-->

Monthly Archives: February 2016

‘Baba yake Diamond: Nililia sana kuto...

Post Image

Baba wa staa wa muziki Diamond Platnumz, Abdul Juma amesema hakuna siku alilia kwa uchungu kama siku ambayo mjukuu wake Tiffah alifanyiwa sherehe ya arobaini bila yeye kualikwa. Akizungumza katika kipindi cha The Weekend Chat Show cha Clouds TV Jumamosi hii, Mzee Abdul alidai licha ya kuwa anawasiliana mara kwa mara na mama yake Diamond, […]

Read More..

Recho Ashikiliwa na Polisi Dubai

Post Image

Msala! Mtoto mzuri mwenye sauti tamu kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho’ anadiwa kushikiliwa na Polisi wa Jiji la Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) kwa kosa la kuzidisha muda wa kibali cha kuishi ugenini (overstay), Risasi Jumamosi lina mchapo kamili. TUJIUNGE NA CHANZO Kwa mujibu wa chanzo makini, Recho alitoroshwa na mwanaume […]

Read More..

Pata Mkopo Usio na Riba

Post Image

Kwanini urejeshe mkopo wa vicoba kwa riba na hali pesa za akiba ni zenu wenyewe? Basi mkopo huu ni kwaajili ya MTU yeyote MWAMINIFU na mwenye KIU ya MAENDELEO. Unataarifiwa kuja kupata elimu ya kina kuhusu namna mkopo bila riba unavyofanya kazi na ukielimika na kuielewa unaweza kuamua kujiunga (SIO LAZIMA) kwenye VICOBA hii isiyo […]

Read More..

Mimba ya Wema Yamtia Uchizi Penny

Post Image

Mwanadada anayepiga dili la utangazaji kupitia Zouk TV ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungwilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa mimba ya shosti wake, Wema Sepetu inampa ‘uchizi’ kwa kutamani kila kukicha na yeye anase ujauzito. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Penny alisema kuwa hivi sasa karibia rafiki zake wote wana […]

Read More..

Wolper Awapigia Saluti Wabongo Huko Insta

Post Image

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper ameonyeshwa kushangazwa na baadhi ya wabongo kwenye mtandao wa instagram kwajinsi wanavyopenda kusukiongeza kwa kile mtu atakachokiandika. “Some people are just waiting for that sad news about you. May they wait till they perish mtu akifunguka kidogo mnajiongeza namnayoyajua dah kweli waTz insta mzungu alituletea sisi natujipigie makofi […]

Read More..

“Video Queens’ Wanataka Umaaruf...

Post Image

Hayo yameelezwa na wadau mbali mbali walipokuwa wakitoa maoni yao kuhusu wasichana wanaofanya kazi hiyo kwenye kipindi cha PlanetBongo kinachorushwa na East Africa Radio. “Mi naitwa Abduli naishi mwenge, kwangu mimi ninavyojua video models bongo kwa malipo hawalipwi vile wanavyopaswa, ila wanachokifaidi ni umaarufu kwa hiyo unakuta mtu anajitolea kufanya kazi na msanii fulani kwa […]

Read More..

Nampenda Yemi Alade Ila Sina Namba Zake ...

Post Image

Juma Nature ameyasema hayo katika kipindi cha PlanetBongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema kwamba anamkubali sana msanii huyo kutoka Nigeria, ambaye ameimba wimbo wake wa Nagode kwa lugha ya kiswahili. “Nataka nimalize kabisa na Yemi Alade, yeye ni msanii ambaye anaweza sana Afrika, anajua muziki kinyama, nikikaa nyumbani na kusikiliza madude yake, huyu […]

Read More..

Bongo Movie Wabaguzi- Love

Post Image

MWIGIZAJI wa kike katika tasnia ya filamu Loveness Watson ‘Love’ amefunguka kwa kuwalaumu wasanii wa filamu Bongo movie kuwa ni wabinafsi hawana msaada wowote katika matatizo zaidi ya wao kujiangalia na rafiki zao wa karibu ameliona hilo alivyompoteza mama yake. “Sina hamu na Bongo Movie misiba na matatizo ni ya kwao tu lakini sisi hakuna […]

Read More..

Johari: Nimemchuna Sana Ostaz Juma Namusoma

Post Image

Mkongwe kwenye sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amevunja ukimya na kuweka bayana kuwa miaka kadhaa iliyopita aliwahi kumchuna sana Mkurugenzi wa Kampuni ya Watanashati Entertainment, Ostaz Juma Namusoma alipokuwa akimhitaji awe mchumba wake. Johari alifunguka hayo hivi karibuni baada ya mwanahabari wetu kumfungia safari hadi ofisini kwake Sinza-Mori, jijini Dar es Salaam na kumuuliza […]

Read More..

Ray Kigosi Apigilia Msumari Mwingine Kwa Ba...

Post Image

  Ray amesema kuwa, filamu hiyo itatoka kama ilivyopangwa licha ya tuhuma za Batuli, akijitetea kuwa, hawezi kushindwa kumlipa mtu mmoja na kufanikisha kuikamilisha kazi hiyo waliyoifanya miaka 3 iliyopita tayari kwa kuiingiza sokoni. Ray pia akatolea ufafanuzi hisia zilizoanza kujengeka kuwa, wametengeneza ugomvi huo na Batuli ili kuipatia kiki kazi yao, kitu ambacho amekipinga […]

Read More..

Nisha Awa Balozi wa New Hope Family Group

Post Image

MSANII wa Filamu hapa nchini, Salma Jabu ’Nisha’ amekuwa Balozi wa Kikundi cha New Hope Family Group chenye makazi yake Kigamboni Dar kinachojihusisha na masuala ya kutetea watoto waishio katika mazingira hatarishi. Hafla ya kumtambulisha msanii huyo imefanyika leo katika Ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) ambapo mwenyekiti wa taasisi hiyo, Omary Kombe, amesema lengo […]

Read More..

Mzee Majuto Apagawishwa na Kimwana-KIBOKO K...

Post Image

Short Video Clip Movie: Kiboko Kabisa Genre: Bongo Movie Comedy Production: Nisha Production Cast: Mzee Majuto, Nisha, Jada, Neema wa 20%, Hemedy Chande Writer: Lamata Leah Director: Lamata Leah Release date: 29 January 2016 Distributors: Step Entertainment

Read More..

Basata Yaifungulia Makucha Miss Tanzania

Post Image

Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limefungua makucha na kuitaka kampuni ya LINO waandaaji wa mashindano ya Miss Tanzania kurudimezani na kamati ya mashindano hayo ambayo ilijitoa wiki kadhaa nyuma kushiriki katika mashindano hayo ambayo awali yalikuwa yamefungiwa. Basata leo wametoa ujumbe kuwataka LINO na kurudi mezani na kuangalia namna bora ya kusonga mbele kwa kuweka […]

Read More..

‘Simba’ Amfanya Alikiba Ashindwe Kufany...

Post Image

Jana pande za SlipWay ,Ali Kiba alizindua video yake ya Lupela lakini mipango yake ilikuwa ni kufanya uzinduzi wa video hiyo kwenye mbuga za wanyama. ‘’Nilitamani sana kwenda kufanya ndani ya mbuga ili I’make sense’ zaidi ili ‘honey’ wangu Lupela ainjoy zaidi lakini kiukweli ilikuwa ni uoga wangu tu,asije akatokea simba halafu Lupela akafia pale […]

Read More..

Masanja Mkandamizaji Kufungua Kituo Chake c...

Post Image

Mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji ameweka wazi mpango wake wa kufungua kituo cha Radio na TV ambavyo atavisimamia yeye mwenyewe. Akizungumza na 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds Fm Alhamisi hii, Masanja alisema tayari ameshapata mafunzo ya uandishi wa habari ili kujifunza kuhusu kuendesha vituo hivyo. “Yeah nimepanga kufungua kituo changu […]

Read More..

Aliyedaiwa Kumbaka Shilole Afunguka Mazito!

Post Image

KATIKA maho-jiano na Mwandishi nguli wa burudani nchini wa Gazeti la Ijumaa, Erick Evarist, Februari 2012, msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ alinukuliwa akieleza kisa hiki: “Katika maisha yangu nimepitia mitihani mingi, mmoja wapo ni huu wa kulazimishwa kufanya mapenzi bila ridhaa yangu, kwa kifupi nilibakwa.” Kwa kuwa kisa hiki cha kusikitisha kimesemwa sana na Shilole katika […]

Read More..

Mpoto, Muhogo Mchungu Wahimiza Usomaji wa V...

Post Image

WASANII wa fani mbalimbali wametoa wito kwa wananchi na wanafunzi kuwa na desturi ya kujisomea vitabu vya lugha ya Kiswahili ambavyo vitawasaidia kukuza lugha hiyo. Akizungumza jana katika uzinduzi wa kitabu cha fasihi cha ‘Mwele bin taabani’, kilichoandikwa na aliyekuwa Mbunge wa Mchinga, Mudhihir Mudhihir, msanii Mrisho Mpoto alisema kuwa kama Watanzania wanahitaji lugha hiyo […]

Read More..

Riyama Ally, My Stereo, Kuhalalisha Mahusia...

Post Image

Msanii wa filamu Riyama Ally, baada ya kuingia katika hatua ya Uchumba kimya kimya na mpenzi wake ambaye ni msanii chipukizi wa Bongo Fleva leo Mysterio, amesema kuwa mpango wao wa kuhalalisha mahusiano yao umeanza kunukia, hasa baada ya msanii huyo kujihakikishia nafasi yake kwa kutoa posa. Riyama ambaye baada ya hatua hiyo amekuwa mwepesi […]

Read More..