-->

Monthly Archives: May 2017

RAY C Afungukia Kutoka na Mbunge

Post Image

DAR ES SALAAM: Sexy lady mkongwe wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amefunguka kuwa hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi mbunge yoyote nchini kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakieneza ubuyu. Ray C aliliambia Wikienda kuwa, mbali na kufahamiana na wabunge mbalimbali nchini, lakini hata siku moja hajawahi kujiingiza kwenye uhusiano na mheshimiwa yeyote […]

Read More..

Harmorapa: Wimbo Wangu Mpya ‘Nundu...

Post Image

Msanii Harmorapa, amefunguka na kusema wimbo wake mpya ‘Nundu’ ambao unatoka leo na kutambulishwa kwa mara ya kwanza katika kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio utazima ngoma zote zilizotoka kutokana na ubora wake na ukali wa ngoma hiyo. Harmorapa amesema kuwa anaamini kazi yake hiyo inakuja kupoteza ngoma zingine kutokana na vile ambavyo […]

Read More..

Flora, Ha-Baba Warudiana

Post Image

DAR ES SALAAM: Mastaa wawili Bongo ambao walikuwa wanandoa kisha wakatengana kwa muda, Hamis Ramadhan ‘H.Baba’ na Flora Mvungi, hatimaye wamerudiana na sasa ni mwendo wa mahaba niue. Chanzo makini kililieleza Wikienda kuwa, wawili hao wamerudiana hivi karibuni ambapo hivi sasa ni mahaba niue kwani hata kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa wakiweka picha wakiwa kimahaba, […]

Read More..

Picha: Umati Uliojitokeza Kuaga Miili ya Wa...

Post Image

ARUSHA: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Samia Suluhu Hassan amewaongoza maelfu ya waombolezaji waliofika kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha  na Watanzania wote kuaga miili ya watoto waliofariki kwa ajali ya gari juzi Jumamosi. Katika hotuba yake kwa wananchi waliojitokeza kwa wingi katika tukio la kuaga miili hiyo […]

Read More..

Janga Nililonalo ni Ugonjwa – Chid Benzi

Post Image

Rapa Chid Benzi ambaye siku kadhaa zilizopita amesherehekea kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa amefunguka na kusema janga alilokuwa nalo ni ugonjwa ambao bado anaendelea kupigana nao kuondoa. Chid Benz amesema kuwa katika kipindi cha katikati alifikia hatua ya kuchanganyikiwa na kusema hicho ndiyo kitu ambacho kilimfanya kurudi tena kwenye matumizi ya dawa za kulevya, […]

Read More..

VIDEO: Bongo Movies & Bongo Fleva Waib...

Post Image

DODOMA: WASANII wa filamu nchini, Bongo Movie pamoja na wale wa muziki, Bongo Fleva jana waliibuka kwenye Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma wakati waziri Dkt. Harrison Mwakyembe akisoma bajeti ya makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2017/2018. Chanzo:GPL

Read More..

Vanessa Mdee Amjibu Afande Sele

Post Image

Msanii  Vanessa Mdee ameshindwa kuvumilia kukaa kimya baada Rapa Afande Sele kusema kuwa Said Karoli ana uwezo mkubwa kisanii kuliko Vanessa Mdee Vanessa Mdee ameonyesha kutofurahishwa na kauli ya Afande Sele na kusema alikuwa anamuheshimu na kumtambua msanii huyo kutokana na heshima yake kwenye muziki huu lakini amechoshwa, kuzunguziwa na mtu huyo katika vitu visivyoeleweka […]

Read More..

NDANI YA BOKSI: Bongo Fleva Inapoishi kwa M...

Post Image

Msimu wa Fiesta unakaribia. Tegemea nyimbo nyingi za Bongo Fleva kuachiwa kipindi hiki. Kwa msukumo wa tukio la Fiesta ili wapate nafasi ya kupanda majukwaani katika mikoa mbalimbali. Shoo zilizokuwa zikiandaliwa na kina Nyau kule Morogoro na mwenzake Ngedere hazipo hivi sasa hata kama zipo siyo kama zamani kimapato na msisimko. Mdosi wa Shinyanga sidhani […]

Read More..

Shule ya Lucky Vicent yafungwa, Lema afika ...

Post Image

Shule ya Lucky Vicent imefungwa kwa siku saba kufuatia vifo vya wanafunzi wake 32 vilivyotokea kwenye ajali ya gari jana Karatu. Kutokana na ajali hiyo Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na wabunge wengine wa Chadema wamefika shuleni hapo kutoa pole. Lema kwa niaba wabunge wameeleza kusikitishwa na msiba huu na amewapa pole wafiwa lakini […]

Read More..

Young Dee awazungumzia Young Killer, Dogo J...

Post Image

Rapa Young Dee amefunguka mambo kadhaa kuhusu Young Killer na Dogo Janja kumchana mara kwa mara kwenye ngoma zao. Young Dee amekiambia kipindi cha The Play List cha Times Fm kuwa wasanii hao ni umri tu wanapitia kwa sasa ambao yeye ameshapita huko hivyo hawashangai. Kuhusu line ya Dogo Janja iliyopo katika wimbo wake wa […]

Read More..

Shamsa Ford Amkingia Kifua Flora

Post Image

Msanii wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kumtetea Flora aliyewahi kuwa mke wa Emmanuel Mbasha ambaye wiki iliyopita aliolewa tena na kijana Daudi Kusekwa. Shamsa Ford ameibuka na kuanza kumtetea Flora kutokana na maamuzi yake hayo ya kuolewa kwa mara ya pili na kusema yeye ndiye anajua kwanini ameamua kufanya hivyo na kumtaka kutosikiliza maneno […]

Read More..

Faraja Nyalandu na Hoyce Temu Walitumia Uch...

Post Image

Na RAMADHANI MASENGA KWANZA huanza kwa kupita jukwaani. Kisha yanafuata ni mambo ya ubunifu. Baadaye ndipo huanza kuulizwa maswali. Moja kati ya maswali wanayoulizwa mamisi wetu ni pamoja wapi ulipo Mlima Kilimanjaro, Baba wa Taifa alizaliwa mwaka gani na Ziwa Tanganyika linapatikana mkoa gani. Baada ya hapo mambo mengine hufuata. Kisha jina la mshindi hutajwa. […]

Read More..

Jennifer Lopez Alizingua – Shilole

Post Image

Msanii Shilole amefunguka na kutoa sababu zilizopelekea yeye kushindwa kufanya ngoma na msanii Jennifer Lynn Lopez, alimaarufu kama JLo na kusema aliona anamzingua hivyo ikabidi aachane naye. Shilole alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha KIKAANGONI na kudai kweli alionana na meneja wa msanii huyo na kuongea naye lakini baadaye ilishindikana kwa sababu yeye Shilole alishindwa […]

Read More..

Mwanaheri Awatahadharisha Wabunge Wanaomsum...

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Mwanaheri Ahmed amesema kuwa anawatahadharisha wabunge wanaomsumbua mitandaoni na kwenye simu yake kuwa wakiendelea atawataja kwani anawaheshimu sana. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Mwanaheri alisema kuwa kutokana na shepu aliyonayo amekuwa akisumbuliwa na wabunge tofauti kupitia akaunti yake ya Instagram ambapo humfuata DM na kwenye simu yake kumuomba kuingia naye kwenye […]

Read More..

Unauza Filamu Elfu 6 kwa Hali Gani ya Maish...

Post Image

Mchekeshaji Steve Nyerere ameendelea kufunguka mambo mengine mapya kwa kudai kinachosababisha kufa kwa filamu za bongo ni wasanii wenyewe kushindwa kutambua ushidani wa kibiashara katika soko ukoje. Steve amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz huku akisema adhani kama wanapaswa kuendelea kushindana na wamachinga wanaosambaza na kuuza ‘CD’ katika soko la Karikakoo kwa kuwa wao wanachokiuza […]

Read More..

Diamond, Kiba Wametuangusha!

Post Image

SALAAM Watanzania wenzangu. Ni matumaini yangu tu wazima wa roho na Mungu ameendelea kutupa imani ya kuishi tukipambana na changamoto mbili, tatu alizotuandikia. Naam, sote tunaishi kulitimiza agano. Hakuna mjanja kati yetu anayeijua kesho wala mwenye kiburi cha kuirejesha jana, yatupasa kushukuru kwa kila pumzi tunayoitoa bila kujali tupo katika mazingira gani. Tuseme ahsante Mungu […]

Read More..

Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi kw...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli ametoa salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo wanafamilia, ndugu, jamaa na marafiki kwa vifo vya wanafunzi, walimu na dereva vilivyotokea leo saa 3.00 asubuhi baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika eneo Rhotia Marera, Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha. Rais Magufuli amepokea kwa […]

Read More..

Watu 32 Wafariki Katika Ajali ya Basi Karat...

Post Image

Ajali mbaya imetokea Karatu Arusha katika mlima Rhotia baada ya basi dogo la St Lucky ya Arusha aina ya Coaster lililokuwa limebeba wanafunzi kutumbukia kwenye korongo na kusadikiwa kusababisha vifo kwa wanafunzi kadhaa.   Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Charles Mkumbo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema ajali hiyo imetokea baada ya basi hilo kuacha […]

Read More..