-->

Monthly Archives: May 2017

Upelelezi wa Kesi ya Aliyejitosa Baharini W...

Post Image

Zanzibar. Wakati Polisi Zanzibar ikisema imekamilisha kumhoji msichana aliyejitosa Bahari ya Hindi eneo la Chumbe alipokuwa akisafiri na boti ya Kilimanjaro (V) kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar, mtaalamu anasema binti huyo amethirika kisaikolojia ni bora angeachwa apumzike. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Hassan Nassir Ali aliliambia gazeti hili jana kuwa, msichana […]

Read More..

Yusuph Mlela Atoa Angalizo Hili kwa Wanaota...

Post Image

Muigizaji wa filamu za Bongo Yusuph Mlela amefunguka na kudai kwamba wapo tayari kupambana na mtu anayetafsiri filamu za nje kwa lugha ya Kiswahili na kuziuza kwa bei rahisi, ili kunusuru soko la filamu  la ndani lizisije kufa. Mlela ameongeza kuwa wao kama wasanii wasipoonyesha juhudi za kupigania soko la filamu basi kizazi chao kitakuwa hakijaonyesha […]

Read More..

Scene za Mapenzi Zamtesa Mwanaheri

Post Image

MWIGIZAJI wa Bongo Muvi, Mwanaheri Ahmed, amefunguka kuwa, suala la kucheza ‘sini’ (scene) za kimapenzi kwenye filamu huwa linamtesa hasa linapokuja suala la kumlaghai mwanaume. Akipiga stori na Showbiz Xtra , Mwanaheri alisema kuwa, pamoja na mwigizaji kupaswa kuvaa uhusika wa scene yoyote ile unayopangiwa, lakini kwake uhusika wa mapenzi huwa unamtesa na kumnyima usingizi. […]

Read More..

Kidoa: Nampenda Diamond Kiukweli

Post Image

MREMBO anayepamba video za wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva, Asha Salum (Kidoa), ameweka wazi kwamba anampenda msanii Nasibu Abdul (Diamond Platnumz) ndiyo maana anataka kufanya naye kazi. “Nampenda Diamond Platnumz kwa kuwa ana mvuto na anajitambua anachofanya huku akithamini kipaji chake kwa kufanya kazi kwa bidii pia kitu ambacho kinanivutia kwake zaidi ni […]

Read More..

Nitaandamana Kwa Filamu Nzuri – Gabo ...

Post Image

Muigizaji wa filamu bongo anayesifiwa kwa kufanya vizuri, Gabo Zigamba amefunguka na yeye maandamano yake anayafanya kwa kutengeneza kazi bora kwa mashabiki zake waliompa nafasi ya kuonekana a siyo kuhofia soko kushuka. Gabo amefunguka na kusema kuwa katika kuhakikisha soko linasimama na kuwa imara yeye ameamua kutengeneza kazi nzuri haswa katika kipindi hiki ambacho wasanii […]

Read More..

Flora Ameamua Kurukaruka – Emmanuel Mbasha

Post Image

Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Tanzania, Emmanuel Mbasha, ambaye alikuwa mume wa Flora ameweka wazi kuwa hana shida na Mume mpya wa madam Flora Daudi Kusekwa. Kupitia eNewz ya EATV, Emmanuel Mbasha amesema kuwa hana shida na  mume mpya wa Flora kwani yeye hamfahamu na kama akikutana naye hawezi kumfanya lolote maana huyo mtu hakuwahi […]

Read More..

Tunda: Mwanaume Niliyetamani Kuwa Naye Si Y...

Post Image

VIDEO queen matata Bongo, Tunda Sebasita ‘Tunda’ hivi karibuni ameibuka na kumkana aliyewahi kuwa mpenzi wake David Ganzi ‘Young D’ kuwa si mwanaume hasa aliyewahi kutamani kuwa naye huko nyuma na juu ya uhusiano wao ni jambo ambalo lilitokea tu. Akichonga na Uwazi Showbiz, baada ya kuulizwa ni mwanaume gani alitamani kuwa naye Bongo huko […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Kusikilizwa Juni Mosi

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeambiwa kwamba upelelezi wa kesi ya kukutwa na bangi inayomkabili Muigizaji maarufu, Wema Sepetu na wenzake umekamilika. Hatua hiyo imefikiwa leo  ambapo upande wa Jamhuri mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba alisema kwamba upelelezi umekamilika dhidi ya msanii huyo na wakili wa Serikali Helleni Mushi ameomba […]

Read More..

Ruby Sina Ukaribu na Ali Kiba

Post Image

BAADA ya habari kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikihoji ukaribu unaohusishwa na kutoka kimapenzi baina ya waimbaji nyota wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ na Ali Kiba, mrembo huyo amesema hana ukaribu wowote na msanii huyo. Ruby anayefanya poa na ngoma yake ‘Walewale’ amelipasha Swaggaz kuwa taarifa za ukaribu wake na Kiba amekuwa akiziona kwenye […]

Read More..

Baada ya Ndoa ya Pili Flora Afunguka Haya

Post Image

Msanii wa nyimbo za injili Tanzania Flora ambaye alikuwa mke wa Emmanuel Mbasha jana amefanikiwa kufunga ndoa yake ya pili na kijana Daudi Kusekwa baada ya ile ya kwanza kuvunjika na kupeana talaka na Emmanuel Mbasha. Baaada ya kufunga ndoa hiyo jana Flora alisema yeye ana amani ya moyo licha ya watu kuendelea kusema maneno […]

Read More..

Ray C Ataka Kujiua Mara 10

Post Image

MWANAMUZIKI ambaye miaka kadhaa iliyopita alipotea kwenye anga la muziki baada ya kujitumbukiza kwenye matumizi ya madawa ya kulevya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amefunguka jinsi alivyotaka kujiua zaidi ya mara 10 kutokana na kujichukia. Akizungumza na Wikienda katika mahojiano maalum wikiendi iliyopita, Ray C au Kiuno Bila Mfupa alisema kuwa, alifikia uamuzi huo mara kwa […]

Read More..

Roma Mkatoliki Anena Jambo

Post Image

Msanii Roma Mkatoliki ambaye alikuwa akiuguza majeraha baada ya kutekwa na kuumizwa amefunguka na kusema hali yake inaendelea vyema na ameamua kutoka rasmi sehemu aliyokuwepo kwa kufanya misa ya shukrani jana na baada ya hapo aendelee na maisha yake. Roma Mkatoliki ambaye jana aliambatana na mkewe na kufanya Ibada ya misa takatifu ya shukrani kwa […]

Read More..

Video: Diamond Akusanya Kijiji Kwenye Show ...

Post Image

Msanii wa muziki, Diamond Platnumz, Jumapili hii amefanya show ya nguvu katika tamasha la ‘Mosi Day of Thunder Music Festival’ la nchini Zambia.   Muimbaji huyo aliwashukuru mashabiki wa nchi hiyo kwa kujitokeza kwa wingi katika show yake. “MY SHOW LAST NIGHT IN LIVINGSTONE ZAMBIA…. Mama see how much Zambia loves your Son… i hope […]

Read More..