Maisha Yangu Sasa ni Magumu – Ray C
Mwanadada ambaye alifanya vizuri kwenyesekta ya muziki wa bongo fleva Ray C amefunguka na kusema kuwa maisha yake kwa sasa ni magumu. Ray C alisema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa kupitia ting’a namba moja kwa vijana EATV, Ray C amedai kuwa kuna muda mwingine analazimika kuvaa hijabu kujificha ili aweze kupanda daladala na […]
Read More..





