chumba’ Chake – Lord Eyes

Post Image

Rapa Lord Eyes ambaye ni mmoja wa wasanii wa kundi la Weusi amefunguka na kusema msanii Ray C bado ana chumba chake kwenye muziki na kusema yeye bado anamuombea kwani kwa matatizo aliyonayo kwani yale ni kama maradhi hivyo hayaponi kwa siku moja. Lord Eyes ambaye kwa sasa amepumzishwa kwenye kundi hilo, alisema hayo kupitia kipindi […]

Read More..

Mwijage Kuwa Mgeni Rasmi Fainali Maisha Plu...

Post Image

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage, amekubali kuwa mgeni rasmi katika fainali ya Maisha Plus Afrika Mashariki 2016. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwijage alisema atahudhuria katika kijiji hicho na atafanya uzinduzi wa mashine ya kukobolea mahindi. Alisema amepata mwaliko wa kwenda katika Kijiji cha Maisha Plus na kazi kubwa ambayo ataifanya ni […]

Read More..

Miss Kinondoni Atwaa Taji la Miss Tanzania ...

Post Image

Miss Kinondoni 2016, Diana Edward Lukumai aimeibuka kidedea kwa kutwaa taji la Miss Tanzania 2016. Shindano hilo kwa mara ya kwanza limefanyika jijini Mwanza katika ukumbi wa Rock City Mall. Diana ameibuka kidedea na kuwabwaga wenzake 30.

Read More..

Nyuma ya Pazia Diamond Kumfunika Kiba kwa â...

Post Image

MWISHONI mwa wiki iliyopita, gumzo kubwa kunako tasnia ya burudani Bongo ilikuwa juu ya hafla ya utoaji Tuzo za MTV Afrika (MAMA) ambapo wawakilishi kutoka Bongo, Vanessa Mdee ‘Vee Money’, Navy Kenzo, Yamoto Band, Diamond, Raymond na Ali Kiba ‘King Kiba’ walitoka kapa. Mengi yameongelewa kuhusiana na tuzo hizo kuonekana kama zilitolewa kwa upendeleo (Sauz […]

Read More..

Wasanii Bongo Umoja Wetu ni wa Misibani Tu:...

Post Image

Muigizaji wa kundi la Zecomedy la EATV, Mtanga amesema wasanii nchini hawana umoja kama watu wanavyodhani ila umoja huonekana pindi kukiwa na tatizo la msiba ndipo wasanii hukutana kwa umoja. Mtanga ameyasema hayo kupitia kipindi cha SUPAMIX ‘Kamatia Kitaa’ ambacho kimefanyika katika stendi ya Morocco Jijini Dar es Salaam ambapo kundi la Zecomedy limejumuika na wananchi […]

Read More..

Shamsa Ford: Siwezi Kuficha Hisia Zangu

Post Image

Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja Shamsa Ford amesema yeye ni mwanamke ambaye hawazi kufisha hisia zake za mapenzi. Malkia huyo wa filamu ambaye alifunga ndoa miezi mitatu iliyopita na mfanyabishara wa maduka ya nguo Chidi Mapenzi, amesema amekuwa akijiachia katika mitandao ya kijamii kueleza hisia zake juu mume wake kutokana na kudai […]

Read More..

Sijawahi Kupata Tuzo Tangu Nianze Muziki -M...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva nchini Mr. Blue ameweka bayana kwamba pamoj na kukubalika na mashabiki wengi na na kuwa kwenye tasnia ya muziki kwa muda mrefu hajawahi kupata tuzo hata moja ya kutambua mchango wake kwenye muziki. Akizungumza katika kipindi cha Friday Night Live (FNL) kinachorushwa na EATV kila siku ya Ijumaa, Mr. Blue amesema  […]

Read More..

Hii Ndilo Jina Jipya la Mr Blue Baada ya â€...

Post Image

Mr Blue amelitaja jina lake jipya analolitumia baada ya lile la ‘Simba’ kuchukuliwa na Diamond Platnumz. Rapper huyo amesema kuwa kwa sasa anatumia jina la ‘Nyani Mzee’ kama jina lake jingine la utani. “Actually kwa sasa jina la Simba nimeliacha ila kwa sasa natumia jina la ‘Nyani Mzee’ nikimaanisha nimekwepa mshale mingi. Nasubiri na hilo […]

Read More..

Nimeamua Kuwa Nuru Yao- Da Zitta

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Zitta Matembo ‘Da Zitta’ aamegeukia walemavu baada ya kutengeneza filamu ijulikanayo kama Nuru huku mhusika mkuu wa filamu hiyo akiwa mlemavu kabisa na inaelezea changamoto wanazokutana nazo jamii hasa wale wenye ulemavu wa viungo mbalimbali Da Zitta anasema kuwa imekuwa ni vigumu sana wasanii ambao wana ulemavu kupiwa nafasi […]

Read More..

Tuzo Zitaongeza Thamani ya Mauzo ya Filamu-...

Post Image

Rais wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF) Simon Mwakifwamba amesema tuzo ambazo zimeandaliwa na EATV ambazo zipo kwenye mchakato sasa na wasanii mbalimbali wamejitokeza kujipendekeza katika tuzo hizo zitasaidia wasanii kupaa katika mauzo ya kazi zao. Mwakifwamba ameyasema hayo alipokuwa akiongea na EATV akitoa mtazamo wake kuhusu kuanzishwa tuzo hizo na faida ambazo msanii anaweza kuzipata kwa kushiriki kuwania tuzo […]

Read More..