Calisah: Wema Sepetu Ana Mapenzi ya Kweli
Mwanamitindo aliyejipatia jina mwaka huu kutokana na kuwa na uhusiano wa muda mfupi na Wema Sepetu, Calisah, amemwelezea muigizaji na Miss Tanzania huyo wa zamani kuwa ni msichana mzuri na mwenye mapenzi ya kweli. Calisah ameiambia Bongo5 kuwa Wema ni msichana wa pekee. “Wema ni msichana mzuri, ana upendo, ni mwelewa, ana mapenzi ya kweli, […]
Read More..






