-->

Monthly Archives: December 2016

Mkubwa na Wanawe Wamekuja na Matobo Kutok...

Post Image

KUNDI la muziki wa kizazi kipya la Madada Sita, ambalo lenye makazi yake Temeke jijini Dar es salaam, limeachia wimbo wa Matobo ambao wanaamini utakuja kulifanya kundi hilo kuwa miongoni mwa kundi bora la wanamuziki wa kike. Akizungumza kiongozi wa kundi hilo, Christina Peter (Favell), alisema wamejipanga kufanya kazi bora ambazo zitafanya wanamuziki wengi kuunda […]

Read More..

HATARI! Kumbe Rose Muhando ana Balaa Namna ...

Post Image

Unapowazungumzia wasanii wa nyimbo za injili ambao ni maarufu Afrika Mashariki na kati basi jina la Rose Mhando halitakosekana. Rozi amejizolea umaarufu kutokana na staili yake ya kuimba kwa hisia na ukweli kwamba suala la kutawala jukwaa huwa halimsumbui kabisa. Hata hivyo, katika siku za karibuni Rozi amekaa kimya huku akiacha maswali kwa mashabiki wa […]

Read More..

Idris Kukimbiza na ‘Karibu Kiumeni’ Bon...

Post Image

MSHINDI wa shindano la Big Brother Idris Sultan ametamba kwa kusema kuwa kipaji chake ni kikubwa sana katika fani nyingi lakini kwa upande wa uigizaji anaamini kuwa yupo vinzuri sana na ameingia rasmi kwa ajili ya kuwapoteza nyota waliopo katika tasnia ya filamu kwani anajiamini na ana uwezo mkubwa katika uigizaji na ameingia rasmi kupitia […]

Read More..

Washindi Kutunisha Misuli Kulamba Zaidi ya ...

Post Image

CHAMA cha Watunisha Misuli Tanzania (TBBF), kimepanga kutoa ajira kwa vijana watakaoshinda kwenye shindano la kutunisha misuli litakalofanyika Desemba 8, mwaka huu. Katibu Mkuu wa Chama hicho, Francis Mafungilo, alisema lengo la kufanya shindano hili ni kusaidia kuwaondoa vijana katika umaskini na makundi maovu. Mafungilo alisema mshindi wa kwanza katika shindano hilo atazawadiwa Sh milioni […]

Read More..

Young Dee Aeleza Sababu ya Kufanya Video na...

Post Image

Rapa Young Dee ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Furaha’ amefunguka na kuweka wazi sababu kubwa iliyompelekea yeye kufanya kazi na mwanamitindo Tunda. Young Dee akiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio alisema kuwa aliamua kufanya video hiyo na Tunda kwa sababu kwanza ni mtu ambaye yupo naye karibu hivyo […]

Read More..

Kajala Masanja : JB Ana Mchango Mkubwa Kwen...

Post Image

Msanii wa filamu Kajala Masanja amesema haikuwa kazi rahisi kwake kufika hapo alipofikia bila ya mchango wa msanii mkubwa wa filamu nchini, Jacob Stephan aka JB. Muigizaji huyo ambaye ni miongoni mwa wasanii wanaowania Tuzo za EATV 2016, alishare siri ya mafanikio yake mbele ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Kampasi ya […]

Read More..

COSOTA Yataja Runinga Mbili, Redio Moja Zin...

Post Image

KATI ya redio zaidi ya 100 na runinga zaidi ya 20 zilizopo nchini, ni vituo vitatu tu vikiwamo vya Mlimani tv, Azam tv na Joy Fm ya Kigoma ndivyo vilivyolipa mirabaha kwa kutumia kazi za wasanii nchini. Mkaguzi wa Hakimiliki kutoka Chama cha Hakimiliki Tanzania (Cosota), Paul Mabula, alisema kutokana na kukumbwa na changamoto nyingi […]

Read More..

Picha: Zari na Diamond Wapata Mtoto wa Kium...

Post Image

Hatimaye Zari The Bosslady na Diamond wamefanikiwa kumpata prince wa familia aliyekuwa akisubiriwa kwa hamu kubwa. Mtoto huyo amezaliwa saa 10 na 35 Alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, December 6. Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria nchini Afrika Kusini. Tayari Diamond na Zari wameonesha picha za mtoto huyo japo hawajaweka […]

Read More..

Darasa Atoboa Siri ya Muziki Wake Kukubalik...

Post Image

MSANII wa miondoko ya hip hop nchini, Sharif Ramadhan, amesema siri iliyopelekea nyimbo zake kukubalika ni kutambua wanachotaka mashabiki wa muziki wake. Darasa aliliambia MTANZANIA kwamba katika ushindani wa sasa, msanii hatakiwi kukurupuka, bali anatakiwa atambue mashabiki wake wanataka nini na kwa wakati gani. “Mwanzo nilikuwa nikitoa nyimbo zenye vionjo vyenye ujumbe wa kutosha lakini […]

Read More..

Wakati Zari Akitarajiwa Kujifungua Muda Wow...

Post Image

Wakati mpenzi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan akiwa ‘leba’ tayari kwa kujifungua mtoto wa pili wa kiume kwa nyota huyo, meseji mbalimbali zikiambatana na picha zimezidi kutrend kupitia mitandao ya kijamii hasa Instagram nyingi zikimtakia heri katika zoezi hilo. Zari aliyepelekwa ‘leba’ jana katika Hospitali ya Netcare Pretoria iliyopo […]

Read More..

Chiki ‘Ampigia Magoti’ JB

Post Image

Msanii wa bongo movie  Chiki Mchoma amesema JB hana sababu ya kustaafu kuigiza kwa kuwa ni mtu ambaye bado sanaa inamuhitaji na kuna wasanii wachanga na wakongwe wanamuhitaji kwa ushauri zaidi. Akiongea kupitia eNewz Chiki amesema anamkumbusha JB kurudi bongo movie kwa kuwa sanaa haina kustaafu na kama kuna malengo ambayo aliyaweka yakawa hayajatimia asikate tamaa arudi kuendeleza […]

Read More..

Nisha:Hii Mimba Sio ya Baraka Baraka The Pr...

Post Image

Muigizaji wa filamu Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa endapo ujauzito wake ungekuwa wa Baraka The Prince kama inavyosemwa na wengi basi ungetoka wenyewe mapema kwa kuwa muimbaji huyo ni miongoni mwa wanaume asiowapenda duniani. Akizungumza katika kipindi cha FNL cha EATV, Nisha amesema siri ya mimba yake anayo moyoni na hana haja ya kumtaja mwanaume […]

Read More..

Uzinduzi wa Filamu ya Siri ya Moyo Watikisa...

Post Image

UZINDUZI wa filamu ya Siri ya moyo iliyotengenezwa na mwigizaji mahiri na mtayarishaji wa filamu Bongo Salum Saleh ‘Man Fizo’ ulifana na kuwa ni kivutio kwa wapenzi wa sinema za kitanzania baada ya watu wengi kujitokeza na kufurahia kazi hiyo ambayo imeshieikisha wasanii nyota katika tasnia ya filamu Swahilihood, sinema hiyo imeonyesha ubora wa kazi […]

Read More..

Ommy Dimpoz Amshauri Alikiba Amuoe Kidoti

Post Image

Alikiba na Jokate Mwegelo wanaogelea katika bahari ya huba japo hawataki kualika wageni kujumuika nao – penzi lao ni la faragha. kadri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo mizizi ya uhusiano wao inazidi kumea licha ya kuendelea kuuwekea tinted kuepusha karaha! Licha ya kuwa ya kuwa wachoyo wa kuuweka wazi uhusiano, marafiki zao wa karibu wana access […]

Read More..

Bongo Movie Tumekuwa Kama Nyumbu – Gabo

Post Image

Msanii wa filamu nchini Tanzania ambaye anatajwa kuchukua nafasi ya marehemu Steven Kanumba, Gabo Zigamba, amesema kinachoikwamisha tasnia ya filamu nchini ni kukosa umoja kwa wasanii wa movie kiasi cha kukubali kupelekwa pelekwa kama nyumbu. Gabo ambaye pia ni mmoja kati ya washiriki wanaowania tuzo za EATV, alitoa somo hilo mwishoni mwa wiki alipokuwa akijibu […]

Read More..

PICHA: Nuh Mziwanda na Mkewe Wanatarajia Ku...

Post Image

Siku 21 baada ya msanii wa Bongofleva Nuh Mziwanda atangaze kufunga ndoa na mchumba wake, December 1 2016 ndoa yao imeingia kwenye headlines mpya ambazo awali zilianza kuenea kama tetesi tu. Nuh Mziwanda na mpenzi wake walifunga ndoa November 10 2016 huku tetesi zikiwa zimeenea mtaani kuwa wameamua kufunga ndoa baada ya mchumba wa Nuh Mziwandakupata […]

Read More..

Christian Bella:Sipendi Kufanya Kolabo

Post Image

Mkali wa masauti Christian Bella amefunguka kwa kusema kuwa hapendi kufanya sana kolabo kwani zinamfanya azoeleke zaidi na mashabiki wake. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi atakuwa anafanya kolabo chache ambazo zitakuwa na faida kubwa katika muziki wake. “Mimi sipendi sana kufanya fanya kolabo kwa sababu lazima nimlinde Christian Bella,” alisema Bella. “Siwezi kuwa […]

Read More..

Soko la Gigy Money Lipo Huku Kwasasa

Post Image

Video Queen Gigy Money amesema kwa sasa wasanii wachanga wanamgombania kutaka atokelezee kwenye video zao. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Gigy Money amedai wasanii hao wanaamini akitokelezea kwenye video zao na wao watakuwa wametoboa. “Kusema kweli sasa hivi underground wananisumbua sana,” alisema Gigy Money. “Wengi wanaamini nikishiriki kwenye video zao ‘nitawakikisha’ na watatoboa. Lakini nashukuru […]

Read More..