-->

Monthly Archives: September 2016

Fid Q Atoa Sababu ya Kuvaa Koti Lililochani...

Post Image

Msanii Fid Q ambaye ni rapa wa hapa Bongo kutoka pande za Rock City/Mwanza, ametoa sababu iliyomfanya akavaa koti lililochanika kwenye video yake mpya, na kuleta minong’ono kwa mashabiki. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Fid Q amesema aliamua kuvaa hivyo ili kuweza ku’relate na maisha halisi ya mashabiki, ambao asilimia kubwa wanashindwa […]

Read More..

Wema Sepetu Atumia Show ya Vigoma Tanga Kuz...

Post Image

Malkia wa filamu Wema Sepetu ametumia show yake ya vigoma iliyofanyika Jumamosi hii katika Viwanja vya Mkwakwani mkoani Tanga kuzindua bidhaa yake mpya ya viatu vya kike. Mwigizaji huyo ambaye mwishoni mwa mwaka jana alizindua bidhaa yake ya kwanza ya lipstick, amesema bidhaa hiyo itaanza kupatika madukani hivi karibuni. “Wakati naanza kutumia jina langu kwa […]

Read More..

GK Awafungukia Wasanii Waoponda Mabadiliko ...

Post Image

Rapa mkongwe kwenye muziki wa Hip hop Tanzania ambaye kwa sasa ameachia kazi yake mpya inayofahamika kwa jina la ‘Mzuri pesa’ amefunguka na kusema kuwa wasanii ambao hawataki kubadidilika katika muziki au kazi zao ni kwamba hawana uwezo wa kubadilika. King Crazy GK alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV na kudai […]

Read More..

Naenda Kuiteka Afrika na Dunia- Baraka The ...

Post Image

Msanii wa kizazi kipya Baraka The Prince ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Siwezi’ ametangaza kuanza safari ya kulikamata soko la muziki Afrika na kisha baadaye dunia. Baraka The Prince ambaye kwa sasa yupo chini ya Rock Star anatarajia kuachia kazi yake ya kwanza siku ya Jumanne ya tarehe 13 ambayo ni […]

Read More..

Sina Tabia Kutoka na Vijana Wadogo -Snura

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva na filamu nchini Snura Mushi amefunguka na kusema kuwa yeye hana tabia ya kutoka kimapenzi na watoto wadogo kama baadhi ya wasanii wengine wa kike au watu maarufu wanavyofanya. Snura alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWZ ya EATV na kudai aliweza kumkiss Raymond wakati anatengeneza video ya wimbo wake […]

Read More..

Mubenga: Nimepata Mbadala wa Ommy Dimpoz!!

Post Image

TOFAUTI kati ya mafahari wawili, staa wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ na aliyewahi kuwa meneja wake, Mbarouk Ogga ‘Mubenga’ zinazidi kuchukua sura mpya baada ya hivi karibuni Mubenga ambaye kwa sasa anamiliki kampuni iitwayo Bengaz Entertainment kuibuka na kudai amempata mbadala wa Dimpoz. Mubenga na Dimpoz waliingia kwenye tofauti zilizosababisha mpaka meneja huyo […]

Read More..

Najma Afungukia Ishu ya Bayser na Baraka Da...

Post Image

Baada ya Byser kutangaza kuchukua hatua za kisheria kwa Naj au Baraka endapo atagundua kuwa wao ndiyo walianzisha ile skendo iliyomuhusisha yeye kuwa anachepuka na Naj ili kuupa ‘kiki’ wimbo wao mpya, eNewz ilimtafuta Naj ili kusikia majibu yake.   Naj alisema “Sioni kama kuna tatizo, ila naona tu haya mambo yanakuzwa na maneno ya […]

Read More..

Siwalaumu Wanaopenda Skendo – JB

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen maarufu kama JB amefunguka na kusema kuwa yeye hawalaumu wasanii ambao wamekuwa wakiendesha maisha yao ya sanaa kwa kutafuta ‘kiki’ au kufanya skendo. Amesema kwa upande wake yeye hawezi kufanya hivyo kwani anaamini kuwa maisha ya skendo huwafanya wasanii waonekane wahuni, washindwe kuaminiwa na kudharauliwa na baadhi ya watu. […]

Read More..

Man Fongo Sio Mtu wa Kubishana na Mama Yang...

Post Image

Baada ya kusambaa audio katika mitandao ya kijamii ambazo mama Wema anasikika akimpandishia mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown, Wema Sepetu amemvutia wire mtangazaji huyo akimtaka kuacha kumzungumzia mama yake katika mambo ambayo hayaeleweki. Chanzo mgogoro huo mkubwa kati ya Wema Sepetu dhidi ya Christian Bella na Man Fongo kwa pamoja, unahusiana na masuala ya […]

Read More..

Wakonta Apata Kifaa cha Kumsaidia Kuandika

Post Image

MWANDISHI wa ‘script’ anayetumia ulimi kuandikia, Wakonta Kapunda, amepata kifaa cha kumsaidia kuandika kwa kutumia sauti ambacho ndiyo ameanza kukifanyia mazoezi. Wakonta aliliambia MTANZANIA kwamba kupatikana kwa chombo hicho kiitwacho Nuance Dragon Naturally Speaking, kitamrahisishia kuandika kwa haraka script za filamu zake na mambo mbalimbali ambayo atataka kuyafanya. “Kupatikana kwa kifaa hicho ni faraja kwangu kwasababu […]

Read More..

Kanumba, Tyson, Kuambiana… Wameondoka na ...

Post Image

BADO naendeleza kelele zangu kwenye soko la filamu nchini ambalo kwa sasa limedorora na kama hatua za makusudi hazitachukuliwa basi kuna hatari ya kupotea kabisa. Wadau wa sanaa wale wanaoitakia mema tasnia ya filamu, wanapiga kelele kurudisha heshima ya sanaa na wasanii wa filamu Tanzania. Zipo hoja nyingi zinazowekwa mezani. Hata wiki iliyopita nilijenga hoja […]

Read More..

Picha: Maisha ya Harmonize na Wopler, Kama ...

Post Image

Wapenzi wawili Harmonize pamoja na Jacqueline Wolper wanaendelea kuuonyesha umma jinsi wanavyopendana. Wawili hao Alhamisi hii walienda shopping pamoja na kufanya manunuzi ya vitu mbalimbali katika Mall moja hapa jijini Dar es salaam. Hivi karibuni mwigizaji huyo alipost picha akiwa jikoni huku akiandaa chakula kwa ajili ya muimbaji huyo wa wimbo Matatizo. Harmonize akimkabidhi maharage […]

Read More..

Filamu ya ‘Kesho yangu’ Kutoka ...

Post Image

Kesho yangu ni kati ya filamu zinazosambazwa na Steps Entertainment na inafanya vizuri sokoni kutokana na umahiri ulioonyeshwa ndani filamu hii, sio ya kukosa kabisa. Angalia ni namna gani anavyo weza kubadilika na kuwa mnyama kuzulumu haki pamoja na uhai wa mtu sababu ya mali. Filamu hii inawashirikisha wa sanii kama Mohamed Zuberi(Niva), Masinde, Gozbert […]

Read More..

Nilikunywa Pombe Kutoa Aibu Kwenye Video ya...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amefunguka na kusema ilikuwa ni jambo gumu kwake kufanya video ya ‘Natafuta kiki’ ya msanii Raymond. Amesema ugumu huo ni kutokana na ukweli kwamba ‘scene’ ambazo alipaswa kucheza zilikuwa ngumu kwake jambo ambalo lilimfanya atumie kwanza kilevi kuondoa aibu. Shilole alisema hayo kupitia kipindi […]

Read More..

Majay Birthday: Lulu Amwambia Majay ‘I th...

Post Image

Leo ni siku ya kuzaliwa ya CEO wa EFM, Majay, ambapo wadau mbalimbali pamoja na watu wake wa karibu wanamtakia heri ya mafanikio katika maisha yake. Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye anadaiwa kuwa kwenye mahusiano na bosi huyo, amekuwa ni mmoja kati wa watu waliomtumia ujumbe wa heri ya mafanikio huku ujumbe wake ukionyesha ukaribu wa […]

Read More..

Sijamuimba Siwema wa Nay – Dogo Janja

Post Image

Msanii Dogo Janja ameachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ‘Kidebe’ na kuwa gumzo mtaani kutokana na kuwasifia baadhi ya wasanii huku wengine akiwaponda, ambapo ndani yake amemtaja mtu anayeitwa ‘Siwema’. Dogo janja ametoa ngoma hiyo wakati wimbo wake wa ‘My Life’ ukiwa badi ni miongoni mwa ngoma ambazo mashabiki wengi wanazikubali huku wengi wao […]

Read More..

Hiki Ndiyo Chanzo cha Alikiba Kuitwa ‘Kin...

Post Image

Alikiba ametoa ufafanuzi wa wapi #KingKiba ilitokea kiasi cha kuitumia katika sehemu nyingi. Akiongea kwenye kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz kilichoruka Alhamis hii kupitia EATV, Kiba alisema ni mashabiki ndio waliombatiza. “Wakati nimepumzika kwenye muziki kulikuwa kuna vitu vingi vinavyoendelea, kuna watu walikuwa wanaongea kwenye social media. Kuna watu walikuwa wananifikia sababu wanapajua nyumbani wakasema […]

Read More..

Shirikisho la Filamu Lazipokea ‘EATV ...

Post Image

Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) limezipokea EATV AWARDS kwa mikono miwili na kutoa baraka zake, huku wakisema ni jambo jema kwa tasnia ya filamu kwa sasa, ukizingatia tasnia hiyo kwa sasa inapigana iweze kwenda mbele zaidi. Akizungumza na mwandishi wa EATV Mwenyekiti wa Shirikisho hilo, Simon Mwakifwamba, amesema tuzo hizo zitasaidia kuleta changamoto kwenye tasnia, […]

Read More..