-->

Monthly Archives: May 2016

Saguda: Sijaona Mwanamke wa Kumfananisha na...

Post Image

Ni mwaka wa pili sasa tangu mwigizaji wa filamu za Kibongo, Recho Haule ‘Recho’ kufariki dunia, mume wake Saguda amesema mpaka sasa hajaona mwanamke wa kufanana naye. ‘’Kiukweli ndani ya miaka hii miwili sijaona mwanamke wa kumfananisha tabia na Recho alikuwa na tabia za kipekee sana  na upendo wa dhati’’ Alisema Saguda. ‘’Kitu ambacho ni […]

Read More..

Hakuna wa kufanana na Ngwea bongo – TID

Post Image

Msanii TID amesema mpaka sasa kwenye maisha yake ya muziki hajawahi kuona msanii ambaye atachukua kiti cha aliyekuwa mkali wa ‘free style’ bongo, Albert Mangwea, aliyefariki miaka mitatu iliyopita. Akijibu swali la mtangazaji wa kipindi cha Friday Night Live Sam Misago, alipomuuliza iwapo kuna msanii yeyote anayefikia uwezo wa Ngwea, TID alisema mpaka sasa hakuna […]

Read More..

Wema Sepetu Amuombea Kura Diamond kwenye Tu...

Post Image

Mbali na tofauti zao na Team zao mtandano, staa wa bongo miovie, Wema Sepetu amewaomba mashabiki wake wampigie kura mpenzi wake wa zamani, Diamond Platnumz ambaye anawania tuzo za BET kwenye kipengere cha Best International Act: Africa. Wema aliandika haya kwenye ukurasa wakewa Instagram; “Uzalendo ndo unaotakiwa… Tanzania Kwanza Vingine Baadae… Ama nene…? Vote Vote […]

Read More..

Aje Ilikuwa Suprise kwa Wema Sepetu –...

Post Image

Akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live, Alikiba almesema wimbo huo hajamuimbia Jokate na wala hajawahi kumuimbia mtu yeyote, bali aliimba kwa ajili ya mashabiki wake. ” Sijamuimbia mtu yeyote kwa kweli, mi nimeimba kwa ajili ya mashabiki wangu, kwanza sijawahi kumuimbia mtu kabisa, sijawahi, so ni kwa ajili ya mashabiki wangu”,. Lakini pia Alikiba […]

Read More..

Bi Hindu Atoboa Sababu ya Bongo Movie Kupor...

Post Image

Muigizaji mkongwe wa filamu za kibongo Bi Hindu amefunguka na kusema kuwa tasnia hiyo ya filamu nchini inazidi kuporomoka na kushuka kwa kasi sababu watu wamesahau misingi ya kazi hiyo na sasa wanafanya utani huku wengine wakiendekeza mapenzi na kuacha vipaji. Bi Hindu alifunguka hayo kwenye kipindi cha eNEWS na kusema kuwa baadhi ya waongozaji wa […]

Read More..

Wema Atumia Zaidi ya Milioni Moja Kutengene...

Post Image

Staa wa bongo Fleva, Wema Isaack Sepetu, ameweka wazi kwamba hutumia shilingi milioni 1.2 kwa ajili ya kutengeneza nywele zake kwa wiki moja. Pia hutumia Sh 30,000 ya chakula kwa siku na kama atanunua na chakula cha mbwa wake huwa anatumia Sh 50,000 kwa siku. Hata hivyo, Wema aliliambia MTANZANIA kwamba si kila wakati hutumia […]

Read More..

Iyobo Ametusitiri kwa Aunt-Steve Nyerere

Post Image

Staa wa filamu na vichekesho Bongo, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’, amewavunja mbavu watu baada ya kusema kuwa anamshukuru sana Moses Iyobo kwa kukubali kuzaa na Aunt Ezekiel, kwani kwa kufanya hivyo amewasitiri wasanii wote wa Bongo Muvi. Akizungumza wakati alipoalikwa kwenye bethidei ya mtoto wa mastaa hao iliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Serena jijini […]

Read More..

Mau Anatembelea Nyota za Wasanii

Post Image

Msanii wa komedi kutoka Bongo Maulid Ali a.k.a Maufundi anatumia mitandao ya kijamii kujiingizia pesa kwa kufanya video kava Akizungumza na Enewz Mau alisema kuwa kwa sasa amepata staili mpya ya kumuingizia pesa ambayo mara ya kwanza alikuwa anafanya kama burudani lakini amegundua kuwa kupitia hivyo pia anaweza kuvuta mkwanja. Mpaka sasa Mau ameshafanya video […]

Read More..

Diamond Achukua Taji la Lip Sync Africa ya ...

Post Image

Diamond Platnumz amechukua taji la kipindi cha Lip Sync Africa kinachorushwa na kituo cha MTV SA. Alikuwa akichuana na mshkaji wake, Theo wa kundi la Mafikizolo. Kwenye kipindi hicho, wasanii wawili hushindana kuziimba nyimbo za wasanii wengine kwa kugandamizia na kupatikana mshindi mmoja. Baada ya kuchukua ushindi huo na kupewa mkanda wake, Diamond aliandika kwenye […]

Read More..

Chid Benz Akanusha Kutoroka ‘Rehab...

Post Image

Msanii Chid Benz amekanusha taarifa zilizopo kwenye baadhi ya vyombo vya habari na mitandao kuwa ametoroka rehab Bagamoyo, alikokuwa akipata tiba ya kuacha madawa ya kulevya. Akiongea na East Africa Radio Chid Benz amesema si kweli kwamba ametoroka, isipokuwa ameruhusiwa kutoka rehab. “Wameongea uongo hao wajinga, nimeachana nao kwa sababu hatuwezi kubishana nao, mi nimetoka […]

Read More..

Davina Alia Filamu za Mapenzi Kuua Soko

Post Image

Muigiza wa long time Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kueleza kwamba filamu za mapenzi wanazocheza wasanii wengi zimeua soko ndiyo maana kwa sasa ni kama sanaa hiyo haipo. Akichonga na paparazi wetu hivi karibuni, Davina alisema kutokana na soko la filamu kuwa gumu wasanii wengi wameamua kugeukia biashara kwani wakikaa na kusubiria sanaa hiyo […]

Read More..

Koko Byanko Afunguka Kumkamata Wema Sepetu

Post Image

MWIGIZAJI wa Filamu Swahilihood anakuja juu katika uigizaji Koko Byanko ametamba kufanikiwa kuigiza na msanii nyota katika tasnia ya filamu Bongo Wema Sepetu ‘Madame Wema’ Koko amemshirikisha Wema katika sinema yake aliyoitengeneza hivi karibuni. “Nilipo posti picha nikiwa na Wema wengi walinituhumu kama natoka naye lakini ukweli sitoki naye bali zilikuwa ni picha tu za […]

Read More..

Ali Kiba Kuwatambulisha Wasanii Ambao Wako ...

Post Image

Hivi unajua kama Ali Kiba aliwahi kuwasimamia wasanii kadhaa chini ya ‘label’ yake kama tunavyoona kwa baadhi ya wasanii wa hapa nchini kwa sasa,iliishia wapi ana mpango wa kurudi tena kusimamia wasanii. ’Hivi vitu nilikuwa navyo muda mrefu ila havikuwa ‘promoted’unajua vitu vyangu vingi huwa vinakuwa kimyakimya nilikuwa na wasanii wengi lakini nilivyopumzika kufanya muziki […]

Read More..

Bob Junior Afunguka Kuwatoa Kina Diamond Ki...

Post Image

Msanii Bob Junior amefunguka juu ya kitendo chake cha kuwatoa kimuziki wasanii Diamond Platnumz na Nyauloso, ambao kwa sasa wanafanya vizuri kwenye muziki. Akiongea kwenye PlanetBongo ya East Africa Radio, Bob Junior amesema aliamua kuwasaidia kwa kuwa aliona ni wasanii wenye vipaji, na yeye alikuwa na vifaa na studio, na ujuzi wa kutengeneza beats. “Kina […]

Read More..

Aunt: Sasa Natafuta Mapacha

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa baada ya mtoto wake, Cookie kutimiza mwaka, sasa anafanya mpango kutafuta njia ya kupata watoto mapacha ili atulie. Akizungumza na Amani Aunt ambaye amezaa na dansa wa staa wa Bongo Fleva, Diamond, Moze Iyobo alisema kuwa, anamshukuru Mungu kumpa mtoto ambaye amemfungulia njia lakini kwa sasa anatamani […]

Read More..

Matamasha ya Ngwair, Mama Yake Akumbukwe- T...

Post Image

Msanii TID ametoa baraka kwa mtu yeyote anayetaka kufanya kitu chochote ikiwemo matamasha ya kukumbuka kifo cha msanii Albert Mangwea na kuenzi kazi zake kufanya hivyo, ila ni lazima wahakikishe wanapata kibali kutoka kwa mama mzazi wa Mangwea. Akiongea na ENews ya EATV TID amesema hawezi kumzuia mtu kufanya hivyo kwani ni kitu kizuri, isipokuwa […]

Read More..

Ipo Siku Nitaitwa Mama- Wema Sepetu

Post Image

Kupitia Account yake ya Instagram staa wa Bongo Movie, Wema Sepetu alipost picha akiwa na mama yake mzazi na kuweka maneno yalisomeka kuwa iko siku na mimi nitaitwa Mama. Jambo ambalo liliibua hisia za mashabiki zake na wengine kuanza kumfariji kuwa Mungu yupo na anasikia kilio chake na wengine wakiendelea kumtia moyo kuwa asijali kweli […]

Read More..

Sakata la Chidi Benz Kutoraka ‘Sober Hous...

Post Image

Wakati wadau wa muziki wakifahamu kuwa msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwilo ‘Chidi Benz’ yuko katika kituo cha kusaidia waathirika wa madawa ya kulevya ‘sober house’ kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani, inadaiwa Chidi Benz alishatoroka kitambo na sasa yuko kitaa. Akizungumza na Global Publishers meneja wa kituo hicho, Tumaini Majura, amethibitisha kuondoka kwa […]

Read More..