Saguda: Sijaona Mwanamke wa Kumfananisha na...
Ni mwaka wa pili sasa tangu mwigizaji wa filamu za Kibongo, Recho Haule ‘Recho’ kufariki dunia, mume wake Saguda amesema mpaka sasa hajaona mwanamke wa kufanana naye. ‘’Kiukweli ndani ya miaka hii miwili sijaona mwanamke wa kumfananisha tabia na Recho alikuwa na tabia za kipekee sana na upendo wa dhati’’ Alisema Saguda. ‘’Kitu ambacho ni […]
Read More..





