AliKiba Mwendo Wake wa Kobe Ila Mambo Yake ...
Alikiba aka King Kiba ni kati ya wanamuziki wa Africa ambao wanashabikiwa na kuwa na umaarufu wa hali ya juu. Hii yote inatokana na utamu wa sauti aliyojaliwa nayo, na kipaji cha mashairi matamu ambayo kwakweli yamekuwa yakiwaburudisha mashabiki lukuki Duniani. Alikiba ambaye kwasasa yuko chini ya kampuni kubwa ya muziki Duniani Sony Music, anauwezo […]
Read More..