-->

Monthly Archives: May 2017

VIDEO : Mboto Afunguka Mastaa Kubadili Wape...

Post Image

Msanii Mboto amefunguka sababu inayopelekea watu wengi wenye majina makubwa kubadili wapenzi mara kwa mara na kusema wengi wao wanakuwa na hofu juu ya wapenzi wanaowafuata na kutaka kuwa nao maana wanakuwa hawajui kama wanamapenzi ya dhati au wizi. Msanii Mboto amefunguka sababu inayopelekea watu wengi wenye majina makubwa kubadili wapenzi mara kwa mara na […]

Read More..

Wasanii Wakongwe Wametuharibia- Shifah

Post Image

MWIGIZAJI chipukizi kutoka tamthilia ya Siri za familia Sharifa Mansoor ‘Shiffer’ amesema kuwa uigizaji ni kazi sawa na kazi nyingine lakini walioanza walitumia fursa yao vibaya kwa kufanya mambo yasiyofaa kujikita katika masuala ya kashifa kitu kilichopelekea jamii kudharau fani hiyo. “Haikuwa rahisi nilipoomba familia yangu kujiunga na Siri za familia kila mtu alisema kuwa […]

Read More..

Dogo Janja Afungukia Mapenzi ya Harmonize n...

Post Image

Msanii kutoka Tip Top Connection, Dogo Janja amesema licha ya kuwaimba Harmonize na Wolper katika wimbo wake wa Kidebe, hajawahi ‘kuvutiwa’ na mahusiano yao. Dogo Janja amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds Fm kuwa msanii akishakuwa kwenye mahusiano na mtu maarufu ni lazima akubali mapenzi yake kufuatiliwa na watu wengi. “Ukishakuwa na mpenzi staa hiyo […]

Read More..

Nora Afungukia Wasanii Kujiuza

Post Image

MKONGWE katika fi lamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ ambaye kwa sasa anajishughulisha na ujasiriamali baada ya soko kwenda halijojo, amedai biashara ya kujiuza inayofanywa na baadhi ya mastaa wa tasnia hiyo hailipi na itawaathiri zaidi baadaye.   Akipiga stori na Za Motomoto News, Nora alisema ni vyema wakatafuta shughuli halali ya kufanya ili kujipa heshima […]

Read More..

Dogo Mfaume Amefariki Akiwa Anasubiri Upasu...

Post Image

Dar es Salaam. Kifo cha msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Mfaume Selemani maarufu kama Dogo Mfaume, kimekuja ikiwa ni siku chache tangu Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamisi Kigwangalla kutoa msaada kwa ajili ya matibabu ya uvimbe karibu na ubongo uliokuwa unamsumbua. Dogo Mfaume aliyewahi kutamba […]

Read More..

Niombeeni Nipate Mwanaume wa Namna Hii-Wema...

Post Image

Malkia wa filamu bongo, Wema Issac Sepetu amefunguka na kuwataka mashabiki wamuombee apate mume bora atakayekuwa na heshima na wala asiwe mtu maarufu na siyo kumhusisha kila mara na uhusiano wa kimapenzi na msanii Diamond Platnumz. Wema amefunguka hayo wakati akimjibu Shabiki katika kurasa wake wa Instagram, na kumtaka atambue Diamond ni baba wa watoto […]

Read More..

Alikiba apewa jina jipya Uingereza

Post Image

Mtandao mkubwa wa kuuza muziki wa TIDAL ambao upo chini ya rapa Jay Z umempa jina jipya msanii kutoka Bongo Alikiba na kumtambua kwa jina la ‘The unstoppable’ yaani mtu asiezuilika kwa kitu akifanyacho. “The unstoppable AliKiba is live right now in London” mtandao wa TIDAL uliandika wakati Alikiba akifanya yake kwa steji usiku huo. […]

Read More..

JPM Aitaka TBC Itangaze Bila Kubagua Vyama,...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amelitaka shirika la utangazaji la TBC, kutoa taarifa sahihi kwa watanzania bila kujali vyama vyao, dini zao wala makabila yao. Pia Rais Magufuli amemuagiza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na MichezoHarrison Mwakyembe aliyekuwepo katika ziara hiyo kuuangalia mkataba kati ya TBC na Star Times na kuchukua hatua zinazostahili endapo […]

Read More..

Tunda Mapenzi ya Mitandaoni Byebye!

Post Image

MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Tunda Sebasita ‘Tunda’ hivi karibuni amefunguka kuwa miongoni mwa mambo ambayo hawezi kuyaweka wazi kwa sasa mitandaoni ni juu ya uhusiano wake wa kimapenzi ili kuwaepusha marafiki wenye wivu kumharibia uhusiano wake jambo ambalo lilimtokea kipindi akiwa na Young D. Akichonga na Uwazi Showbiz, Mwanadada huyo alisema kuwa kipindi […]

Read More..

Shamsa Ford Amkana Nay wa Mitego

Post Image

Malkia wa filamu Shamsa Ford amekanusha kuwepo katika show ya ‘Wapo Tour’ ya rapa Nay wa Mitego itayofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala, May 20 mwaka huu. Muigizaji Shamsa Ford Rapa huyo hivi karibuni aliimbia Bongo5 kuwa muigizaji huyo ambaye kwa sasa ameolewa na mfanyabiashara Chidi Mapenzi, atakuwepo kwenye show hiyo. Akiongea na Bongo5 Jumanne […]

Read More..

Jina la Miss Tanzania libadilishwe – ...

Post Image

Msanii Afande Sele amefunguka mengine mapya kwa kudai shindano la Miss Tanzania kwa sasa linatia aibu kubwa katika taifa kwa kukosa hadhi huku likionekana ni shindano linalomnufainisha mtu mmoja nasiyo taifa kama ilivyokuwa awali. Afande Sele amesema hayo baada ya watu wengi ndani na nje ya nchi kutoridhishwa na zawadi ya gari aliyopewa Miss Tanzania […]

Read More..

VIDEO: Alikiba ana Roho Ngumu – Husse...

Post Image

Hussein Machozi amesema ‘team’ katika muziki wa bongo fleva zimekuwa nzuri kwani zinafanya mashabiki waendelee kukomaa na msanii wao ila anasema yeye hawezi kwani hana roho ngumu kama Alikiba ambaye anatukanwa na watu mitandaoni na kukaa kimya. Hussein Machozi amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha eNewz na kusema yeye mtu akimtukana kwenye mitandao ya kijamii […]

Read More..

Mc Pilipili, Rose Ndauka Muwaache!

Post Image

TASNIA ya uchekeshaji imeendelea kupiga hatua na kuonyeha tofauti ya wazi baina ya wachekeshaji wa zamani na wa kizazi hiki. Wachekeshaji wa zamani walishindwa kunufaika na sanaa yao kutokana na ukosefu wa uwekekezaji katika vipaji vyao lakini kwa sasa wachekeshaji wanakula bata kutokana na fedha wanazoingiza kupitia sanaa yao. Miongoni mwa wachekeshaji wanaotengeneza pesaa ndefu […]

Read More..

Flaviana Matata: Mwanamitindo, Mjasiriamali...

Post Image

Miaka 10 iliyopita Flaviana Matata aliibuka mshindi katika mashindano ya Miss Universe nchini. Huenda wengi walimchukulia kama washindi wengine ambao hufurahia umaarufu na zawadi kisha hupotea. Miaka 10 baadaye Flaviana si tu jina maarufu nchini kama yalivyo mengine, ni super model, mjasiriamali na mwanaharakati anayesaidia wenye uhitaji. Amefanyakazi na makampuni makubwa katika kazi yake ya […]

Read More..

Faiza Akumbushia Enzi za Penzi Lake na Sugu

Post Image

Mwigizaji Faiza Ally ameleza jinsi mahusaino ya kimapenzi yalivyokuwa yanamsumbua katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita hali iliyopelekea yeye kuugua mara kwa mara. Kupitia instagram Faiza amepost picha akiwa kitandani na kuandika, ‘‘Kuna mambo sasa hivi nikiangalia nacheka sana … haya mapenzi jamani, hapo ni miaka mitatu iliyopita nilikuaga namlilia Baba Sasha mpaka natundikiwa drip […]

Read More..

New Video: Harmorapa Kaachia Video ya ‘NU...

Post Image

Harmorapa alianza kukiki kwenye mitandao kiutaniutani ambapo baadae Producer maarufu P Funk Majani alimuona na kukutana nae kwenye studio za Bongo Records, alimsifia kuwa anapenda kujifunza na ni mwepesi pale anapoelekezwa. Sasa Harmorapa kaanza kuachia ngoma zake ambapo hapa kamshirikisha  Ronei na Mkongwe mwingine wa Bongofleva Cpwaa, ukishaitazama hii usisahau kuacha na comment yako ili […]

Read More..

Hawaitakii Mema Ndoa Yangu – Shamsa Ford

Post Image

Mwigizaji Shamsa Ford amefunguka na kusema kuna watu wengi wamekuwa si watu wema katika ndoa yake, na wamekuwa wakihangaika kuona ndoa yake hiyo inapotea au hata kuvunjika kabisa. Shamsa Ford amesema kutokana na vitendo mbalimbali ambavyo amekuwa akivishuhudia ni wazi kuwa watu wanampiga vita na kutaka kuisambaratisha ndoa yake hiyo, jambo ambalo anasema Mungu hawezi […]

Read More..

Antu Mandoza Msomi Mwenye Bahati Kuigiza Fi...

Post Image

Apania kutwaa Tuzo za Oscar kama Lupita BONGO movie huwezi kupata bahati ya kuingia moja kwa moja na kupewa thamana kuingiza kama mwigizaji kinara, ni mamisi tu ndio wenye bahati hiyo lakini mwingine lazima asote, kwa Antu Mandoza ‘Miss Mandoza’ mwigizaji kinara katika filamu ya Kiumeni ni tofauti, yeye sinema yake ya kwanza anapewa nafasi […]

Read More..