-->

Monthly Archives: February 2016

Wolper, Dk. Fadhili Siri Yao Yavuja

Post Image

Siri imevuja! Daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dar, Dk. Fadhili Emily amedaiwa kumponza mwigizaji Jacqueline Wolper kwa mpenzi wake wa sasa, Mkongo baada ya picha yake kukutwa kwenye simu ya mwigizaji huyo. Chanzo kilicho karibu na Wolper kimepenyeza habari kuwa Wolper ambaye yupo nchini Afrika Kusini akijivinjari na Mkongo wake, […]

Read More..

Ray : ‘Tajiri Mfupi’ Imegharimu Milioni...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ amesema filamu yake mpya ‘Tajiri Mfupu’ imegharimu milioni 17 mpaka inaingia sokoni. Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 Ijumaa hii, Ray alisema bajeti ya milioni 10 ndio bajeti kubwa kwa filamu nyingi za bongo. “Filamu zetu nyingi za bongo kwa sisi wasanii wakubwa ni kuanzia milioni 10 hadi […]

Read More..

Mzungu Kichaa Awadiss Wema na Idriss

Post Image

Staa wa muziki Mzungu Kichaa, amevunja ukimya kuligusia suala ambalo pengine linawaumiza wasanii wengi, ikionekana kuwa ni ‘diss’ pia kwa staa Wema Sepetu na mwenzake Idriss Sultan, kupitia suala lao la ujauzito kunasa na kutoka. Akiongea kwa hisia nzito, Mzungu Kichaa ambaye ana project kubwa ya video ambayo watu hawaifahamu kama wanavyofahamu mimba ya Wema, […]

Read More..

Picha: Uchaguzi wa Rais wa Shirikisho la Fi...

Post Image

Mgeni rasmi wa Shughuli hiyo, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo, Mh. Nape Nnauye (katikati) akizungumza jambo wakati wa zoezi hilo. Mpinzani wa Mwakifwamba, Issa Hamis Kipemba (mbele) akizungumza jambo kabla ya uchaguzi kuanza. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania aliyekuwa akimaliza mda wake, Simon Mwakifwamba (kulia) na Makamu wake, Deosonga Njelekela wakiwa mbela […]

Read More..

Kajala Sasa Ajis’tukia Kuzeeka

Post Image

Staa wa Filamu Bongo, Kajala Masanja amesema kuwa mambo ya kimjini kama wafanyavyo mastaa wengine kwa sasa ameyapa mgongo kwa madai kuwa anaona anaelekea kuzeeka. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Kajala alisema kila anapojiangalia anaona kabisa alivyokuwa zamani sivyo alivyo sasa hivyo ana kila sababu ya kubadilika. “Kiukweli najiona kabisa naelekea kuzeeka, […]

Read More..

Wabogojo aanika maisha ya Jack jela

Post Image

Mkali wa mchezo wa sarakasi Bongo, Athumani Ford ‘Wabogojo’ anayefanya kazi za sanaa nchini China, amefunguka mambo kadhaa ya mwanamitindo Jacqueline Cliff ambaye amefungwa nchini humo kwa kosa la kukamatwa na madawa ya kulevya. Wabogojo ambaye amekuja Bongo kwa ajili ya mapumziko mafupi, alisema kuwa mrembo huyo anaendelea vizuri sana gerezani na ni mtu ambaye […]

Read More..

Barnaba Unanikimbia Huniwezi – Linex

Post Image

Msanii Linex amempa za uso msanii mwenzake ambaye naye ana sauti tamu ya kuimba Barnaba Clasic, na kusema kuwa anamuogopa kufanya naye kazi kwani kwa vyovyote vile atamfunika. Kwenye ukurasa wake wa instagrama Linex ameandika akimtaka Barnba asikimbie wanapotakiwa kufanya kazi ya pamoja, kwani kila akimwambia anamkimbia. “Mara ngapi wametokea wadau na wakawa tayari kuweka […]

Read More..

Ray Atakiwa Awe Balozi wa Maji

Post Image

BAADA ya mwigizaji mashuhuri katika filamu, Vicent Kigosi ‘Ray’ kudai weupe wake unatokana na kunywa maji mengi na kufanya mazoezi na siyo mkorogo, makampuni manne yanayojishughulisha na masuala ya maji yamemtaka awe balozi wao. Ray alisema licha ya makampuni hayo ambayo hakutaka kuyaweka wazi kujitokeza, bado hajawa tayari kwa sasa. Akizungumza na MTANZANIA jana, Ray […]

Read More..

Picha: Niva Aibuka Kariakoo na Kutoa Zawadi...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Zubery Mohamed ‘Niva’ siku ya jana aliwahangaza wengi kwa kitendo cha kutembelea maduka ya filamu kariakoo na kusaidia kuuza a filamu yake ya Kisanga nae Mwana ambapo alitoa zawadi za T-Shirt za filamu yake hiyo na Radio za solar kutoka steps solar kwa mashabiki. Filamu ya Kasanga Naye Mwana ambayo imewajumuisha […]

Read More..

Hizi Ndizo Fursa Kumi Alizozitaja Ruge Mut...

Post Image

Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba leo amezitaja  Fursa Kumi kupitia kipindi cha Power Breakfast na Clouds360 cha Clouds Tv. “Kwanza anatakiwa kusikiliza #FursaKumi, lakini pili lazima ajitambue yeye, bila Nyota Ndoto kujua yeye ni mwanamuziki mzuri au ana kipaji cha kuimba leo isingefikia hatua ya msanii Nyota Ndogo kutoka, nadhani kikubwa […]

Read More..

Diamond Afungukia Juu ya Video Yake Ya ‘M...

Post Image

Baada kudaiwa Video yake mpya ‘Make Me Sing’ kufanana na ya Lil Wayne,’Make Me Sing’ Diamond amefunguka haya. ‘’Watu wanashindwa kuelewa kila kitu ambacho kinafanyika katika muziki sasa hivi kwenye videos kwenye kuimba na kila kitu,mashairi vilishafanyika,vilishaimbwa,kushutiwa kama vinafanyika ni marudio lakini kila mtu anarudia kwa namna yake anayoijua yeye kwa sababu ukisema nakupenda watu […]

Read More..

Ni Bora Nitoke na Msukuma Mkokoteni – Ray C

Post Image

Mwanamuziki ambaye alijipatia umaarufu kutokana na uchezaji wake na kupewa jina la kiuno bila mfupa Ray C amefungukana na kusema kwa sasa hataki kabisa kutoka kimapenzi na msanii yoyote au mtu maarufu. Ray C amesema hayo kupitia kipindi cha eNews na kusema toka ameachana na msanii Lord Eyes hajawahi kuingia tena kwenye mahusiano na kudai […]

Read More..

Lulu Adaiwa Kulipiwa Mahari

Post Image

Wakati akikanusha vikali taarifa mbaya za kuzushiwa kifo mwishoni mwa wiki iliyopita na watu ambao alisema hajui lengo lao, habari ya heri ni kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, (pichani) anaelezwa kuwa kwenye shamrashamra za ndoa baada ya kudaiwa kulipiwa mahari na mfanyabiashara maarufu jijini Dar (jina linahifadhiwa kwa sasa).   Kwa […]

Read More..

Nilianguka Bahati Mbaya Kama Binadamu-Ray C

Post Image

Msanii maarufu nchini wa muziki wa bongo fleva Rehema Chalamila, amesema watu wasimhukumu kwa hali aliyo nayo sasa kwani alianguka kama binadamu wengine . Ray C ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha Planet bongo kinachorushwa na kituo cha EATV . ”Nilianguka bahati mbaya kama binadamu wengine ,nikajitambua sasa nipo vizuri naendelea na maisha […]

Read More..

Ray: Kama Huamini Sikulazimishi, Mi Maji Ya...

Post Image

HIVI kari-buni gumzo kubwa mitaani pamoja na kwenye mitandao mingi ya kijamii ilikuwa juu ya staa wa Bongo Muvi, Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kudai kuwa kunywa maji mengi kunamfanya aendelea kuwa mweupe. Kauli hiyo alianza kuitoa katika mahojiano aliyofanyiwa katika Kipindi cha E-News kinachorushwa na EATV ambapo alisema kwamba huwa anakwenda saluni mara moja […]

Read More..

Nay wa Mitego Awachukulia R/B Wanaomfuatili...

Post Image

MKALI wa Bongo Fleva, ambaye wimbo wake wa ‘Shika Adabu Yako’ umefungiwa na Baraza la Sanaa Nchini (Basata), Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, ameibuka na kudai kwamba ameamua kuchukua R/B kituo kidogo cha polisi ili kuwadhibiti watu anaodai wanamfuatilia kwa nia ya kumtendea mabaya. “Kiukweli sina ugomvi na mtu na hii ni dunia haina siri, […]

Read More..

Alikiba Aeleza Kwanini Hakuweza Kumuoa Mwan...

Post Image

Alikiba ameitaja sababu iliyomfanya ashindwe kumuoa mwanamke yeyote kati ya watatu aliozaa nao.   Hitmaker huyo wa Lupela alikiambia kipindi cha Chill na Sky kuwa hakupenda kulazimisha iwe hivyo. “Unajua hauwezi kumuoa mtu kama hamuelewani. Nia yangu ilikuwa ni kustick na kila mama wa mmoja toka nilipoanza. Lakini mambo yanaenda tofauti, huenda mnagombana anapata mtu […]

Read More..

Mkwanja wa Dili la Voda ni Fifty-Fifty Kati...

Post Image

Wiki kadhaa zilizopita, Diamond Platnumz alisaini mkataba wa mamilioni ya shilingi kuwa balozi wa kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania.   Dili hilo limemfanya muimbaji huyo wa ‘Make Me Sing’ aonekane kwenye matangazo ya TV, yale ya barabarani, kwenye magezeti na vipeperushi vingine pamoja na kusikika kwenye matangazo ya redio. Kwenye tangazo la TV, si […]

Read More..