-->

Monthly Archives: May 2016

Kusaka Mpenzi Kwenye Simu, Sitosahau –...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Linah a.k.a ndege mnana amefunguka moja kati ya vitu ambavyo hawezi visahau katika maisha yake yote. Akizungumza na Enewz Linna alisema kwamba moja ya kitu hicho ni tukio ambalo walilifanya yeye na mwenzie kipindi wanasoma kwani walikuwa wana tabia ya kujaribu kupiga namba tofauti tofauti ili kutafuta mpenzi. “Nilifanikiwa kumpata mwanaume […]

Read More..

AY na Mwana FA Kulipwa Bilioni 2 na Tigo, B...

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Ilala imeiamuru kampuni ya Mawasiliano ya TIGO kuwalipa wasanii Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’ na Ambwene Yessaya ‘AY’ jumla ya shilingi bilioni 2.18 baada ya kutumia kazi zao za muziki bila ridhaa yao. May 10, 2016, Mwanasheria maarufu nchini, Alberto Msando alipost picha Instagram akiwa kwenye mahakamu kuu ya Tanzania akiwa na rappers […]

Read More..

Shilole: Kuengea Kingereza ni Kipaji

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Shilole a.k.a Shishi Baby amekiri kwamba kuzungumza lugha ya kingereza ni kipaji na wala si hivi hivi tu na amesema yeye anajua kuongea vizuri kingereza ila anapenda kuongea kingereza kibovu ili kuchekesha watu tu. Na hii ni baada yakuonekana katika mitandaoni mbalimbali ya kijamii akijaribu kwa juhudi zote bila mafanikio kuzungumza […]

Read More..

Baada ya Kuokoka, Kajala Akejeliwa

Post Image

BAADA ya kukiri katika gazeti hili kuwa ameamua kuokoka na kumrudia Mungu, mrembo kunako filamu za Kibongo, Kajala Masanja amekejeliwa na baadhi ya watu wake wa karibu. Akizungumza na Amani Kajala alisema kitendo cha kuokoka kimegeuka kama kejeli kwa marafiki zake ambapo wengi humcheka lakini anaamini kabisa siyo akili zao bali shetani anataka kuwatumia ili […]

Read More..

Tanzia: Muigizaji Kinyambe Afariki Dunia

Post Image

Komediani aliyetamba kwa kubadilisha sura na sauti yake katika filamu za uchekeshaji nchini, James Peter Nsemwa a.k.a Kinyembe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Mpaka mauti yanamfika, Kinyambe alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya. Akiongea na EATV Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba, amesema ameongea na baba mzazi wa […]

Read More..

Dayna Nyange Amuonea Wivu Roma

Post Image

MWANADADA anayefanya poa kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’ hivi karibuni amedai kuwa anamuona wivu staa wa Hip Hop, Roma Mkatoriki kutokana na hatua aliyoifikia ya kufunga ndoa Jumamosi iliyopita mkoani Tanga na mchumba wake wa muda mrefu. Dayna anasema amekuwa mtu wa karibu wa Roma kwa muda mrefu sasa […]

Read More..

Nimemuweka Wazi Mpenzi Kupunguza Usumbufu &...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake ‘Achia boy’ amefunguka na kusema kuwa ameamua kumuweka wazi mpenzi wake ili kupunguza usumbufu kutoka kwa watoto wa kike. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet bongo cha East Africa Radio, Ommy Dimpoz alidai kuwa kufanya hivyo ni kupunguza kasi ya watoto wa kike ambao wamekuwa […]

Read More..

Mr Blue Anakuja na Hii Akiwa na Alikiba

Post Image

Mr Blue alitumia Acount yake ya Instgram kufikisha ujumbe huo kwa mashabiki wake na kuwaambia kazi ambayo amefanya na msanii Alikiba kwa producer Man Water ‘Combination Sound’ imekamilika na sasa ipo mikononi mwake. “Nataka kuwaambia kuwa nawapenda sana ila nataka muachane na skendo ambazo zipo kwenye vyombo vya habari, Mr Blue sasa nakuja na mambo […]

Read More..

Temba Atoboa Kuhusu Wazo la Mkubwa na Wanae

Post Image

Msanii kutoka katika kundi la TMK Mheshimiwa Temba azungumzia wazo la kuanzishwa kwa kundi la ”Mkubwa na Wanae” lililopo chini ya meneja Saidi Fella. Akizungumza na Enewz Temba amesema kuwa yeye ndiye aliyetoa wazo kwa Fella la kuanzishwa kwa kundi hilo baada ya baadhi ya wasanii waliokuwa chini yake kulaumu kudhurumiwa na meneja huyo. “Mimi […]

Read More..

Wapo Wanaojiuza Kweli Bongo Movie- Rose Nda...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Rose Ndauka amefunguka na kuweka wazi kuwa kwenye tasnia hiyo wapo baadhi ya watu wachache ambao wameingia kwenye tasnia hiyo wakiwa na lengo la kujiuza na kupata wanaume, ambao wamekuwa wakiichafua tasnia hiyo. Kupitia kipindi cha Mkasi, Rose Ndauka aliweka sawa kuwa kuna wasanii ambao wanaingia kwenye tasnia hiyo kuwa kuwa […]

Read More..

Prof Jay Afunguka Haya Kuhusu Mwana FA, Nik...

Post Image

Mbunge wa Mikumi ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva, Joseph Haule ‘Prof Jay’ amewataja wasanii ambao wana uwezo wa kuwa viongozi kama wakipewa nafasi na wananchi. “Wasanii wengi wana misimamo mizuri,wana shule lakini nina wasiwasi kama watakuwa na uwezo wa kujitoa kama hivi maana kazi ya ubunge si tu kuona na kutaka kuwa kama […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kutamani Kumuoa Wema S...

Post Image

Staa wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amefunguka kuwa Wema Sepetu asingekuwa ‘Super Star’ nilitamani awe mke wake. Kupitia redio cloudsfm, ommy alieleza haya; “Ndio maana mimi sipendi ku’date’ na watu maarufu unakuwa hakuna ‘privace’ watu watajua kunakuwa na mambo mengi sana, sometimes unaishi siyo maisha yako utakuwa unawaridhisha mashabiki wa ‘girlfriend’ wako kwasababu ukifanya hivi […]

Read More..

COSOTA Yatoa Wito Huu kwa Wasanii

Post Image

WASANII nchini wametakiwa kutambua wajibu wao katika suala zima la hatimiliki ili kuweza kujiinua kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam katika mkutano wa kimataifa wa vyama vya usajili wa kazi za wasanii (AFRO), Mwenyekiti wa Bodi wa Chama cha hati miliki Tanzania (Cosota), Dk. Ritta Mwaipopu, alisema endapo kama wasanii […]

Read More..

Mose Iyobo Afunguka Mapya Juu ya Mahusiano ...

Post Image

Akizungumza na Bongo5, Mose amesema hasa hasa amenufaika sana na umaarufu wa Aunt Ezekiel ambae ni staa mkubwa katika tasnia ya filamu. “Kuwa na mahusiano na mama Cookie kumenisogeza sana,” alisema Mose. “Kwa sababu ni star wa filamu toka kitambo sana. Mimi nilikuwa najulikana lakini siyo kivile, lakini nilivyokutana na Mama Cookie kuna vitu vingi […]

Read More..

Hemed PHD Afunguka Kuwazimia Wanawake wa Ai...

Post Image

Star wa bongo movie na bongo fleva kutoka Bongo Hemed PHD a.k.a Fernando Papi ametamka wazi kuwa anapenda kutoka kimapenzi na mijimama kuliko wasichana wembamba Akizungumza na Enewz Hemedi alisema kuwa yeye hana chaguo la wanawake wembamba na alishajaribu kuwa nao lakini alishindwa na kuwataka aina hiyo ya wanawake kukaa mbali naye. “Mimi sipendi mwanamke […]

Read More..

Waziri Amtaka Gardner Aombe Radhi Kwa Kumdh...

Post Image

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Hamis Kigwangalla, amemtaka mtangazaji wa Clouds FM, Gardner G Habash kumuomba radhi aliyekuwa mke wake, Lady Jaydee kwa ‘kile alichokiita’ kama udhalilishaji kwake na kwa wanawake wote. Wikiendi iliyoisha imesambaa video mtandaoni ikimuonesha mtangazaji huyo akiongea kwenye tamasha alilokuwa mshereheshaji: My name is Captain […]

Read More..

Ray Anafanya Movie Rwanda, Muigizaji Pekee ...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Vicent Kigosi amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii pekee kutoka Tanzania ambaye amechaguliwa kushiriki katika filamu inayounganisha nchi mbili ya Rwanda na Tanzania.   Ray Kigosi kupitia mtandao wake wa kijamii aliandika kuwa kwa nafasi aliyopata hawezi kuwaangusha watanzania kwani yeye amekwenda kuwaonyesha kazi. “Nipo nchini Rwanda nimekuja kushoot movie […]

Read More..

Picha za Waziri wa Sudan Zawa Gumzo Mtandao...

Post Image

Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Sudan Kusini Mh. Mabior Garang De Mabior ambaye ni mtoto wa Rais wa kwanza wa Sudan Kusini na kiongozi wa zamani wa kikundi cha waasi cha SPLA/M cha Sudan Dr. John Garang amekuwa gumzo mitandaoni baada ya picha zake zenye utata kusambaa katika mitandao ya kijamii. Mabior Garang ambaye […]

Read More..