-->

Monthly Archives: June 2017

VIDEO : Sitafuti Kiki kwa Alikiba – AT

Post Image

Msanii wa muziki miondoko ya mduara nchini, AT amefunguka kwa kuwachana wasanii wa Tanzania kwa kudai wengi wao ni waongo, hawapendi kusema ukweli juu ya mambo yao yanayowasibu. AT ameeleza kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kuonekana kama anatafuta kiki ya wimbo wake mpya uitwao ‘Melody’ kwa kuzungumzia ugomvi wa kipindi kirefu baina […]

Read More..

Masogange Kuletewa Mashahidi Watatu

Post Image

BAADA ya msanii na mnogeshaji wa video za wasanii mbalimbali, Agnes Gerald (Masogange), kuikana ripoti ya mkemia mkuu wa Serikali iliyoonyesha kwamba Februari 20, mwaka huu ilithibitisha mkojo wake kuwa na dawa za kulevya aina ya heroin na Oxazepam, upande wa mashtaka unatarajia kuleta mashahidi watatu kwenye kesi hiyo. Akisoma maelezo ya awali katika Mahakama […]

Read More..

Ray Kigosi Alia na Yanga, ‘Tumuombe Manji...

Post Image

Muigizaji wa Filamu nchini, Ray Kigosi amesema uongozi wa klabu ya Yanga ni vema ukafanya utaratibu wa kamrejesha aliyekuwa Mwenyekiti wao, Yusuph Manji ili timu hiyo iwezi kupata maandalizi mazuri kwa ajili ya msimu ujao wa ligi na kusajili wachezaji wazuri ili wafanye vizuri katika mashindano ya kimataifa. Kupitia mtandao wa instagram Ray amendika, “Nakumbuka […]

Read More..

Gabo Zigamba Ajinadi Kuikomboa Filamu

Post Image

Muigizaji Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ amefunguka kwa kudai kwamba ameamua kujitolea kufa na kupona ili kunusuru tasnia ya filamu isonge mbele kwa kutumia Teknolojia ya simu  ambayo itawasaidia Watanzania kupata filamu bure na kwa urahisi. Gabo amedai hayo wakati akizindua filamu yake ya ‘Kisogo’ kwamba ameamua kutoa sehemu ya maisha yake ili kuikomboa tasnia ya […]

Read More..

Wolper: Saida Karoli Apewe Heshima Yake

Post Image

DAR ES SALAAM: Kinara wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ameweka wazi ya moyoni kuwa, mkali wa Muziki wa Asili, Saida Karoli anastahili kupewa heshima kutokana na namna alivyoutangaza Muziki wa Asili. Akichonga na 3 Tamu, Wolper alifunguka kuwa, Saida ni bonge moja la mwanamuziki anayemkubali zaidi kutokana na uwezo wake ndiyo maana ameposti […]

Read More..

Roma Mkatoliki Ageukia Ualimu

Post Image

Msanii wa muziki wa Hip hop, Roma Mkatoliki leo amegeukia kazi yake ya zamani ya ualimu kwa siku 1 baada ya kuamua kwenda shule ya msingi ya Mchikichini iliyopo Mbagala kuwapa hamasa wanafunzi kupenda somo la hesabu na kukabidhi vitabu vya hesabu. Rapa huyo anasema kuwa siku zote muziki wake umekuwa ni unaogusa maisha ya […]

Read More..

“He! Mimi? Mjamzito?”-Uwoya

Post Image

DAR ES SALAAM: Sexy lady wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krish’ amefungukia madai kuwa, kwa sasa ametengeneza urafiki wa muda na ndimu, samaki wabichi na ukwaju kwa kinachosemekana ni mjamzito. Huku akionesha kushtushwa na habari hizo zinazoenezwa bila kutaja mhusika wa kibendi hicho, Uwoya alikuwa na haya ya kusema: “He! Mimi? Mjamzito? […]

Read More..

Mwanaume Aliyeonekana Zari Kwenye ‘Sw...

Post Image

Mwanaume ambaye aliyedaiwa kumshika mzazi mwenza wa msanii Diamond, Zari Hassani katika bwawa la kuogelea, Edwin Lutaaya amefunguka juu ya tuhuma hizo. Edwin ambaye ni ndugu wa mume wa zamani wa Zari, amedai kuwa hakumshika Zari kama mitandao ilivyodai na ile picha ilipigwa na mkewe ambaye naye alikuwepo katika eneo hilo. Edwin ambaye amefanya mahojiano […]

Read More..

Snura Afungukia Ajali Yake!

Post Image

SIKU chache baada ya kupata ajali mbaya, staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi amefunguka jinsi alivyonusurika kifo huku akimshukuru Mungu kwa kumtoa salama kwani mauti yalikuwa nje nje. Awali, chanzo kilichokuwa eneo la tukio, kilieleza kuwa Snura alikuwa kwenye mwendo wa kasi na kushi-ndwa kukata kona iliyopo maeneo ya Cocacola Mikocheni na kusaba-bisha […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Yapigwa Kalenda

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeharisha kesi ya kutumia dawa za kulevya aina ya Bangi inayomkabili Msanii wa filamu, Wema Sepetu na wenzake hadi Julai 10, mwaka huu. Wakili wa Serikali, Elizabeth Mkunde Jumatano hii alimueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Godfrey Mwambapa kuwa shauri hilo lilipaswa kuanza kusikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Thomas Simba lakini […]

Read More..

VIDEO : Young Dee Amkana Mama wa Mtoto Wake

Post Image

Msanii Young Dee a.k.a Pakarasta amemkana mzazi mwenzake Mamisa na kusema hakuwahi kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi japo kuwa wamepata mtoto kama baraka tu kwake. Young Dee amesema hayo kupitia kipindi cha 5 Selekt cha EATV na kudai kitendo kilichotokea hakikuwa katika mipango yake hivyo sasa hivi kila mmoja ana maisha yake. “Am single […]

Read More..

JPM Asema Barrick ni Wanaume, Wametubu na W...

Post Image

Rais John Pombe Magufuli (JPM) amekutana na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni mama ya uchimbaji wa madini ya Barrick Canada, Profesa John Thornton na kufanya naye mazungumzo Ikulu leo. Amesema Barrick imepitia mapendekezo yote ya kamati ya pili ya mchanga wa madini na kuwa imekubali kulipa chochote ambacho kitaonekana wanatakiwa kulipa. “Baada ya kuwaona nilifurahi na […]

Read More..

Filamu ya Kisogo ya Gabo na Wema Sepetu Kur...

Post Image

FILAMU ya Kisogo ya mwuigizaji nyota Bongo imekamilika na inatarajia kuonekana Dunia kote kwa njia ya kisasa kabisa akiongea na FC Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ anasema kuwa sinema ya Kisogo imetengenezwa katika teknolojia ya kimataifa na hivyo itaweza kubadilisha soko la filamu Bongo na kuweza kufika katika anga za kimataifa kwani ni kazi yenye mvuto […]

Read More..

Spika Awakumbusha Wapinzani Kuwa Nao Wana M...

Post Image

Dodoma. Mjadala wa bajeti umeendelea leo bungeni huku suala la mchanga wa madini likitawala sehemu kubwa ya mjadala huo. Wakati wa mjadala huo, Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia. Ndugai amesema hayo leo […]

Read More..

Rose Ndauka: Msiwasamehe Wanaowanyanyasa Ki...

Post Image

STAA wa filamu za bongo, Rose Ndauka, amewatahadharisha wanawake wenzake kwamba wasiwasamehe wanaume wanaowanyanyasa kimapenzi ndani ya nyumba zao, kwa kuwa kufanya hivyo ni kujinyima haki kisheria. Rose alisema mwanamke anayejielewa hatakubali kunyanyasika awapo kwenye ndoa yake na anayeogopa ni yule asiyejitambua, bali anaishi ilimradi kaolewa. “Huwa nachukizwa sana na mwanamke anayekubali kunyanyaswa katika ndoa […]

Read More..

TID Ampa Makavu Harmorapa

Post Image

Msanii mkongwe wa bongo fleva, TID ambaye kwa sasa anapenda kuitwa jina la Mnyama, amesema Harmo ni msanii ambaye hajui muziki lakini anataka kuimba. “Harmorapa ni mtu asiyejua muziki lakini anataka kuimba,” TID amekiambia kipindi cha On The Eight cha TVE. Hata hivyo sio muimbaji huyo pekee ambaye ameonekana kutomkubali rapper huyo, wengine ni Master […]

Read More..

Khadija Kopa Afungukia Kifo cha Taarab

Post Image

Mkongwe wa muziki wa taarab, Bi. Khadija Omar Kopa amedai muziki wa wao unaonekana kama umepoteza ladha kwa sababu ya nyimbo zao kupigwa sana sehemu ya kuuza vilevi na kupotezewa katika vyombo vya habari. Khadija amezungumza hayo akiwa kwenye uzinduzi wa video ya Saida Karoli ‘Orugambo na kusema kwamba muziki wa taarabu umeshushwa na watu wachache […]

Read More..

Pesa Zamfukuza Saida Karoli Kwenye Muziki

Post Image

Mkongwe wa muziki wa asili wenye ladha ya bongo fleva, Saida Karoli amefunguka na kusema kwamba ukosefu wa pesa na mapromota waongo ndicho kitu pekee kilichomfanya apotee katika ramani ya muziki nchini. Saida amefunguka hayo baada ya ujio wake mpya kwa kuachia  video inayokwenda kwa jina la ‘Orugambo’  na kuongeza kwamba aliamua kurudi kijijini kwao […]

Read More..