-->

Monthly Archives: October 2016

Faiza Ally: Wasanii wa Filamu Tanzania Wata...

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania, Faiza Ally amefunguka kuhusiana na mwenendo wa tasnia ya Bongo Movie inayoendelea kwa sasa. Kupitia mtandao wa Instagram, muigizaji huyo amedai kuwa kwa sasa uigizaji si kazi ya kuichagua kuifanya labda uwe na njia mbadala tofauti na iliyopo sasa. Katika wasanii ambao wengi watakufa maskini Tanzania ni wasanii wa filamu… Na […]

Read More..

Tausi Mdegela: Sina Mahusiano ya Kimapenzi ...

Post Image

Muigizaji na mchekeshaji kwenye tasnia ya Bongo Movie, Tausi, amesema hana mahusiano yeyote nje ya kazi na Hemed PHD huku akisema huwa wanakutana kambini na hana hata namba ya simu ya msanii huyo. Tausi ameibuka na kusema hivyo baada ya kuwepo uvumi wa kujimwaga na staa huyo ambapo aliiambia eNewz “Hemedy ni msanii mwenzangu tu […]

Read More..

Lulu:Nimekataa Dili Kadhaa Kutoka Nigeria

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth ‘Lulu ‘ Michael amefunguka kwa kudai kuwa tangu alipopata tuzo ya AMVCA 2016 amekataa dili kadhaa kutoka kwa wasanii wa muziki wa Nigeria. Muigizaji huyo ameitaja sababu ya kukataa dili hizo imetokana na yeye si mwanamuziki wala video vixen. “Nimepata dili kama mbili tatu kutoka Nigeria za kuigiza filamu […]

Read More..

Linah Sanga Afunguka Kuhusu Ujauzito

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Linah Sanga maarufu kama ‘Ndege Mnana’ amefunguka na kusema kwa sasa hana ujauzito kama ambavyo watu wanahisi ila amedai kuwa yeye mwenyewe anatamani kuwa na mtoto na kusema muda si mrefu huenda mambo yakawa hivyo. Linah Sanga alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live ya EATV na kusema hivi sasa […]

Read More..

Nay wa Mitego: Ya Barakah na Stan Bakora in...

Post Image

Nay wa Mitego amedai kuwa kinachoendelea kati ya Barakah The Prince na Stan Bakora, kinaweza kuwa kitu cha kutengeneza. Akiongea na mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove, rapper huyo amewaita wawili hao wote watoto na kwamba umri wao unawaruhusu kufanya wwanachokifanya. “Siwezi kusimama upande wowote, hao ni watoto, wote ni wadogo mimi ni wadogo zangu,” […]

Read More..

Saida Karoli Atamani Collabo na Diamond

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amesema msanii Saida Kalori alimwambia kwamba anatamani kufanya naye kazi. Diamond ameyasema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha FNL cha EATV ambapo ameweka bayana kwamba wimbo ‘Salome’ ambao unaendana kabisa na wa Saida Kalori ulipata Baraka zote kutoka kwake na walipowasiliana kwa njia ya simu alimwambia anatamani kufanya naye kazi. […]

Read More..

Ditto Atoboa Siri ya Kufanya Nyimbo Zinazoi...

Post Image

Muimbaji na mtunzi wa nyimbo, Lameck Ditto amesema muziki wake bado unamlipa zaidi kupitia ring tone na hiyo ndio ilikuwa shabaha yake; kufanya nyimbo ambazo zitaishi kwa muda mrefu. Akiongea na Clouds E ya Clouds TV, Ditto alisema, “Unajua licha ya kuwa kimya kwa muda ila nyimbo zangu huwa zinakaa muda mrefu. Mtu akisikiliza kama […]

Read More..

Filamu ya ‘Afande Chacha’ Kuonyeshwa Si...

Post Image

Afande Chacha ni moja kati ya filamu bora zaidi kutoka Step Entertainment iliyojumuisha mastaa wakali wa bongo movie wakiweno Riyama Ally, Hemmed  PHD na Mzee Majuto. Kwa mara ya kwanza itaonyeshwa ijumaa tarehe 14 mwezi  kupitia Sibuka maisha channel 111 kwenye startimes kuanzia saa 3 usiku ni bongo movie bandika bandua.  

Read More..

Amber Lulu Afungukia Kukamatwa na Unga

Post Image

Kufuatia madai ya kukamatwa akisafirisha madawa ya kulevya ‘unga’ jijini Arusha kuelekea China, video queen matata Bongo, Lulu Auggen ‘Amber Lulu’ amefungukia ishu hiyo akidai kuwa anaamini ilitengenezwa na watu walioamua kumchafua. Amber Lulu aliliambia Wikienda kuwa alishangaa kuona mitandaoni kwamba amekamatwa na unga, lakini hakuna kitu kama hicho kwani hajawahi kukamatwa. Kabla ya kumpata […]

Read More..

Alikiba Atoa Madai Haya Kuhusu Tamasha la M...

Post Image

Hatimaye Alikiba ameeleza sababu ya kukatizwa kwa show yake kwenye tamasha la Mombasa Rocks ambalo Chris Brown pia alitumbuiza. Kwenye tamasha hilo, Kiba alitumbuiza nyimbo mbili tu kabla ya mic aliyokuwa anaitumia kuonekana kupata mushkeli/kuzimwa na kumlazimu kuondoka jukwaani. Akiongea na mtangazaji wa kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen ya Kenya, Willy Tuva akiwa […]

Read More..

Nini Kimemfanya Snura Amng’ang’anie Chura?

Post Image

Kwa kawaida wasanii wengi ambao nyimbo zao hufungiwa, huachana nazo na kuendelea na nyingine, lakini kwa Snura imekuwa tofauti baada ya kuamua kukomaa hadi alipotimiza masharti yote na kuruhusiwa kuendelea na Chura wake. “Nimekubaliana na maelekezo ya serikali na nimebadili video ya wimbo wangu wa Chura na sasa umeruhusiwa rasmi. Lakini najua watu wengi watakuwa […]

Read More..

Riyama, Mumewe Wadaiwa Kutengana!

Post Image

Kama kawaida, tunakuletea ubuyu wa motomoto kuwa mkali wa sinema za Kibongo, Riyama Ally na mumewe ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Haji Mwalimu Mzee ‘Leo Mysterio’, wanadaiwa kutibuana na kufikia hatua ya kutengana kimakazi. Kisa cha yote hayo inasemekana kwamba, jamaa huyo hampendi mtoto wa Riyama aliyezaa na mwanaume mwingine, ishu ambayo mwanamama huyo […]

Read More..

Mama Diamond Akimtambua Vizuri Mwanaye Atam...

Post Image

MWAKA 2009 Diamond Plutnumz akiwa ndiyo kwanza ameingia katika ulimwengu wa umaarufu, alihojiwa na jarida fulani maarufu ambalo kwa sasa halitoki tena juu ya matarajio yake katika muziki na maisha. Japo kwa nyakati zile wengi huenda hawakumuelewa, ila Diamond alisema kuwa, dhamira yake ya kwanza anataka kuwa mwanamuziki maarufu sana Afrika halafu awe mwanamuziki tajiri. […]

Read More..

Kisa Riyama, Mwanaheri Achaniwa Nguo!

Post Image

Msanii wa filamu anayekuja kwa kasi Bongo, Mwanaheri Ahmed hivi karibuni alikumbwa na dhahama alipokatiza Mtaa wa Kongo, Kariakoo jijini Dar baada ya kuchaniwa dera lake kisa kufananishwa na muigizaji mwenzake, Riyama Ally. Akizungumza na Amani Mwanaheri alisema kuwa, amekuwa akikutana na sintofahamu kubwa njiani baada ya watu wengi kumfananisha na Riyama hata kabla ya […]

Read More..

Navy Kenzo waeleza jinsi ratiba ya AliKiba ...

Post Image

Wasanii wa Kundi la Navy Kenzo ameshindwa kuachia kwa wakati kolabo yao na AliKiba kutokana na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’ kuwa busy hali ambayo imewafanya washindwe kumpata kwa ajili ya kushoot video. Wakizungumza katika kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi hii, wasanii hao wamesema zaidi ya mara mbili walipanga kushoot video hiyo […]

Read More..

Matonya: Sibahatishi Kwenye Muziki

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Matonya amesema kuwa yeye kwenye muziki habahatishi anajua nini anafanya na kwamba sasa amepunguza kufanya show za nje ili kijipa nafasi ya kuandaa kazi zake mpya pamoja na video mbalimbali ambazo zitaanza kutoka muda si mrefu. Matonya amesema haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio ambayo ilikuwa ikiruka […]

Read More..

KR Muller Kumtafuta Juma Nature Ili Kumaliz...

Post Image

KR Muller ambaye kwa sasa ni member wa Rada Entertainment anajipanga kumtafuta kiongozi wa TMK Wanaume Halisi, Juma Nature ili kumaliza tofauti zao. Juma Nature amekuwa akimtuhumu KR kuaribikiwa baada ya kuhama TMK na kuhamia Rada Entertainment ya TID. Akiongea na Bongo5 wiki, KR amesema anajipanga kumtafuta Juma Nature ili kuzungumzia yaliyotokea. “Kusema kweli haya […]

Read More..

Muna Afungukia Madai ya Kumuingiza Wema Kwe...

Post Image

Mrembo aliyewahi kufanya vyema kwenye tasnia ya maigizo Bongo, Rose Alphonce ‘Muna’, amefungukia madai ya watu kumtuhumu kuwa amemwingiza shosti wake Wema Sepetu ‘Madam’ kwenye matumizi ya madawa ya kulevya kwa kusema madai hayo hayana ukweli. Akizungumza na paparazi wetu, Oktoba 5, mwaka huu, Muna alisema mbali na kumhusisha kumwingiza Wema kwenye madawa hayo, amekuwa […]

Read More..