-->

Monthly Archives: December 2016

Raymond Afunguka Kuhusu Yeye na Alikiba Wak...

Post Image

Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Rayvanny amefunguka na kuzungumzia mahusiano yake na Alikiba ambaye ni mpinzani mkubwa wa boss wake Diamond Platnumz. Muimbaji huyo ambaye bado anafanya vizuri na wimbo Salome alioshirikishwa na Diamond, amedai yeye hana tatizo na Alikiba na hata ikitokea nafasi ya kolabo atafanya naye. “Alikiba huwa nikikutana naye huwa […]

Read More..

Man Fongo: Bila Mimi Hakuna Kisingeli

Post Image

Msanii wa Singeli Man Fongo ambaye aliibuka mshindi katika tuzo za EATV Awards kama msanii bora anayechipukia amefunguka na kusema kuwa hakuna muziki wa kisingeli bila yeye. Man Fongo alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWZ na kusema kutokana na mapenzi aliyopata kutoka kwa mashabiki na kumuwezesha kupata tuzo ya #EATVAwards ameamua kuwashukuru mashabiki kwa kufanya […]

Read More..

Kadinda Akanusha Kugombana na Wema

Post Image

MBUNIFU wa mavazi nchini, Martin Kadinda, amesema hana ugomvi wowote na nyota wa filamu, Wema Sepetu, kama watu wanavyodai. Akizungumza na MTANZANIA jana, Kadinda alisema watu wamezoea kukaa na kutengeneza mambo ambayo hayapo, yeye ni meneja wa Wema na ataendelea kufanya naye kazi kama kawaida. “Watu wamezoea kuzusha kila kukicha, kwa upande wangu sijawahi kugombana […]

Read More..

Kiba na Diamond Kupatana Sasa Haiwezekani-D...

Post Image

Msanii mkongwe katika muziki wa Bongo fleva Dully Skyes ambaye kwa sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Inde’ amefunguka na kusema anauwezo wa kuwapatanisha wasanii Alikiba na Diamond na kumaliza tofauti zao Japo anakiri wazi kuwa ugomvi wa wasanii hao kwa sasa ni mkubwa kwani umeshatoka mpka kwa watu wa nje. Dully Skyes akiongea kwenye […]

Read More..

Mashabiki Wananigombanisha na Gabo – Duma

Post Image

Hivi karibuni kumekuwepo na maneno ya chini kwa chini kuwa washindani wawili waliokuwa kwenye kipengele kimoja katika tuzo kubwa zilizoteka Afrika Mashariki za EATV Gabo na Duma kuingia kwenye bifu zito baada ya Gabo kuchukua tuzo zote mbili. Imekuwa kama desturi kila baada ya tuzo fulani kutolewa kuibuka maneno mbalimbali kutoka kwa washindani au mashabiki, […]

Read More..

Hawa Ndiyo Wanawake Waliong’ara 2016

Post Image

Tunaendelea na wanawake waliong’ara mwaka 2016 kwa kutoa maelezo kigo kuhusu walichofanya. Khadija Mwanamboka Wengi wanamfahamu Khadija Mwanamboka kutokana na tasnia ya mitindo. Alikuwa miongoni mwa wabunifu waliohamasisha Watanzania kuvaa mavazi yanayotengenezwa na wabunifu wa hapa nchini. Mwaka 2016, aligeukia upande mwingine na kujihusisha zaidi na biashara ya chakula. Kupitia chapa yake ya Vitu vya […]

Read More..

Jennifer Mgendi Kuja na albamu Mpya Pamoja ...

Post Image

Msanii mkongwe wa nyimbo za Injili nchini, Jennifer Mgendi baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu anajipanga kuachia albamu yake mpya iitwayo,’Nyuma ya Mlima’. Muimbaji huyo ambaye amewahi kutamba na wimbo Mchimba Mashimo, Nalia na nyingine nyingi, amesema kuwa ameamua kuachia albamu hiyo kama zawadi ya kuwatia moyo mashabiki wake wanaopita katika magumu mbalimbali. “Nina […]

Read More..

Wivu wa Harmonize Wamfanya Wolper Kupokea S...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jackline Wolper amekutana na kamera ya eNewz lakini katikati ya mahojiano alipokea simu ya mpenzi wake Harmonize kitendo ambacho kiliwaziba watu wengi midomo kutokana na wawili hao kudhaniwa kuwa hawakuwa wapenzi kweli. Pia amemzungumzia mpenzi wake huyo na kusema kuwa ana wivu sana ndiyo maana hajaona shida kupokea simu yake katikati ya interview ili […]

Read More..

Saida Karoli Anavyoibadili Bongo Fleva

Post Image

KWA miaka kadhaa sasa, maoni ya mashabiki wengi wa Muziki wa Kizazi Kipya ilikuwa ni kuingiza aina ya staili ya nyimbo za Afrika Magharibi, hususan Nigeria. Baadhi yao, wakatabiri mwanzo wa mwisho wa Bongo Fleva. Wengi waliona Bongo Fleva ya zamani ni nzuri kuliko ya sasa. Ya sasa ikionekana nyimbo zao hazidumu, yaani nyepesi, pili […]

Read More..

Msimu Mpya wa Siri za Familia Umerejea Kwa ...

Post Image

ILE Tamthilia maarufu inayotamba kwa sasa ya Siri za Familia ambayo urushwa na kituo cha Televisheni cha East Africa Television (EATV) imekuja sehemu ya pili kwa msimu mpya huku ikitabiriwa kuteka zaidi wapenzi wa tamthilia Swahilihood baada ya kufanya vizuri katika msimu uliopita. Akiongea na FC mtunzi wa Siri za Familia Said Mkukila ameiambia FC […]

Read More..

Nuh Mziwanda Kuja na Khadja Kopa

Post Image

Msani Nuh Mziwanda amefunguka na kuweka wazi mipango yake ya mwakani 2017 na kusema kuwa tayari mpaka sasa amejipanga na ngoma kibao kali. Nuh Mziwanda akiongea kwenye kipindi cha Planet bongo alisema kuwa anatambua kuwa mashabiki zake wanasubiri ngoma mpya lakini kwa mwaka huu hataweza kuachia kazi mpka mwezi wa kwanza ambapo ataachia kazi yake […]

Read More..

Christian Bella Awachambua Diamond na Aliki...

Post Image

Msanii wa Band maarufu kama mkali wa masauti Bongo Christian Bella amezungumzia timu ambazo ziko mitandaoni kati ya Alikba na Diamond kusema kuwa Alikiba ana uzuri wake na Diamond ana uzuri wake kwa kuwa kila mtu anafanya vizuri kwa upande wake. “Diamond ana uzuri wake na Alikiba ana uzuri wake wote na mimi siko kwenye label […]

Read More..

Madee Aumizwa na Picha za Chid Benz Mtandao...

Post Image

Madee ameonyesha kukerwa na kitendo cha baadhi ya watu kumpiga picha Chid Benz na kuzisambaza mtandaoni. kupitia mtandao wa Twitter ametoa yake ya moyoni kwa kusema kuwa kitendo cha kumpiga picha rapper huyo na kumuanika mitandani ni kumdhalilisha. “Hawa wanaompigapiga picha @ChidiBeenz na kupost kwenye mitandao yao lengo lao kubwa ni nini?mbona tunazid kumdhalilisha?au mnataka […]

Read More..

Siwezi Tena ‘Ku-kiss’ – Aunty Ezekiel

Post Image

Star wa Bongo Movie nchini mwanadada Aunty Ezekiel, amerudi upya kwenye tasnia hiyo huku akiweka wazi baadhi ya mabadiliko aliyoyafanya katika maisha yake kuwa ni pamoja na kutoweza tena ‘ku-kiss’ kwenye movie atakazocheza. Aunty ambaye kwa sasa amerejea na movie mpya inayokwenda kwa jina la Chritmass Eve, amesema kilichomfanya afikie maamuzi hayo ni majukumu aliyonayo […]

Read More..

Mastaa Hawa Wataoana 2017?

Post Image

WAKATI wakielekea kumaliza mwaka 2016 bila ndoa, wasanii hawa wamekuwa mvuto mkubwa kwa mashabiki wao huku wengi wao wakiwatarajia ndoa kwa mwaka ujao wa 2017. Diamond na Zari Mapenzi ya msanii Nassibu Abdul (Diamond) na mwanadada kutoka Uganda, Zarinah Hassan (The Boss lady), yameboreshwa zaidi baada ya kuishi zaidi ya miaka mitatu na kupata watoto […]

Read More..

Papaa Misifa Amuwashia Moto Upya Rich Mavok...

Post Image

Meneja maarufu wa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini Papaa Misifa, ameibuka na kuzidi kumuwashia moto Msanii Rich Mavoko ambaye kwa sasa anafanya kazi na lebo ya Wasafi. Misifa akiwa ndani ya FNL alisema Mavoko hana adabu na ni miongoni mwa wasanii wasiokuwa na shukrani kwa yale aliyowafanyia kwa kuwa yeye ndiye aliyewatoa na […]

Read More..

Uchambuzi wa Bongo Movie Mwaka 2016 Part 1

Post Image

TAKRIBANI miaka 21 ya Tasnia ya Filamu Tanzania katika ukuaji wake tasnia  imekuwa ikukua kila mwaka na kupata mabadiliko mbalimbali, ndani ya miaka 16 sasa baada ya kuingia katika utayarishaji wa filamu kibiashara kumekuwa na mafanikio na changamoto nyingi, makala ya uchambuzi wa Tasnia ya filamu kwa mwaka huu 2016. Historia ya tasnia ya filamu […]

Read More..

Pichaz: Walichokifanya WCB hapo jana Uwanja...

Post Image

Jana katika kusherekea sikukuu ya Christmas,timu nzima ya WCB na wasanii wake wakiongozwa , Diamond Platnumz, walioangusha show kubwa kwenye viwanja vya Samora mjini Iringa. Picha zinaonesha jamaa walivutia nyomi ya kutosha. Jione picha hapo chini.

Read More..