-->

Monthly Archives: October 2016

Z Anto:Nawakubali sana Alikiba na Dully Sky...

Post Image

Msanii Z Anto ambaye kwa sasa yupo katika mchakato wa kutaka kurudi kwenye muziki wa Bongo Fleva amefunguka na kusema kuwa katika wasanii wa Bongo Fleva anaowakubali na kuwaheshimu ni Alikiba pamoja na Dully Skyes. Z Anto alisema hayo jana alipokuwa kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio ambayo kwa jana ilikuwa ikiruka […]

Read More..

Rammy Galis:Nilikaribishwa Freemason Nikaka...

Post Image

Star wa Bongo Movie Rammy Galis amefunguka na kukiri kuwa kuna watu hususani wasanii wanaojihusisha na kundi la Freemason na kwamba yeye mwenyewe aliwahi kualikwa kwa njia ya simu yake ya mkononi ajiunge na kundi hilo lakini alikataa. Akizungumza katika kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV, Galis amesema yeye hajajiunga […]

Read More..

Irene Uwoya atoa Fursa ya Kuigiza Kwenye Ta...

Post Image

Msanii wa filamu, Irene Uwoya ametoa nafasi kwa vijana wawili kuigiza katika tamthilia yake mpya ya ‘Drama Queen’ Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja, aliamua kuandaa tamthilia kutokana na runinga nyingi nchini kuhitaji tamthilia. Jumanne hii mwigizaji huyo ametoa deal kwa vijana wapya wawili kushiriki katika tamthilia hiyo. “Drama Queen tunatafuta wa baba […]

Read More..

Ushauri wa King Crazy GK kwa Diamond Platnu...

Post Image

Rapa mkongwe katika tasnia ya muziki wa Bongo King Crazy GK amefunguka na kutoa ushauri kwa msanii Diamond Platnumz na kumtaka kuwa na kitu kingine kwa sasa nje ya muziki kwa kuwa muziki una kawaida ya kupanda na kushuka. Amesema hiyo itamsaidia endapo ikitokea muziki umeshuka upande wake, aendelee kunufaika na kuingiza pesa kwa miradi […]

Read More..

Ali Kiba, Sallam Wametoka Mbali

Post Image

Wiki mbili zilizopita, Ali Kiba alikuwa mmoja kati ya mastaa wa muziki waliopafomu kwenye Tamasha la Rock lililofanyika Viwanja vya Golf, Mombasa. Katika tamasha hilo lililokuwa na staa kutoka Marekani, Christopher Maurice ‘Chris Brown’ na Ayodeji Balogun ‘Wizkid’ kutoka Nigeria liligeuka kuwa na sintofahamu baada ya Ali Kiba kupanda na kupafomu nyimbo mbili tu, ikiwemo […]

Read More..

Lulu Awataja Wasanii wa Tatu (3) Anaowakuba...

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth Michael aka Lulu amewataja wasanii watatu anaowakubali kwenye muziki wa Bongo Fleva. Muigizaji huyo alikuwa akijibu swali la mmoja wa mashabiki wake kwenye mtandao wa Twitter, lililokuwa linauliza “wasanii gani watatu anaowakubali kwenye Bongo Fleva?” Lulu alijibu swali hilo kwa kuandika, “Beka, Maua Sama na Alikiba.” Lulu aliongeza kwa […]

Read More..

Said Fella Afungukia Tetesi za Bifu Lake na...

Post Image

BAADA ya hivi karibuni kudaiwa kuwa ana bifu na msanii wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, bosi wa Yamoto Band, Said Fella  amefunguka kuwa tetesi hizo siyo za kweli na haijawahi kutokea.   Habari kutoka kwa vyanzo mbalimbali zilidai kuwa wawili hao waliingia kwenye bifu baada ya wasanii wa Bendi ya Yamoto anayoisimamia kumlalamikia Diamond ambaye […]

Read More..

Roma Mkatoliki Afungukia Skendo ya Kuwa na ...

Post Image

Msanii Roma Mkatoliki amempa zawadi ya wimbo mtoto wake anayeitwa Ivan katika siku yake ya kuzaliwa ambapo ametimiza miaka minne, lakini kuna tetesi kuwa rapa huyo ana mtoto mwingine nje ya ndoa. Ukiongelea wasanii ambao wanafanya vizuri kwa upande wa hip hop huwezi kuacha jina la Roma Mkatoliki. eNewz ilipiga story na Roma na alisema […]

Read More..

Q Chief Bado Anajuta Kuingia Kwenye Matumiz...

Post Image

Ikiwa ni mwaka mmoja toka msanii wa muziki, Q Chief akiri kutumia Madawa ya kulevya na kuamua kuacha mwenyewe, muimbaji huyo bado anaumia akikumbuka jinsi Madawa ya kulevya yalivyomwaribia maisha yake. Muimbaji huyo ambaye mpaka sasa bado ana mashabiki wengi katika muziki wake, aliacha matumizi ya Madawa ya kulevya baada ya bintie kumuelezea adha anayopata […]

Read More..

Z Anto Awatolea Nje WCB

Post Image

Msanii Z Anto ambaye aliwahi kutamba na ngoma kibao kali kama ‘Binti kiziwi, Mpenzi jini, Kisiwa Cha Malavidavi amefunguka na kusema kuwa mpaka sasa kuna label zaidi ya nne ambazo zinamuhitaji na kuhitaji kufanya naye kazi. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo Z Anto amesema alipata ofa kujiunga na WCB Wasafi lakini yeye mwenyewe anadai […]

Read More..

Dully Sykes Afunguka Kumkubali Zaidi Diamon...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Dully Sykes amefunguka sababu ya kumkubali zaidi Diamond Platnumz kuliko wasanii wengine. Muimbaji huyo ameiambia Times FM kuwa anamkubali zaidi Diamond kwakuwa amekuwa akimheshimu zaidi. “Watu wanalalamikaga ‘oooh’ namsifia sana Diamond, nisiongee uongo nakubali wote wananiheshimu lakini Diamond ananiheshimu na kunionesha nidhamu zaidi,” amesema Dully. Dully ameongeza kuwa […]

Read More..

Mastaa Wasusia Harusi ya Beka

Post Image

Jana ilikuwa ni siku ya sherehe ya ndoa ya msanii wa filamu Bongo, Bakari Makuka ‘Beka’ ambapo ilifana vilivyo huku waalikwa wakila, kunywa na kuserebuka vilivyo. Sherehe hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Prime Rose uliopo Mbezi Beach, Dar ikiwa ni baada ya kufunga ndoa na mkewe Nasra, Ijumaa iliyopita katika msikiti wa Ununio, Jumamosi ikafuatiwa […]

Read More..

Stan Bakora Afungukia Ishu ya Barakah The P...

Post Image

Mchekeshaji maarufu Stan Bakora amefunguka juu ya povu lililomtoka Barakah The Prince siku kadhaa baada ya kuachia parody ya wimbo ‘Nisamehe’. Kupitia kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Stan amesema kuwa kama asingefanya vile video ingekuwa ya kawaida tu na isingeleta maana. “Barakah ameshindwa kuelewa. Kama nisingefanya vile ile video isingeleta maana, lazima uonyeshe […]

Read More..

King Crazy GK Atoa Wito Huu Kwa Wasanii

Post Image

Msanii King Crazy GK amesema kitendo cha wasanii kuandikia nyimbo studio na kuingiza sauti hapo hapo kurekodi, ni moja sababu inayofanya muziki wa sasa kutoishi kama ule wa zamani.   Akizungumza na East Africa Radio, King Crazy Gk amesema msanii kurekodi wimbo huku akiwa anasoma mashairi kwenye karatasi aliyoandikia inapoteza ‘focus’ ya msanii na kupoteza […]

Read More..

Nataka Kuwa Mcha Mungu-Shamsa Ford

Post Image

Staa wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa anataka kujikita zaidi kwenye ibada ya kufanya mambo ambayo yanampendeza mwenyezi Mungu. Mwigizaji huyo ametangaza uwamuzi huyo ikiwa ni miezi michache toka afunge ndoa na mfanyabishara wa maduka ya nguo, Chidi Mapenzi. Kupitia instagram, Shamsa Ford ameandika Maisha ya […]

Read More..

NORA: Niliingia Vitani na Johari, Kisa Mape...

Post Image

KUTOKA moyoni! Bila kumtaja mwanaume husika, mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’amekiri kuwahi kuingia vitani na staa mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ kisa kikiwa ni kugombeapenzi la mwanaume mmoja maarufu jijini Dar (jina ni siri yake). Katika mahojiano maalum na gazeti hili, Nora alifunguka kuwa hali hiyo ilitokana na maisha ya usichana yaliyochangiwa na umaarufu na umri. […]

Read More..

Babu Seya, Papii Watuma Ujumbe Mzito Kwa JP...

Post Image

Kwa Wabongo walio wengi, majina ya Nguza Viking ‘Babu Seya’ na Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ siyo mageni. Wao ni wafungwa wanaotumikia kifungo cha maisha ndani ya Gereza la Ukonga, Dar baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kulawiti na kunajisi watoto 10. Tangu kufungwa kwao, mwaka 2004, miaka 12 iliyopita, mengi yamesemwa, mengi yameandikwa, lakini […]

Read More..

Ney wa Mitego: Najiamini Kupitiliza

Post Image

Msanii Ney wa Mitego amesema maisha aliyokuwa anaishi yamemjengea ujasiri na kujiamini hata pasipostahili, na ndio kitu kikubwa kilichomfanya aweze kufanya muziki wa tofauti hata asipoungwa mkono na watu.\ Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Ney wa Mitego amesema maisha hayo yalimfanya asimuogope mtu yeyeite hata kama kamzidi umri, lakini ili mradi ameridhisha […]

Read More..