-->

Monthly Archives: May 2017

Rais Magufuli Amng’oa Profesa Muhongo

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuachia madaraka kushindwa kusimamia suala la mchanga wa dhahabu unaosafirishwa kwenye makontena. Amemtaka waziri huyo kujitathimini na bila kuchukua muda mrefu aachie madaraka kutokana na suala hilo. Rais Magufuli amesema hayo baada ya kamati iliyokuwa ikichunguza suala la mchanga kwenye […]

Read More..

Gigy Afunguka A-Z Kuhusu Picha Zake Chafu n...

Post Image

Baada ya weekend hii kusambaa video chafu ikimuonyesha mwanasheria nguli, Albert Msando akishikana shikana na video vixen, Gigy Money na kuzua taharuki mitandaoni, Gigy amefunguka kuzungumzia sakata hilo A-Z. Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Gigy amedai wakati akirekodi video hiyo na kuisambaza mtandaoni mwanasheria huyo aliridhia. “Jumapili hii nilienda Arusha na kile mlichokiona ilikuwa ni […]

Read More..

Madam Flora Afunguka Haya kwa Mume Wake

Post Image

Msanii wa nyimbo za injili nchini, Madam Flora amefunguka na kusema mume wake wa sasa Daudi Kusekwa ni mwanaume shujaa kwani ni mtu aliyevumilia mengi. Madam Flora alisema hayo siku ya kuzaliwa kwa mume wake huyo ambayo ilikuwa Jumapili  huku akimtakia maisha marefu na mafanikio mema “Hongera mume wangu Daudi Kusekwa kwa kuzaliwa, Mungu akupe […]

Read More..

Diamond Afungukia Swala la Zari Kumtembelea...

Post Image

Msanii wa muziki, Diamond Platnumz amedai ameshindwa kupost chochote kumtakia hali aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Zari, Ivan ambaye amelazwa hospitali, kwa madai ataonekana anatafuta kiki.   Muimbaji huyo amedai amekuwa akimhimiza mpenzi wake Zari kwenda kumtakia hali mzazi mwenzake huyo. “Ni kweli mzazi wake Zari anaumwa, na yuko serious. Na kila siku huwa namuhimiza […]

Read More..

VIDEO: Kala Jeremiah Aumendea Urais

Post Image

Msanii wa hip hop ambaye anafanya vizuri na hit ya Wananduto Kala Jeremiah amefunguka na kusema hawezi kugombea ubunge kwani tayari ameshafanya kazi hiyo kwa miaka mingi na sasa anasubiri muda ufike aweze kugombea nafasi ya Urais. Mbele ya kamera za eNewz Kala amesema kuwa kwa muda mrefu ameshaombwa na wanasiasa mbali mbali pamoja na […]

Read More..

Kumbe Tatizo ni Kanumba

Post Image

KWA muda mrefu sasa kumekuwa na mijadala kwenye mitandao ya kijamii na hata katika vinywa vya mashabiki wa filamu za Kitanzania wakibishana kuhusu tasnia ya Bongo Movie, wapo wanaoamini imekufa na wengine kupinga jambo hilo. Hata baadhi ya wasanii wa tasnia hiyo wenyewe wamegawanyika pia, kuna wanaamini ndio basi tena na wengine wakisema bado inaendelea […]

Read More..

Majeruhi wa Lucky Vincent wazungumza kwa ma...

Post Image

Marekani. Madaktari wa Hospitali ya Mercy, ya Marekani wamesema watoto watatu majeruhi wa ajali ya Lucky Vincent, wanaendelea vyema. Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ameandika katika ukurasa wake wa faceboook kuwa watoto hao Saidia Ismael, Doreen Mshana na Wilson Tarimo watapelekwa katika makazi maalum ya kuangalia afya zao ikiwa ni pamoja na kupewa mazoezi […]

Read More..

Riyama: Bila Milioni Nne Hapana

Post Image

NGULI wa filamu Tanzania, Riyama Ally, amefunguka na kuweka wazi kuwa hawezi kucheza filamu ya kitajiri bila kulipwa Sh milioni nne. Akizungumza na MTANZANIA jana, Riyama alisema kiwango chake cha malipo kinatokana na filamu na vipande anavyopewa kucheza, hivyo hawezi kucheza filamu ya maisha ya kifahari bila kulipwa Sh milioni nne kutokana na ugumu wa […]

Read More..

VIDEO: Nimemsamehe Baraka – Nisha

Post Image

Msanii wa filamu za vichekesho Salma Jabu aka Nisha, amefunguka na kuweka wazi kuwa saizi amemsamehe msanii wa muziki wa bongo fleva Baraka The Prince ambaye aliachana naye mwaka jana na kutokea kumchukia sana. Nisha amesema hayo kupitia kipindi cha eNewz na kudai saizi ameamua kumsamehe kabisa kutoka moyoni mwake na kusema ameanza kuwa shabiki […]

Read More..

Amanda Hatishiki na Maneno ya Watu Haumwi n...

Post Image

MWIGIZAJI wa kike wa filamu Bongo Amanda Poshi amefunguka kwa kusema yupo salama kabisa kiafya wala hana tatizo lolote kutokana na muonekano wake kupungua kwake kutokana na mazoezi anayofanya kwa ajili ya afya yake anashangaa wale ambao wanamshangaa kupungua mwili wake. “Sitishiki na maneno ya wabaya wangu ambao wanahangaika kusambaza maneno na kunishangaa kwanini nimepungua […]

Read More..

P Funk Majani Amfunguka Haya Tena Kuhusu Fi...

Post Image

Mtayarishaji Mkongwe wa bongo fleva, P Funk Majani amemmwagia sifa rappa Fid Q na kusema kwamba ndiye msanii bora wa siku zote kwa kuwa ni mtu mwenye misimamo na hajawahi kubadilika kufuata upepo wa muziki bali amesimamia misingi ya hip hop. Majani amemwaga sifa hizo kwenye heshima ya Planet Bongo ya East Africa radio, Ijumaa hii […]

Read More..

Amber Lulu Mtu Wangu – Harmorapa

Post Image

Msanii Harmorapa amefunguka na kusema hakumlipa Amber Lulu ili wapige picha bali walikuwa pamoja sehemu ambapo matukio hayo yalitokea kwa kuwa wao ni watu wa karibu sana. Harmorapa anasema kuwa hakuwa na sababu ya kumlipa msanii huyo kwa kuwa wao ni wapenzi , hivyo walipiga hizo picha wakiwa katika mambo yao ya kawaida yanayowakutanisha. “Amber Lulu […]

Read More..

NDANI YA BOKSI : Anguko la Bongo Movie lili...

Post Image

Inasemekana soko la filamu za Kitanzania linadoda kila uchao. Katika harakati la kuliokoa, Aprili 19 mwaka huu, wasanii wa filamu waliandamana na kufanya mkutano mkubwa kuwahi kuratibiwa. Hata hivyo, mkutano huo ulidhihirisha pia kuwa wasanii wenyewe hawajui nini hasa kiini cha kuanguka kwa tasnia yao. Kwa mfano wakati wakiandamana na kuimba vibwagizo vya “Hatutaki movie […]

Read More..

Sina Hata Bajaji – Riyama

Post Image

Msanii wa bongo movie Riyama Ally amefunguka na kusema licha ya kufanya kazi ya filamu kwa miaka zaidi ya 15 lakini hajapata mafanikio yale ambayo watu wanategemea angekuwa nayo kutokana na uwezo wake wa kuigiza. Rihaya Ally alisema hayo jana alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live na kusema hakuna kitu kinaumiza kama unapofanya biashara […]

Read More..

VIDEO: Singeli Tupunguze Maneno Machafu- Ma...

Post Image

Msanii  Man Fongo amewataka wasanii wenzake wa kisingeli nchini kupunguza ukali wa maneno katika tungo zao wanazozitumia kwenye kuimba kwa madai muziki huo ndiyo pekee wa asili uliyobakia katika kulitangaza taifa kwenye soko la kimataifa Man Fongo amesema hayo kupitia kipindi cha eNewz cha EATV huku akisisitiza kuwa muziki huo unasikilizwa na watu wa rika […]

Read More..

VIDEO: Harmorapa Afunguka Mapya Penzi la We...

Post Image

RAPA anayekuja kwa kasi Bongo, Harmorapa amefanya intavyuu na Mtangazaji wa Kipindi cha Ala za Roho cha Couds FM, Diva The Bause, ambapo rapa huyo amefunguka mambo kibao ikiwemo ishu ya kudai kuwa anampenda Malkia wa Bongo Movies, Wema Sepetu. Miongoni mwa mambo aliyoyafungukia, Harmorapa ameeleza ukweli kuhusu ishu iliyovuma miezi michache iliyopita, pale alipojinadi […]

Read More..

Shamsa Ford Atoa Funzo kwa Mastaa wa Kike

Post Image

Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Shamsa Ford amefunguka kwa kuwaonya Mastaa wa Wanawake waache tabia za kuchagua wanaume wa kuwaoa, kwani leo wana majina makubwa na wanaonekana warembo lakini ipo siku itafika hata hao wanaume wanaowatongoza leo watapotea kabisa. Shamsa Ford amesema kwa sasa Wanawake wenye majina makubwa wanajiona warembo kiasi kwamba hufikia hatua hata […]

Read More..

Mwanaume Mfupi Kwangu Hapana – Shilole

Post Image

Msanii Shilole amefunguka na kuweka wazi kigezo kimoja wapo anachoangalia katika kumkubali mtu au kumtokea kuwa kuwa naye katika mahusiano na kusema kimo cha mtu kwake ni kigezo moja wapo. Shilole alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachofanyika kupitia ukurasa wa facebook wa EATV, wiki mbili zilizopita na kudai saizi yeye kutoka kimapenzi na […]

Read More..