Z Anto:Nawakubali sana Alikiba na Dully Sky...
Msanii Z Anto ambaye kwa sasa yupo katika mchakato wa kutaka kurudi kwenye muziki wa Bongo Fleva amefunguka na kusema kuwa katika wasanii wa Bongo Fleva anaowakubali na kuwaheshimu ni Alikiba pamoja na Dully Skyes. Z Anto alisema hayo jana alipokuwa kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio ambayo kwa jana ilikuwa ikiruka […]
Read More..





