-->

Monthly Archives: December 2016

Calisah: Wema Sepetu Ana Mapenzi ya Kweli

Post Image

Mwanamitindo aliyejipatia jina mwaka huu kutokana na kuwa na uhusiano wa muda mfupi na Wema Sepetu, Calisah, amemwelezea muigizaji na Miss Tanzania huyo wa zamani kuwa ni msichana mzuri na mwenye mapenzi ya kweli. Calisah ameiambia Bongo5 kuwa Wema ni msichana wa pekee. “Wema ni msichana mzuri, ana upendo, ni mwelewa, ana mapenzi ya kweli, […]

Read More..

Sijawahi Kulala kwa Shilole – Nedy Music

Post Image

Msanii wa bongo fleva kutoka PKP chini ya Ommy Dimpoz amefunguka kuhusu tuhuma za yeye kuwa na mahusiano na msanii mwenzake Shilole, na kusema kuwa hajawahi kuwa mahusiano na mwana dada huyo zaidi ya urafiki wa kawaida. Nedy akiwa katika kipindi cha FNL cha EATV alisema taarifa za kuwa yeye ni miongoni mwa vijana waliotongozwa na […]

Read More..

Gabo: Mtindo wa Maisha Yangu ni Tofauti na ...

Post Image

Msanii Gabo Zigamba ameweka wazi kuwa hana tofauti na wasanii wenzake kama ambavyo imekuwa ikilalamikiwa na wengi kuwa msanii huyo haelewani na wenzake. Akizungumza na East Africa Television, Gabo amesema kinachomfanya aonekane ana tofauti na wasanii wenzake ni utoafuti wa mtindo wa maisha alionao, lakini hana tatizo nao na anawapenda kwa dhati. “Hakuna msanii ambaye […]

Read More..

Filamu ya Naomba Niseme Yachaguliwa Tuzo Ku...

Post Image

FILAMU bora kabisa ya Naomba Niseme iliyotayarishwa na Staford Kihore imeendelea kufanya vizuri katika tuzo mbalimbali na matamasha baada ya kuchaguliwa kwa mara nyingine katika tuzo kubwa Afrika za African Magic Viewers Choice Awards 2017, sinema hii fupi inapambana na filamu za watayarishaji wengine wakubwa. Historia inaonyesha kuwa filamu nyingi ambazo zimekuwa zikipenyeza katika matamasha […]

Read More..

Shilole Ndiye Aliyenitongoza – Hamadai

Post Image

Msanii wa bongo fleva Hamadai ambaye  aliwahi kuwa mpenzi wa msanii mwenzake Shilole amezungumza na eNewz na kutokwa na povu kuwa, Shilole ndiye aliyeanza kujipendekeza kwake na kumsumbua kwa muda mrefu akitaka wawe wapenzi. Hamadai ni msanii mchanga wa bongo fleva ambaye watu wengi walimfahamu mara baada ya kuwa katika mahusioano na Shilole. Amesema kuwa kwa […]

Read More..

Mwana FA Akiri ‘Kutia Chumvi’ K...

Post Image

Mkongwe wa Rap ndani ya Bongo, Mwana FA, amesema siyo kila kitu alichoimba kwenye ngoma yake inayotikisa hivi sasa ya ‘Dume Suruali kina uhalisia, huku akikiri ‘kutia chumvi’ nyingi kwenye wimbo huo. FA amefunguka hayo alipokuwa kwenye show kubwa ya kila Ijumaa saa 3;00 ya FNL inayoruka kupitia EATV, na kuwatoa hofu mashabiki wake hususani […]

Read More..

Picha: Alikiba Ashiriki Kwenye Mechi ya Sok...

Post Image

Kama isingekuwa muziki, huenda Alikiba angekuwa mmoja wa vinara wa timu kubwa za soka nchini, zikiwemo Simba au Yanga. Baada ya mechi, Alikiba alitunikiwa tuzo ya mchezaji bora staa Pamoja na kufanya muziki, Alikiba hutumia muda wake mwingine kujikumbushia kipaji chake cha soka, na ndio maana Jumamosi hii alishiriki mechi ya hisani ya mchezo huo […]

Read More..

Tunda Man Atoa ya Moyoni Kuhusu Babu Tale

Post Image

Msanii Tunda Man ametoa ya moyoni kuhusu meneja wake Babu Tale ambaye pia anaisimamia Tip Top, kutokuwa karibu nao kama siku za nyuma. Akizungumza na East Africa Television, Tunda Man amesema ni ukweli usiopingika kuwa Babu Tale haithamini Tip Top kama siku za nyuma, na ni kitendo ambacho kinamuumiza sana msanii huyo. Pia Tunda Man […]

Read More..

Mwaka Huu Nilitingwa na Masomo-Lulu

Post Image

Msanii  wa bongo movie Lulu ambaye alipata nafasi ya kutoa tuzo ya  muigizaji bora wa kike kwenye tuzo za EATV ya mwaka huu amesema hakuweza kushiriki katika tuzo hizo kwa kuwa 2016 haukuwa mwaka wake wa kazi na kwamba alikuwa ametingwa na masomo. Hata hivyo Lulu amesema kwa mwakani 2017 atakuwa nje ya masomo  hivyo mashabiki zake […]

Read More..

Bahati Bukuku Afunguka Baada ya Kuzushiwa K...

Post Image

Mwanamuziki wa nyimbo za Injili Bahati Bukuku ambaye hivi karibuni amezushiwa kufariki dunia kwa ajali, amekanusha taarifa hizo na kusema zimeandaliwa na watu wanaotaka kumpunguzia mashabiki. Akizungumza na East Africa Television Bahati Bukuku amesema taarifa za kifo chake ni mbingu tu ndiyo zitajua, kwa kuwa shetani hana nafasi ya kujua taarifa za kifo chake. “Ni […]

Read More..

Burundian In Dar Kutikisa Afrika Mashariki

Post Image

USHIRIKIANO wa wasanii wa Tanzania na Burundi inatabiriwa kufanya vinzuri sokoni kufuatia umahiri wa wasanii waliocheza katika filamu ya Burundian in Dar, akiongea na FC mtayarishaji wa sinema hiyo Sururu Jafar ‘Burundiano’ amesema kuwa kazi hiyo imekutanisha wasanii nyota Burundi na Tanzania. “Tunatarajia kutikisa Afrika Mashariki na filamu yetu kwani ni kazi ambayo inatukutanisha wasanii […]

Read More..

Spicy ‘Rasta’ Atoboa Sababu ya ...

Post Image

Mwanamuziki Spicy kutoka Nigeria ambaye pia ni mpenzi mpya wa Lady Jaydee, leo ametoa sababu za wawili hao kutokuwa na pete licha ya kuonekana wakiwa katika mazingira walioyaita ‘honeymoon’. kizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Spicy amesema kwa sasa anasubiri hatua za uchumba na ndoa zikamilike, kisha ndipo suala la pete litafuata. […]

Read More..

Saida Karoli: Kuhusu Wimbo wa Salome, Siuju...

Post Image

BAADA ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kuachia ngoma ya Salome ambayo ndani yake ametumia melodies na vionjo vilivyomo kwenye wimbo wa mwanadada aliyetamba na kujichukulia heshima kubwa kwenye muziki wa asili hapa nchini, Saida Karoli, taarifa zilianza kuzagaa mitandaoni na kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuwa Mbongo Fleva huyo ameiba wimbo wa […]

Read More..

Chuchu Afungukia Kuficha Ujauzito Wake

Post Image

Msanii wa filamu za bongo Chuchu Hansy amezungumzia sababu ya ujauzito wake na kusema kuwa hajataka kuweka hadharani kwani ni kitu binafsi.   Akizungumza na East Africa Television, Chuchu Hansy amesema taarifa za yeye kuwa na ujauzito ameamua kufanya siri kwani anaona si vyema kuzungumzia vitu binafsi hadharani hususani kwenye mitandao, na kwamba muda muafaka […]

Read More..

Matano (5) Muhimu Kuyajua Kutoka kwa Vaness...

Post Image

UKITAJA listi ya wasanii wakubwa wa kike wanaofanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, jina la Vanessa Mdee maarufu V Money, haliwezi kukosekana kutokana na juhudi zake za kuhakikisha muziki wake unapasua anga. Vanessa hivi sasa anatamba kimataifa, akifanya shoo za nje ya nchi lakini pia akishiriki kwenye tuzo mbalimbali za kimataifa. Diva huyu anayetamba […]

Read More..

Mwaka wa Tabu kwa Wasanii

Post Image

Wakati tunaingia mwaka 2016 wasanii walikuwa na matarajio makubwa ya kufanikiwa katika shughuli zao za sanaa kama ilivyokuwa kwa miaka iliyopita, lakini mpaka sasa wengi wanalia kutokana na hali halisi iliyopo kwa sasa katika soko la burudani nchini. Watanzania wamelazimika kupunguza starehe na mahitaji yasiyo ya lazima na kugeukia majukumu mengine ya kifamilia, ikiwamo chakula, […]

Read More..

Salome ya Diamond Ilivyobadili mipango ya D...

Post Image

Hit maker wa wimbo Muziki, Darassa amedai hapo awali alikuwa ana mpango wa kumshirikisha Saida Karoli kwenye wimbo wake ‘Muziki’ lakini baada kuona Diamond ametoa wimbo ‘Salome’ ambao ndani yake amemtumia Saida Karoli akaamua kuusitisha mpango huo. Rapa huyo amedai wazo la kumtaka kumshirikisha muimbaji huyo wa muziki wa asili wa zamani lilitokana na mdundo […]

Read More..

Wasanii Bongo Movie Wana Mgando wa Mawazo &...

Post Image

Meneja wa muigizaji bora wa kike Afrika Mashariki Chuchu Hansy amesema wasanii wengi wa Tanzania wana mgando wa mawazo na ndiyo maana wanashindwa kufikiria mbinu mpya za kufanya kazi zao, na kubaki na movie zenye part (sehemu) kibao. Meneja huyo alitoa kauli hiyo baada ya kupokea tuzo kwa niaba ya Chuchu Hansy kwenye Tuzo za […]

Read More..