-->

Monthly Archives: October 2016

Kuishi na Majirani Vyema ni Funzo Kwangu &#...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Tanzania, Daudi Michael ‘Duma’, amefunguka na kusema kuwa kuishi na watu vizuri kumemfunza na kumfanya aone kuwa na umuhimu huo baada ya majirani na marafiki zake kumfanyia sherehe ya kuzaliwa mtaani kwake Mwananyamala, Dar es Salaam. Akizungumza na eNewz mwishoni mwa juma lililopita, Duma, alisema amefurahishwa na kitendo cha marafiki na […]

Read More..

Nataka Kuoa Siku za Karibuni – Dogo Janja

Post Image

Rapa Dogo Janja ambaye sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Kidebe’ amefunguka na kutangaza rasmi kuwa ana mpango wa kutaka kuoa na kusema kwamba muda si mrefu anaweza kuvuta jiko na kuweka ndani. Dogo Janja alisema haya kupitia kipindi cha Planet Bongo ambacho kilikuwa kinarushwa moja kwa moja kutokea Manzese na kusema kuwa suala […]

Read More..

Hakuna Msanii Bongo Mwenye Vigezo vya Mwana...

Post Image

Kwa mujibu wa Shilole, hakuna msanii Bongo aliye na vigezo vya mwanaume anayemhitaji kwa sasa. “Hakuna hata mmoja,” Shilole alimjibu mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove aliyemuuliza kama kuna msanii wa Bongo kwenye vigezo anavyovitaka. Awali alitaja vigezo hivyo kuwa ni, “Upate mtu ambaye anakupenda kwa dhati, mchapakazi, ambaye anajua kwamba maisha ni nini,” alisema […]

Read More..

Afande Sele Awapa Makavu Viongozi wa ACT-Wa...

Post Image

Mwanamuziki Afande Sele ambaye alikuwa mgombea nafasi ya ubunge katika uchaguzi uliopita kwa tiketi ya ACT Wazalendo amefunguka na kuwachana baadhi ya viongozi wa chama hicho kutokana na viongozi hao kukosa msimamo thabiti katika baadhi ya mambo. Afande Sele ametumia ukurasa wake wa Facebook kufikisha ujumbe wake kwa watanzania huku akisema anashindwa kuwaelewa viongozi wake […]

Read More..

Mzee wa Upako Ataja Siri ya Mafanikio Yake

Post Image

Safari hii safu hii imeangukia kwa Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) lenye makao yake makuu Ubungo Kibangu jijini Dar, Lusekelo Antony (wengi wamezoea kumuita Antony Lusekelo) ambaye amejipatia umaarufu mkubwa kwa kuhubiri neno la Mungu kiasi cha kumfanya kiongozi wa nchi, Rais Dk. John Magufuli kwenda kwenye ibada na kukiri kwamba mchungaji huyo anajua […]

Read More..

Wastara Arudiana na Mpenzi Wake wa Zamani B...

Post Image

Malkia wa filamu Wastara Juma baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha CCM (UVCCM) Taifa ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma, amerudiana na mpenzi wake wa zamani, Bond Bin Sinan. Mwigizaji huyo amesema Bond Bin Sinan alikiri makosa yake kwenye vyombo vya […]

Read More..

Sholo Mwamba: Man Fongo Kabweteka Mapema Sa...

Post Image

MKALI wa Muziki wa Singeli ambaye alisikika katika Ngoma ya Kazi Kazi ya Prof. Jay, Sholo Mwamba kwa mara ya kwanza amemfungukia msanii mwenzake, Man Fongo kuwa kwa muda mfupi aliotoa ngoma ya Hainaga Ushemeji imemfanya kubweteka na kuridhika. Akichonga mbili-tatu na Global TV Online kupitia Kipindi cha Mtu Kati, Sholo Mwamba anayetikisha na Ngoma […]

Read More..

Dude ni Meneja Wangu Tu – Ester Kiama

Post Image

WASWAHILI usema kuwa raha jipe mwenyewe na aisifia Mvua imemnyea, haya yanajitokeza kwa mwigizaji wa filamu wa kike Bongo Ester Kiama pale anapojikuta akimsifia mwigizaji mwenzake Kulwa Kikumba ‘Dude’ kama ni meneja sahihi kwake kwani kuwepo naye katika kazi zake kumezaa matunda katika kazi hiyo. Kama ningekuwa pekee yangu labda ingekuwa kazi ngumu sana hata […]

Read More..

KR Muller Auzungumzia Tofauti Kati ya TMK W...

Post Image

Msanii wa muziki KR Muller amefunguka na kuuzungumzia utofauti uliopo kati ya label yake ya zamani TMK Wanaume Halisi ya Juma Nature na alipo sasa Rada Enterntainment ya TID. Hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni meneja wa label yake ya zamani TMK Wanaume Halisi, Juma Nature kudai msanii huyo ameharibikiwa baada ya kuhamia label […]

Read More..

DENTI: Abdul Kiba Amenipa Ujauzito

Post Image

DAR ES SAALAM: Nasra Salum (19) ambaye ni mwanafunzi wakidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Isqama Islamic Academy iliyopo Oman, amedai kuwa msanii wa Bongo Fleva, Abdul Salehe Kiba, amempa mimba baada yakutembea naye. Akizungumza ndani ya studio za Global TV zilizopo Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam juzi, Nasra alisema alikuwa Oman […]

Read More..

Vigoma Dili, Lakini kwa Wema Hapana Aisee!

Post Image

NANI alikuwa na uwezo wa kupinga ushindi wa Wema Sepetu mbele ya Jokate Mwegelo na Lisa Jensen, mwaka 2006 katika  jukwaa la Miss Tanzania? Hakuna na asingetokea sababu ilikuwa ni halali yake. Macho ya majaji yaling’amua uwezo wa kipekee uliobebwa ndani ya urembo wa Wema. Ndiyo maana magwiji kwenye tasnia ya filamu walimvuta na kumwingiza […]

Read More..

Darasa, Billnas Wamshukuru Mwana FA kwa Kuw...

Post Image

Rapa wawili ambao kwa sasa wanafanya vizuri kwenye muziki wa bongo Darasa pamoja na Billnas wamefunguka na kutoa shukrani kwa msanii Mwana FA baada ya msanii huyo kuwatambua na kusema kuwa anawakubali wasanii hao kama wasanii wanaofanya vyema kwa sasa kwenye muziki wa Hip hop. Mwana FA alisema kuwa Billnas pamoja na Darasa ni wanamuziki ambao […]

Read More..

TID, Nature, Inspekta Haroun, Adili Kusikik...

Post Image

‘Karibu Kiumeni’ haitarajiwi tu kuja kuwa filamu ya Bongo yenye mafanikio zaidi kuwahi kutokea, bali pia itakuwa filamu ya kwanza iliyokutanisha mastaa wengi zaidi wa Bongo Flava kurekodi original soundtrack yake. P-Funk Majani ndiye mtayarishaji mkuu wa soundtrack ya filamu hiyo inayotarajiwa kutoka December mwaka huu. Soundtrack itajumuisha orodha ndefu ya mastaa wa Bongo Flava […]

Read More..

Diamond Aeleza Sababu za Kukataa Kuwa Chini...

Post Image

Diamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation. Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za Marekani alizozitolea nje. “Wakati nipo BET, Roc Nation walinifuata wakitaka wanisaini,” alisema Diamond. “Acha Roc Nation kuna baadhi ya record label nyingi sana […]

Read More..

Kidoa Afungukia Bifu Lake na Masogange Juu ...

Post Image

Video Queen maarufu hapa Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’ ambae kwa sasa amejikita kwenye uigizaji, amefungukia swala la bifu kati yake na Video Queen mwenzake, Agnes Gerald. Iliwahi kuripotiwa kuwa, Kidoa alikuwa kwenye bifu zito na mrembo  mwenzake, Agnes Gerald maarufu Masogange, kisa kikielezwa ni kugombea penzi la staa wa filamu za Kibongo, Rammy Galis; Kidoa anasema […]

Read More..

KR Muller:Sipo tayari kumzungumzia Juma Nat...

Post Image

Msanii maarufu wa Bongo Fleva nchini KR Muller amesema hawezi kumzungumzia msanii mwenzake Juma Nature kuhusu kauli zake kwamba ana wasiwasi KR anatumia madawa ya kulevya. KR ameyasema hayo katika kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV alipotakiwa kutoa kauli yake kuhusu tuhuma ambazo Juma Nature amekuwa akizitoa mara kwa mara kwamba yeye anatumia […]

Read More..

Billnas Aungana na Nuh Mziwanda Kumvaa Peti...

Post Image

Mwanzilishi wa kundi la LFLG rapa Billnas ameunga mkono tuhuma za Nuh Mziwanda kwa kumshukia meneja wao Petit Man juu ya uongozi mbaya na upigaji wa hela kupitia mgongo wao. Billnas akipiga story za eNewz na kusema kuwa matatizo ni kweli yametokea lakini akamshauri Nuh Mziwanda ni vyema kwa sasa wakatafuta namna ya kumaliza mzozo […]

Read More..

Wastara Alamba Dili Nono

Post Image

NYOTA inawaka! Diva wa filamu za Kibongo Wastara Juma, amepata dili jipya baada ya kusaini mkataba utakaomwingizia fedha nyingi. Mkataba aliosaini Wastara ni wa kuwa balozi wa simu ya KZG ambayo hutengenezwa na Kampuni ya KZG kutoka China, ambapo atakuwa na uhakika wa kulamba milioni 400 kwa mwaka. Tukio la kusaini mkataba huo lilifanyika Septemba […]

Read More..