-->

Monthly Archives: May 2016

Shishi Baby Sasa Kwenda Kimataifa

Post Image

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya Zuwena Mohamed ‘Shilole a.k.a Shishi Baby’, amesema kuwa kwa sasa ameweka mambo mengine pembeni na kuelekeza nguvu zake katika maandalizi ya kufanya ‘kolabo’ na wasanii wa kimataifa. Alisema kwa sasa hana muda wa kuzungumzia mambo mahusiano ya kimapenzi zaidi ya muziki ambao ni kazi aliyochagua kuifanya ili kuendesha maisha […]

Read More..

Bodi ya Filamu Yasitisha Usambazaji wa “I...

Post Image

Bodi ya Filamu Tanzania imesitisha usambazaji wa filamu ya “Imebuma” mpaka pale maudhui yake yatakapofanyiwa marekebisho. Akisitisha usambazaji wa filamu hiyo, Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fisso amesema mtengenezaji wa filamu hiyo hana kibali cha kutengenza filamu kutoka Bodi ya Filamu na hajazingatia Sheria na kanuni za utengenezaji wa filamu. Bi […]

Read More..

Snura Atoboa Alipojifunzia Mauno

Post Image

Msanii Snura ambaye jana video ya wimbo wake wa ‘Chura’ ulifungiwa na serikali kutokana na kutokuwa na maadili na kukiuka utamaduni wa kitanzania amefunguka na kusema kuwa yeye kukata viuno amejifunzia kwenye ngoma za asili. Snura ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ambapo alikuwa akitoa ufafanuzi na kuomba radhi kwa watanzania kutokana […]

Read More..

Shetta Atumia Ndege, Boti Kwenye Video Mpya

Post Image

VIDEO ya wimbo mpya wa ‘Namjua’ wa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nurdin Bilali ‘Baba Qayla’ au ‘Shetta’, iliyorekodiwa katika miji ya Johannesburg na Cape town nchini Afrika Kusini, inatarajiwa kuachiwa kesho katika vituo mbalimbali vya runinga. Uwekezaji katika video hiyo umekuwa mkubwa kwani zimetumika ndege, boti na nyumba za kukodi zilizogharimu kiasi kikubwa […]

Read More..

Nimekosea Wapi? Kuonyeshwa Suncrest Quality...

Post Image

FILAMU kubwa ya kitanzania ya Nimekosea wapi? ya mtayarishaji na mwigizaji mahiri Swahilihood Salum Saleh ‘Fizo’ itakuwa ni filamu ya kwanza kufungua njia kuonyeshwa katika jumba la sinema la Suncrest Cineplex Cinema lilopo Quality Centre wiki ijayo. Akiongea na FC Fizo amesema kwake ni bahati kubwa sana kupata nafasi hiyo kwa filamu yake kuwa ya […]

Read More..

ZIFF Yatangaza filamu za kuonyeshwa, Nyingi...

Post Image

Tamasha la filamu la Zanzibar (ZIFF) limetangaza majina ya filamu zitakazoshindanishwa hapo ifikapo Julai 9 hadi 17. Tamasha lilipokea jumla ya filamu 490 kutoka nchi 32 mwaka 2016. Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Habari Maelezo, Meneja wa Onyesho hilo, Daniel Nyalusi alisema, jopo la wachaguzi wa filamu limependekeza filamu 80 ndio zitakazoshindanishwa […]

Read More..

Nuh Mziwanda Afunguka Kuhusu Kurudiana na S...

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya ambao amemshirikisha Alikiba amefunguka na kusema kuwa hata kama ikitokea mpenzi wake huyo wa zamani akitaka kurudiana na yeye ni kitu kisichowezekana kwa sasa. Akizungumza kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana Nuh Mziwanda amesema kuwa kwa sasa yeye […]

Read More..

Roma: Nimechagua Maisha ya Shida

Post Image

Nyota wa muziki wa Rap Bongo ‘Rhymes Of Magic Attraction’ Roma amethibitisha fununu za kuwa muziki anaoufanya umekua ni msalaba mzito kwenye maisha yake. Akizungumza na eNewz Roma alisema kuwa hayo ndiyo maisha aliyoyachagua na ni mwanaharakati anaetetea haki na amani katika taifa lake, maendeleo bora na hicho ndicho kitu kikubwa anachojaribu kukipigania. “Natamani nipate […]

Read More..

Alikiba Kuachia Wimbo Huu Mpya

Post Image

Alikiba anatarajia kuachia wimbo wake mpya alioupa jina ‘Aje. Hajasema wimbo huo utatoka lini lakini dalili zinaonesha kuwa unaweza ukaachiwa mwezi huu. Huo unakuwa wimbo wake mpya mwenyewe tangu aachie Lupela. Kwa sasa Kiba anafanya vizuri na wimbo aliofanya na Sauti Sol, Unconditionally Bae. Bongo5

Read More..

Snura Aomba Radhi, Awasilisha Video Safi ya...

Post Image

Snura amewaomba radhi watanzania kwa video ya wimbo wake ‘Chura’ inayowadhalilisha wanawake na iliyo kinyume na maadili. Muimbaji huyo amekutana na waandishi wa habari Alhamis hii kwenye ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar es Salaam. Jana video na wimbo huo vilifungiwa na wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo kwa madai kuwa inakiuka maadili ya […]

Read More..

Snura Akanusha Kufungiwa Yeye na Wimbo Wake

Post Image

Baada ya taarifa kuenea kuwa Snura amefungiwa kujihusisha na kazi ya sanii nchini pamoja na wimbo wake na video msanii huyo amepaza sauti yake na kusema kuwa yeye hajafungiwa kufanya sanaa wala wimbo wake haujafungiwa na serikali. Akiongea na Planet Bongo ya East Africa Radio, Snura amesema kuwa katika barua ambayo alipewa imeeleza wazi kuwa […]

Read More..

Nashindwa Kununua Vitumbua-Dudubaya

Post Image

Msanii Dudubaya amefunguka na kusema kuwa maisha ya kuwa maarufu ni magumu sana kwani kuna wakati unashindwa kufanya vitu ambavyo wewe unapenda kutokana na kuwa na umaarufu. Dudubaya kupitia kipindi cha Planetbongo amekiri kuwa kuna wakati anajutia maamuzi yake ya kutaka kuwa maarufu na kuwa maarufu kwani yanamfanya aishi maisha ambayo si yake kwani akifanya […]

Read More..

Ving’amuzi Vinaua Bongo Movie – Chekibudi

Post Image

Star wa Bongo movi Chekibudi anaumizwa moyo na ving’amuzi kutokana na kwamba ni moja kati ya vitu vinavyoua kwa kasi soko lao la filamu. Akizunguma na Enewz Chekibudi alisema kuwa ving’amuzi vingi vimetoka kwa sasa na vinaonesha filamu mbalimbali kitu kilichopelekea mauzo ya kazi zao kushuka. “Sisi tulipotea pale tulipouza kazi zetu badala ya kuuza […]

Read More..

Hii Ndiyo Idadi ya Filamu Zilizokamatwa na ...

Post Image

Katika hatua za kupamba na kazi za filamu ambazo zinaingizwa nchini kinyume na sheria na kuikosesha serikali mapato, Bodi ya Filamu tayari imekamata zaidi ya kazi za filamu 656,000 ambazo zimeingizwa nchini kinyume na sheria. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini, Joyce Fisoo alisema wao kama bodi ya filamu […]

Read More..

Snura Afungiwa Kufanya Kazi za Sanaa

Post Image

Serikali imezuia wimbo na video ya ‘Chura’ ya msanii kupigwa kwenye chombo chochote cha habari maeneo ya wazi na kwenye kumbi mbali mbali na Snura amefungiwa kufanya maonyesho yoyote ya wazi. Tamko hilo limekuja mara baada ya TCRA, BASATA na Wizara ya habari, Bodi ya filamu kukaa na Bi Snura kwa kubaini kuwa wimbo una […]

Read More..

“Mimi Ndio Mwanamke Mzuri Bongofleva&...

Post Image

Shilole ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na EATV. “Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole. Pamoja na hayo Shilole amezungumzia suala la kuwa na ukaribu na msanii Nedy Music, […]

Read More..

Mwanaher: Nipo Vizuri Kila Idara Mwanaher, ...

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa kike Mwanaher Afcely anayefanishwa na mwigizaji wa kike Swahilihood Riyama ametamba kwa kusema kuwa hajivunii kufanana na Riyama bali ni uwezo wake katika uigizaji kwani anafanya vizuri na hata wengine wanashindwa kumtofautisha na Riyama kwa kuigiza kwa ufasaha. “Nipo kikazi zaidi na unajua kama unafananishwa na msanii mwenye uwezo mkubwa ni […]

Read More..

Master Jay Atoboa Sababu za Yeye Kuoa Mapem...

Post Image

Mtayarishaji wa muziki mkongwe na mmiliki wa Studio ya Mj Records, Master Jay amefunguka na kusema kuwa yeye aliwahi kuoa mapema kutokana na ‘presha’ (shinikizo) la wazazi wake na jamii kiujumla. Akizungumza kwenye kipindi cha Mkasi kinachorushwa na EATV, Master Jay amesema aliweza kumuoa mke wake wa kwanza akiwa mdogo kutokana na wazazi wake na […]

Read More..