-->

Monthly Archives: February 2016

Wanaosema Nimefulia ni Mamluki na Kenge -Du...

Post Image

Msanii Dudu baya amewalalamikia Watanzania na kusema kuwa hawafikirii kitu kingine cha msingi pale msanii anapokuwa kimya, na badala yake wanakimbilia kusema msanii huyo amefulia. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Dudu baya amesema mashabiki weni ndio wa kwanza kulaumu kuwa wasanii wa Tanzania hawana elimu, hivyo wakikaa kimya ili kufanya […]

Read More..

Picha: Wasanii wa Fialamu ya Tajiri Mfupi W...

Post Image

Wasanii wa filamu nchini Mr Kupa na Chodo, walitembelea katika kituo cha watoto Yatima kilichopo Tabata, kwaajili ya kutoa msaada katika kituo cha HURUMA, kama sehemu ya shukrani kwa kuingia kwa filamu mpya ya Tajiri MFUPI sokoni siku ya leo.

Read More..

Exclusive Video: Harmonize Ft Diamond Platn...

Post Image

Video mpya ya msanii Harmonize kutoka Wasafi Classic amemshirikisha Boss wake Diamond Platnumz wimbo unaitwa “Bado”  Video imefanyika nchini Afrika Kusini.

Read More..

Nataka nifikishe watoto wanne – Flora Mvu...

Post Image

Msanii wa filamu Flora Mvungi ambaye pia ni mke wa mwanamuziki H.Baba, amejibu shutuma zinazoongelewa na watu katika mitandao ya kijamii kuwa anazaa haraka haraka mno ambayo ni hatari kwa afya yake. Akizungumza katika kipindi cha Hatua Tatu cha Times Fm, Flora amesema kila mtu ana maamuzi yake kuhusu maswala ya uzazi. “Nataka nifikishe watoto […]

Read More..

Kuvunja Watu Mbavu…Mzee Majuto ‘Katusua...

Post Image

Maarufu Bongo, Amri Athumani ‘King Majuto au Mzee Majuto’. Kila mtu na mtoko wake, mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athumani ‘King Majuto au Mzee Majuto’ anatengeneza mkwanja mrefu kwa kuwavunja mbavu watu. Leo ndiye ana husika katika makala yetu ya utajiri na utapata kujua ni vitu gani anavyomiliki kupitia sanaa yake hiyo. Toyota Noah Mzee Majuto: […]

Read More..

Leonard Di Caprio Aandika Historia

Post Image

JANA usiku katika jiji la Los Angeles kulikuwa na sherehe kubwa ya utoaji wa Tuzo za 88 za Oscar. Katika tuzo hizo, mshiiki mmojawapo, Leonard Di Caprio kwa mara ya kwanza aliandika historia ya kuchukua tuzo hiyo ambapo aliwahi kujaribu zaidi ya mara tano. Tuzo hiyo ya Caprio aliyewahi kubamba katika Filamu ya Titanic na […]

Read More..

1

Hatimaye Rayuu Aolewa!

Post Image

Alice Bagenzi ‘Rayuu’ na mumewe Ahmedi Said. Stori: Mayasa Mariwata, Wikienda Dar es Salaam: Cherekochereko! Habari ikufikie kuwa mwigizaji wa sinema za Kibongo aliyejipatia umaarufu baada ya picha zake za utupu kuzagaa mitandaoni, Alice Bagenzi ‘Rayuu’, hatimaye ameolewa na mfanyabishara mwenye asili ya Kiarabu aitwaye Ahmedi Said. Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu […]

Read More..

Full Interview: Gabo Zigamba Akizungumzia F...

Post Image

Staa mkali wa Bongo Movies, Gabo Zigamba amefunguka mengi kusu filamu yake ya Kona Tatu andlifanya mahojiao na mtangazaji Bond wakipindi cha action &Cut. Mtazame hapo chini

Read More..

Diamond Kuachia Wimbo wa Kurap Uitwao ‘Si...

Post Image

Staa wa muziki Diamond Platnumz amejipanga kuachia wimbo mpya wa kurap uitwao Simba. Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii, Meneja wa msanii huyo, Babu Tale alisema wimbo huo utakuwa sio wa biashara bali ni zawadi kwa mashabiki. “Kama Hip Hop ni biashara Diamond amefanya wimbo wa kurap lakini hatujauchulia kama ile […]

Read More..

Brandy: N’tamkumbuka Kanumba Hadi Nakufa!

Post Image

Kwenye kolamu hii leo tunaye msanii Brandy Godwin anayebamba kwenye Tamthiliya ya Kivuli katika Kituo cha Star Swahili ambaye amebananishwa ipasavyo na Mwandishi Wetu, Mayasa Mariwata na kufunguka ipasavyo kutokana na mambo mbalimbali kuhusu kazi zake na jamii inayomzunguka. Ijumaa: Ni kitu gani kilichokusukuma kuingia kwenye sanaa ya uigizaji? Brandy: Kiukweli napenda kuigiza sana ni […]

Read More..

Rais Magufuli Kasafiri kwenda Arusha

Post Image

President wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ameshafika Arusha tayari kwa ajili ya kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki. Kwenye hii picha anaonekana akisalimiana na mbunge wa Arumeru Mshariki Joshua Nassari ambae alikua mmoja wa viongozi  na wananchi waliojitokeza kumpokea uwanja wa ndege wa […]

Read More..

Sikumbuki Hata Kukutana na Gigy Money ̵...

Post Image

Msanii Rich Mavoko amekanusha taarifa za kuwahi kuwa na mahusiano na video queen Gigy Money, ambaye alisema alishawahi kuwa naye akiwa kidato cha pili. Akiongea na East Africa Radio Mavoko amesema taarifa hizo si za kweli, na hakumbuki hata kuwahi kukutana naye mrembo huyo, achilia mbali kuwa na mahusiano naye. “Mi sijawahi kutoka naye, hata […]

Read More..

Filamu Zetu Zinapotushawishi ‘Tunywe Maji...

Post Image

NAWASALIMU wapendwa wasomaji wa gazeti hili, hasa katika kipande hiki ambacho kinatupa wasaa za kuzungumzia masuala kadha wa kadha katika nyanja ya filamu hapa nchini. Nimekuwa nikiandika mambo mengi katika eneo hili na kwa hakika baadhi ya wadau wamekuwa na mrejesho mzuri kuhusu mada ninazoziandika. Yapo mengi ambayo yanaendelea kwenye filamu zetu na nimekuwa nikiyaeleza […]

Read More..

Wanne Wauawa na Polisi kwa kuvamia Benki Mb...

Post Image

Polisi wakiimarisha ulinzi kwenye benki hiyo iliyovamia na wanaosadikiwa kuwa majambazi Mbagala, Dar. WATU wanaosadikiwa kuwa majambazi na ambao idadi yao inasadikiwa kuwa sita wakiwa na mabomu na bunduki za kisasa jana walivamia Benki ya Access tawi la Mbagala jijini Dar es Salaam ambako walipora viroba vya fedha, kuua mlinzi na baadaye wanne kati wakauawa […]

Read More..

Uchaguzi wa Meya Jiji la Dar Waahirishwa

Post Image

Baadhi ya Wafuasi wa Ukawa wakifuatilia taarifa iliyokuwa ikitolewa na Mwenyekiti wa Madiwani na wabunge wa jiji la Dar mda mfupi baada ya kuahirishwa uchaguzi huo. Mwenyekiti wa Madiwani na Wabunge wa Ukawa, Manase John Mjema akitoa taarifa yake mbele baada ya kuahirishwa uchaguzi huo. Hali ilivyoonekana nje ya Ukumbi wa Karimjee jijini Dar, baada […]

Read More..

Shamsa Danga Ampongeza Dkt. Magufuli

Post Image

MSANII wa filamu wa kike na mtangazaji wa televisheni Shamsa Danga amempongeza Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli baada ya kuangalia tasnia ya filamu na muziki kwa kuwaimiza mamlaka ya Mapato kukamata kazi ambazo hazina stempu za ushuru wa mapato hasa zile za kutoka nje. “Nampongeza mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli […]

Read More..

Ney wa Mitego: Muziki Sio Vita, Avunjiwa Vi...

Post Image

Msanii Ney wa Mitego amepata ajali ya kuvunjiwa kioo cha gari yake na watu wasiojulikana, alipokuwa njiani akielekea EATV kwenye mahojiano ya kipindi cha Friday Night Live. Kwenye ukurasa wake wa instagram Ney wa Mitego ametoa taarifa hiyo, na kuwaomba radhi mashabiki wake kwa kushindwa kufika kwenye kipindi hicho, ambapo alitarajiwa kwenda kutambulisha video yake […]

Read More..

Sijui Kama Wema Alishawahi Kuwa na Mimba ...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Mirror, anayefanya kazi chini ya Wema Sepetu amesema hajui kama Wema alishawahi kuwa na mimba ila na yeye anasikia kwa watu na kwenye mitandao. Msanii huyo ambaye anatamba na wimbo wake mpya Naogopa ambao ameimba na Baraka Da Prince ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha ENews kinachorushwa […]

Read More..