Faiza Ally: Wasanii wa Filamu Tanzania Wata...
Msanii wa filamu Tanzania, Faiza Ally amefunguka kuhusiana na mwenendo wa tasnia ya Bongo Movie inayoendelea kwa sasa. Kupitia mtandao wa Instagram, muigizaji huyo amedai kuwa kwa sasa uigizaji si kazi ya kuichagua kuifanya labda uwe na njia mbadala tofauti na iliyopo sasa. Katika wasanii ambao wengi watakufa maskini Tanzania ni wasanii wa filamu… Na […]
Read More..





