Shishi Baby Sasa Kwenda Kimataifa
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya Zuwena Mohamed ‘Shilole a.k.a Shishi Baby’, amesema kuwa kwa sasa ameweka mambo mengine pembeni na kuelekeza nguvu zake katika maandalizi ya kufanya ‘kolabo’ na wasanii wa kimataifa. Alisema kwa sasa hana muda wa kuzungumzia mambo mahusiano ya kimapenzi zaidi ya muziki ambao ni kazi aliyochagua kuifanya ili kuendesha maisha […]
Read More..





